@veriafya: Akizungumza kupitia Clouds Media, Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Nathanael Mtinangi anaeleza kuwa ili mwanamke apate ujauzito, mwanamume anahitaji kuwa na mbegu zaidi ya milioni 20. Tofauti na wanawake ambao huzaliwa na idadi maalum ya mayai, mfumo wa uzazi wa mwanamume hufanya kazi kama kiwanda kinachozalisha mbegu mpya. Kufanya tendo la ndoa kila siku hasa kwa wanandoa wanaopitoa kipindi kigumu cha kupata watoto hupunguza kiwango cha mbegu chini ya milioni 20 kwa sababu mwili unahitaji siku 3 hadi 5 kutengeneza mbegu zenye ubora na idadi ya kutosha.

Veriafya
Veriafya
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 17 September 2026 12:25:03 GMT
36640
737
12
215

Music

Download

Comments

shija.peter
Tommy :
million 20 vip sasa wakati ina hitajika mbegu moja tu
2026-09-17 16:34:39
0
dhulkarnayni.khid
Dhulkarnayni Khidhri :
ww unasem uwong2
2026-09-17 16:25:10
0
user5469690554609
user5469690554609 :
@p
2026-09-17 16:53:29
0
chotarawakigogo
Chotara wa kigogo812 :
Hii ya siku 14 sio kweli
2026-09-17 18:36:32
0
brownalex0
Brown Alex :
kwaiyo doctors kuna umuhimu wa kupiga bao tatu kuendelea
2026-09-17 17:12:26
1
burudoza1
one kill one cover :
nyie wataalamu mnatuchanyanya badala ya kutusaidia , shuleni mlituambi mbegu mojatu ndio inatungisha mimba , wewe unasema milioni 20 ,kama mmeshindwa kutuelimisha acheni basi tutatumia njia za kienyeji tu.
2026-09-17 16:39:50
1
dhulkarnayni.khid
Dhulkarnayni Khidhri :
bad san elim yko ndog
2026-09-17 16:25:23
0
dstertz
D.ster.Tz :
SIKU 14 mwanamke mh
2026-09-17 13:29:48
0
user24024190945116
user24024190945116 :
✅✅✅
2026-09-17 18:28:29
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About