wote wameulizwa lakini awajalia lakini huyo alie fiwa na Baba ndo kalia Aiseee uwezi kuelewa kwanini uyo mtoto analia😭
2026-09-18 21:42:23
12
Ashirafu Rwenza :
nimeikubar ii yaan hamna mda uo
2026-09-19 06:17:45
6
Venance Benson :
punguza meneno makali kama unaweza kuwasaidia wasaidie huwezi jua wanachangamoto gani kwenye familia zao wengine wamekupa zababu zao sasa usiwatolee maneno ya matusi
2026-09-18 21:38:07
26
RAJABU MOHAMED :
Ila msisahau shule zenyewe zinalipisha watoto hela ingawa za serikali kiasi kwamba wengine hawana kipato Cha kuwaudumia watoto wanaamua kuwaacha tu, hata kiona wingi wa watoto hao wasio soma ni wengi inakupa picha ya tatizo ni pesa, shule zetu za msingi zilpaswa ziwe Bure ila zinalipiwa kiujanja ujanja walimu wanajifanyia wanayoyataka Kila kukicha hela huku wanasiasa wanasema Elimu ya msingi ni Bure du😁😁😁😁
2026-09-19 04:18:34
0
Mr Traveler :
No time
2026-09-18 19:47:21
9
Adam Mwangia :
elimu ya bongo ni kupoteza pesa na mda kama auna connection ndio mana Kuna NO TIME