@radio47_kenya: Watanzania wanashangaa kwani Zanzibar na Tanzania(Tanganyika) ni nchi mbili tofauti🙄 #BillyNaMbaruk #Radio47FunFriday #HapaNdipo

Radio 47
Radio 47
Open In TikTok:
Region: KE
Friday 18 September 2026 13:01:38 GMT
28161
974
65
26

Music

Download

Comments

sufyanally98gmail.com
sufyan~ :
Mimi ni MTANGANYIKA lakini kiukweli TANGANYIKA inatafunwa na viongozi wakitanganyika wenyewe,, ZNZ ni nchi huru lakini mabepari watanganyika wanaidhulumu ZNZ. Naamini hata TANGANYIKA wakiwa na viongozi wazuri, itapelekea RAIYA wake KUTIBIWA BUUUUREEEEEEE bila kulipia hata senti-5 Naamini ZNZ muungano ukifa, ZNZ itakua kama ULAYA halafu TANGANYIKA patakua hakuna maendeleo yoyote kwasababu SISI WATANGANYIKA TUNATAMAA SAANA pia tuna UBINAFSI
2026-09-18 13:55:14
8
hamoud.boy1
hamoud boy :
pale Tanzaniaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
2026-09-18 17:54:06
0
layzerdon7
layzerdon :
watupe t Zanzibar yetu
2026-09-18 17:40:03
2
yussufjuma23
zanzibar :
afya sio jambo la muungano
2026-09-18 15:11:29
4
shaha45581
shaha@ :
matibab zanzibar yalikua bure mara tu baada ya mapinduz kabla hata muungano
2026-09-18 19:00:11
1
mubahomar
Mubah Zanzibar :
hakuna nchi Tanganyika
2026-09-18 14:21:42
1
nathan.karuti
Nathan Karuti :
aki napeda inxhi yangu Kenya,tuko na haki
2026-09-18 13:34:55
1
mubah67
mubah67 :
2026-09-18 18:39:46
0
omarzahran7854
Yong 🕉 :
waulizen wazanzbar mtapat jib
2026-09-18 15:47:00
1
mrhabib_ali003
Mr Habib_ali :
2026-09-18 18:57:48
0
dudu.baya54
dudu baya :
true
2026-09-18 19:14:41
0
user6852338139462
268443 :
yes bora watuachie tuh zanzibar cc tunawez kujiongoz [Perfect score]
2026-09-18 17:38:07
0
dullabdillah
Dull Abdillah :
lete babaaa
2026-09-18 13:35:48
1
aisha.hamisi942
Aisha Hamisi :
redio. yangu pendwa
2026-09-18 18:33:49
1
hafidhelmariesh1
hafidhelmariesh1 :
ndio broo watuache tu😂😂😂
2026-09-18 18:03:14
0
sakhrmanyzanzibar
sakhrman zanzibar 💦🪼🌴🐙🐚🐬 :
kwn ilo suala limeanz kw Samia t mbn tok utawala w kikwete munalipia t n zanzibar matibabu ni bure toka utawala wa karume
2026-09-18 18:27:53
0
evans.moshi5
Evans Moshi :
Redio ya maana sana
2026-09-18 18:18:59
0
ochu022
Ochu :
Kwani Mombasa kuna Raisi kama vile Zanzibar, Hamjui kitu acheni kupotosha !! zanzibar ina bajeti yake na Tanganyika inabajeti yake, Mzanzibar akija Tanganyika anatibiwa kwa bima na sio bure na hata mtanganyika akija Zanzibar kama ana bima atatibiwa
2026-09-18 18:18:50
0
youngjeffznz
Young Jeff znz :
acheni upotoshaji huo mbona alivyokuwepo magufuli hamukusema hivyo
2026-09-18 15:54:15
0
bin.muhine
Bin Muhine :
hio ipo zamani kisha zanzibar inayo mamlaka yake ya ndani ndy sabbu kuna mpka raisi wake
2026-09-18 16:10:05
0
user33882541453004
user33882541453004 :
watu wakasome katiba ya zanzibar watajuua ilaaa kwa malalamiko hyo hakuna uhalisia
2026-09-18 20:28:30
0
t162291
Lost :
Zanzibar n Tanganyika n nchi mbili 2 tofauti
2026-09-18 17:35:39
0
xxx842093
xxx :
matibabu si swal la muungano
2026-09-18 16:37:39
0
y.h.k.love
MSOMI :
tatizo bakubaliano ya munganyiko jiulizeni mbona haya mambuo yapo tokea enzi za mwalim JULIAC KAMBARAGE NYERERE ndy mjiulize iv
2026-09-18 16:12:01
0
fatmamikpot250
Fatma Mikpot :
oye tuacheni cc
2026-09-18 13:40:13
0
To see more videos from user @radio47_kenya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About