@kiswahilitvonline: Huyu ni bingwa wa masumbwi Floyd Mayweather akimpa Gervonta "Tank" Davis ushauri mzito wa maisha ambao kila mtu anapaswa kuusikia: "Ukiwa unafanya vizuri, watakuwa na jambo la kusema. Ukiwa unafanya vibaya, watakuwa na jambo la kusema. Hivyo fanya kile kinachokufanya uwe na furaha. Niliipata hii private jet na kutengeneza zaidi ya dola bilioni moja kwa sababu nilifanya kile nilichotaka kufanya." 👉Je, unakubaliana na maneno ya mwamba?