@dr.manyaunyau.usa: 🇺🇸🇹🇿 DR. MANYAUNYAU – HUDUMA ZINAENDELEA Kwa wale waliodhani ofisi yetu ya Marekani imefungwa, tunapenda kuwajulisha kuwa ofisi yetu ya Louisville, Kentucky bado ipo na huduma zinaendelea kama kawaida. Pia Tanzania tupo na tunaendelea kuwahudumia wateja wetu. Tunatoa ushauri wa tiba asili kwa matatizo mbalimbali, ikiwemo matatizo ya miguu, afya na nguvu za kiume, ushauri kwa wenye kisukari, pamoja na huduma nyingine za tiba asili kulingana na hali ya mhusika. 📍 Louisville, Kentucky – USA 🇺🇸 📍 Tanzania 🇹🇿 Dr. Manyaunyau – Kiboko ya Wachawi. Huduma zinaendelea, Tanzania na Marekani. 🌍💪🏾

Dr.manyaunyau 🇺🇸🇨🇦🇹🇿
Dr.manyaunyau 🇺🇸🇨🇦🇹🇿
Open In TikTok:
Region: US
Friday 18 September 2026 12:08:47 GMT
1605
61
4
3

Music

Download

Comments

stella.ngina1
Stella Ngina :
niko na shamba yangu lakini baba watoto apokufa shemeji akachukua hio shamba na tuna sumbuana juu hataki kunipa shamba langu naomba uzaidizi
2026-09-18 13:20:41
1
mrambwani
MRAMBWANI :
mabaradhuli wako waaina nyingi
2026-09-18 12:56:14
1
kabilamartine56
Kabila Martine :
🥰🥰🥰
2026-09-18 12:29:19
1
To see more videos from user @dr.manyaunyau.usa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About