@dw_kiswahili: Jamii nyingi barani Afrika zinajiandaa kwa msimu mwingine mgumu wa hali ya hewa. Nchini Tanzania, kuna hatari ya mafuriko kuongezeka. Huko Niger, mvua zinaweza kunyesha kwa kiwango kisichotabirika na Afrika Kusini, kuna hofu ya ukame na upungufu wa maji. #DWTunavuma #vumakwakishindo #elniño #climatechange

DW Kiswahili
DW Kiswahili
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 17 September 2026 15:58:15 GMT
2196
129
2
0

Music

Download

Comments

sulejames7
Munttary Sulley :
Mungu tupe salama juu ya hiyo elnino 🤲🤲🤲
2026-09-18 16:42:35
0
sidemavoco
side mavoco :
Allah tunusuru
2026-09-17 18:23:24
0
To see more videos from user @dw_kiswahili, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About