@mangi_mongi: Kwa nini? Mtu mbaya anafanya ubaya kwa sababu ya ujinga wake, hasira yake, au maumivu yake. Wewe ukimlipizia, unafanya ubaya ukiwa na AKILI TIMAMU, umeamua makusudi. Hapo ndipo unapokuwa mbaya zaidi kuliko yeye. Usishushe viwango vyako kufikia viwango vya adui yako. Kaa juu. Fanya wema kwa sababu wema ndio asili yako, sio kwa sababu mtu anastahili. 🪵 Mangi Mongi | Falsafa | Hekima #mangimongi #wisdom #falsafa #ufahamu #awakening

Mangi Mongi
Mangi Mongi
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 18 September 2026 13:14:59 GMT
397
11
0
3

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @mangi_mongi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About