jamani hii mvua ya leo ni ya kawaida tu lakini watu mnakuza mambo
2026-09-17 13:21:49
115
dayanna :
hamna el nino wala nn niaminn mim[Pray][Pray]
2026-09-18 06:30:17
1
bby🥰🥰fetty :
ameen [Pray]
2026-09-17 10:21:12
0
Daniel tz🇹🇿 :
El Nino ni 29 October kwaiyo tulizeni pressure
2026-09-17 17:16:23
2
Ibrah msimbazi :
hii sio el nino tulioishuhudia mwaka 2000 tutawaambia ikianza 😂😂😂
2026-09-17 16:59:04
17
onesimo chitema :
sina atamashaka mm
2026-09-17 15:48:47
0
Baraka BY :
hizo ni baraka za Mwenyezi Mungu hawezi let mvua kubwa kwa sababu sisi ni watoto wake na anatupenda .
2026-09-17 13:41:51
37
~ MR. RAMAR❤️💙💚 :
ambao atujaenda kazn off tujuane kwenye koment
2026-09-17 11:01:54
12
ROBIN🔥🔥XIX :
ko mvua isinyeshe sas elinno ila wabongo[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]