@mulastar1: 'Kuendesha Gari mwendo mdogo bila sababu ya msingi ni kosa la usalama Barabarani' Mrakibu wa Polisi Mussa Manyama

mulastar255
mulastar255
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 18 September 2026 10:34:53 GMT
19637
460
24
39

Music

Download

Comments

diomedesijelemia4
Dio.B.J.V :
YANI KILA SIKU MKIAMKA MNAWAZA NJIA NGANI MTAMKOMOA DELEVA YANI HINI NCHI JAMANI
2026-09-18 12:06:14
1
shabaz4420
shabaz :
sawa kabisa
2026-09-18 19:13:54
0
mussaomary2881
Mussa Omary :
nyienyie sawa ntasema nn
2026-09-18 20:48:01
0
mapalo.gamba
😈👿 mission town :
sheria saizi mmeanza kujitungia wenyewe
2026-09-18 18:34:53
0
l.....e16
licious🤗⚡ :
[Sticker] eeh
2026-09-18 10:46:07
0
mbovurider
MBOVU RIDER 🚀 :
Kabisa
2026-09-18 16:38:57
0
selemani.issa0
Bai :
sasa mbona amna jema
2026-09-18 16:28:14
1
kumalijakalyehu
Kumalija Kalyehu :
na wakwa ATT watafanyaje?
2026-09-18 15:51:06
0
basilphilipo3
✊ :
mnatuchanganya wazee
2026-09-18 12:05:39
0
tanzaniasafariltd
tanzaniasafariltd :
2026-09-18 12:38:06
0
shukuru947
shukuru94 :
madereva wa geita wanavibuli sana barabaran, wanaendesha pole pole sana
2026-09-18 12:31:57
0
user4862105457320
user4862105457320 :
kwani hawa wanatutaka nini labda
2026-09-18 13:24:17
0
user5184663065797
juma yusuph :
2026-09-18 11:28:04
0
abbykopajunior
Abby Kopa Junior :
haha kuna traffic huwa wanatumia privet car wanakaa mbele ya lory na linatembea speed ndogo ikifika eneo la mstar unapokataza ili kumtega gar ya nyuma ku overtake ila usipoipita ikifika shm mstar unaruhusu anaongeza mwendo ili usimpite tabia hiyo ipo sana kwa traffic wa songwe
2026-09-18 16:46:31
0
familia.kibena
Familia Kibena :
nyie mnatakaga nin lakin 😂😂
2026-09-18 11:39:34
1
user3836146150310
jojjoj :
kwa sasa hayo magari mtaendesha nyinyi sasa
2026-09-18 16:17:29
0
emmanuelmodoka
MODO BOY🇹🇿🇰🇪🇸🇴🇪🇹 :
toeni tochi
2026-09-18 11:58:33
0
japhet.mandalasi
japhet mandalas kandonga :
mbona sielewi mimi wakati nyie ndio mnaongoza kufanya hivyo mnatutega ilimutupige.faini 🤣🤣🤣🤣
2026-09-18 14:46:24
0
user6926677409672
TWAH ALLY :
nachoka babaenu
2026-09-18 12:36:42
0
muhsin.kilua
Muhsin kilua :
Hizipointi 15 zisiwe kwa deleva tu ziwekwepia kwa polisi kwenye maeneoyao yakazi wanayo pangiwa kukiwa namashimo au miundo mbinu mibovu yabalabala wakatwe point mana polic ndy wanaojua zaid madhara ya ajali navyanzo vyake pamoja na madeleva tushilikiane wote tunao husika nabalabal
2026-09-18 12:11:20
0
ramadhanidd899gmail.com2
ramadhanidd899gmail.com2 :
Mbona mmeweka na tochi tena wanakaa vichakani au uki-ovartake mnamlima faini dereva?
2026-09-18 15:50:45
0
harunamadebe
Madebe :
mbona asikali unakuta anakigali chake kidogo ukimpta anakupga pcha unaenda kukamatwa mbele vp alafu awa asikali barabaran wanasumbua sana unakosa wanakupga chet
2026-09-18 10:45:28
0
likedsimba2
likedsimba :
mwenye nguo nyeus zt
2026-09-18 17:44:05
0
To see more videos from user @mulastar1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About