@veriafya: Akizungumza kupitia kituo cha Wasafi media, Daktari Bingwa wa Watoto, Lucas Mkeni anabainisha kuwa mojawapo ya mambo yanayoweza kuongeza hatari ya kupatwa na Saratani ya Utumbo ni ulaji wa nyama za kusindika, hasa soseji. Tuambie, wewe unakula soseji mara ngapi kwa wiki?

Veriafya
Veriafya
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 16 September 2026 17:16:02 GMT
9930
94
4
142

Music

Download

Comments

dianasusuma
dynawise :
Food is the main killer of 21century generation
2026-09-16 19:45:29
0
fundi29_magaritz
Omary Juma bakari :
hal laaaaaa
2026-09-16 19:50:42
0
kimboka.george
George kimboka :
Classmate Wangu Huyu Mkuu Rombo
2026-09-16 20:49:28
0
kindambjr
kindamba jr :
ndo mana clagi ixoo
2026-09-16 19:35:10
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About