@radiomariatanzania: “NINA BAHATI KWAMBA NILIZALIWA KATIKA FAMILIA YA KIKATOLIKI, BABA NA MAMA KILA MARA WALITUAMSHA KUSALI.” Sehemu ya mahojiano ndani ya Kipindi cha SAFARI YA WITO na Padre Dyfrig Maliti, C.S.Sp., Mkurugenzi wa DogoDogo Centre – Bunju, Jimbo Katoliki Bagamoyo, akizungumza na Mtangazaji Erick Paschal Jnr kuhusu Safari yake ya miaka 22 tangu alipowekwa wakfu katika Daraja Takatifu la Upadre mwezi Julai 2004. • • • www.radiomaria.co.tz #RadioMariaTz #SautiYaKikristoNyumbaniMwako

Radio Maria Tanzania
Radio Maria Tanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 18 September 2026 15:32:08 GMT
6228
339
4
5

Music

Download

Comments

user3474907800524
Colman j Samora Kanje :
nani najivunia sana kuwa mkatoliki
2026-09-19 14:42:41
0
fransikalwambiko
Fransika Lwambiko :
Najivunia kuwa mkatoliki🙏
2026-09-18 16:07:27
0
user6921769997110
fey :
Mapendo
2026-09-18 17:24:40
0
jeanclaudwef80
C💍❤️🫶J :
♥️♥️♥️
2026-09-19 19:30:20
0
To see more videos from user @radiomariatanzania, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About