@official_hassan_mabati: Ushirikina Katika Ujenzi Hili ni jambo lililopo sana Tanzania, hasa Dar, Pwani, Tanga. Watu wengi wanaamini, Wengine wanatumia kama mbinu ya kutafuta pesa. AINA 7 ZA USHIRIKINA UNAOFANYIKA UJENZINI 1. Kuchinja kuku / mbuzi kwenye msingi 2. Kuzika chupa / mayai / hirizi kwenye kona 4 3. Kuweka pesa / sarafu kwenye msingi 4. Fundi kusema "Bosi kuna nyoka msingini" 5. Kutokuruhusu mama mjamzito kuingia jengoni 6. Kuzika nguo au mifupa ya mnyama juu ya lenta 7. Mganga kuja "kuzindua" nyumba MADHARA HALISI YA USHIRIKINA UJENZINI 1. Unapoteza pesa - Kuku wa kafara 50k, mbuzi 200k, mganga 500k - pesa zote bure 2. Nyumba inaharibika - Mayai na damu chini ya msingi inaleta wadudu, harufu na uozo 3. Msimamizi anakuibia - Akisema kuna mzimu, atakupa bei kubwa ya vifaa halafu anakula pesa 4. Unachelewesha ujenzi - Siku 3 za kusubiri nyota nzuri, mvua ya kafara n.k 5. Kisheria - Kuchinja hadharani bila kibali cha afya ni kosa Ukitaka nyumba yako iwe salama kisheria na kiimani: Kwa Muislamu: • Soma Dua ya kuingia nyumba mpya, Sura Al-Baqara ndani ya nyumba siku 3 za mwanzo • Toa sadaka kwa maskini - hii ndio kinga halisi Kwa Mkristo: • Mwite mchungaji aombe, sio mganga • Maombi ya kuweka wakfu nyumba Kwa Kihandisi (Muhimu zaidi): 1. Pima udongo (soil test) - 300k-500k Dar. Hii ndio inazuia nyumba kuanguka, sio kuku 2. Tumia fundi mwenye leseni - Mwenye CRB, sio fundi wa mtaani tu 3. Tumia nondo za kutosha - MSingi usiweke kuku, weka nondo 12mm na saruji nzuri 4. Weka kinga ya mchwa (ant poison) - Hii ndio dawa ya msingi, sio chupa Fundi mzuri atasema: "Bosi mchanga mbaya, ongeza saruji" - sio "bosi kuna mzimu"
Hassan Harun
Region: TZ
Thursday 17 September 2026 08:00:59 GMT
Music
Download
Comments
ddeg Denis⭐ :
duuh hii ni noma ila only god is great
2026-09-17 13:19:14
3
#MA..BESTE😍🗽 :
hapa kaz hamna tena😅😅
2026-09-17 12:53:06
1
steven ngai :
Mbona mm kuna bundi alikuwa analalankwenye nyumba yangu lkn nimemaliza Ujenzi,bundi ni ndege kama ndege wengine.
2026-09-17 16:37:30
2
Phina🌺🌺 :
Duuh jamaniii
2026-09-17 09:52:01
0
Bashir Athuman :
basiiiii Kuna ninitenaaa😂😂
2026-09-17 10:11:43
0
Rafael paul :
2026-09-17 13:01:43
0
Nzagi jr :
duuhh
2026-09-17 13:05:59
0
Ben Benjamin :
mbona kama ni site yangu vile😳😳😳
2026-09-17 17:33:45
0
emmanuelwestony35 :
tutatobokweri
2026-09-17 14:41:23
0
Matondo04 :
duh nami nij,,,,,,,,
2026-09-17 11:03:41
0
gody chambuu :
nyumba ikiisha jipongeze
2026-09-17 15:26:37
0
hosseni :
opo ndip unapoambiwa maisha ni sir
2026-09-17 15:17:46
0
lucas :
kamati imekaa ina tunga sheliy
2026-09-17 16:06:54
0
paskali jailos :
nimecheja xn kama mazur
2026-09-17 14:52:24
0
dickyt :
Unatoboa mwanetu mungu ndio mwamba ao wachumba tu
2026-09-17 14:49:44
0
Merlinone94Robert :
msingi tu miaka kumi kumbe maengeneare mko wengi
2026-09-17 14:22:15
0
Augustino Daudi :
usiogope we fanya yako💪
2026-09-17 10:56:55
1
Ommy stickers :
mmh
2026-09-17 09:58:21
0
betlandemmanuel :
Ndugu zako wakisikia umenza kujenga
2026-09-17 12:42:19
2
daillah@ :
hutoboi
2026-09-17 16:49:23
0
venture8181 :
huyu akitoboa sijui
2026-09-17 15:41:52
0
Sinyagwa Modeko :
baba pauzwe mbongi hy hutoboi?
2026-09-17 17:00:49
0
MSAKA TONGE :
ah kwisha ukijikamua unaishia kwenye linta hpo ndo Hadi inaota ukungu
2026-09-17 15:21:04
0
Lajabu Salanga :
hao wakaguz kutoka selikar ya kijiji
2026-09-17 14:39:43
0
Dylanic :
🤣🤣
2026-09-17 10:03:34
0
To see more videos from user @official_hassan_mabati, please go to the Tikwm
homepage.