@shinotedriver: Hii ni group kubwa la watu wakiwa na mabango na kuandamana mbele ya magari yanayoendesha na kuonyesha msimamo wao. Ni tukio linaloonyesha athari za hali ya sasa na watu wanashirikiana kuonyesha sauti yao. Mnajua, kila mmoja anatoa ujumbe tofauti lakini wote wanamlilia serikali na kuonyesha madai yao. Ndio maana nimekuwa nikifikiri kuhusu nguvu ya umma na jinsi ya kuendelea kushikamana kwa ajili ya haki. Mna maoni gani kuhusu haya?
Kazi ya udereva ni nzuri sanaaa ila kuna wachache madereva wa hovyo ndio wanaharibu
2026-09-19 04:23:22
3
Chief ndege :
mtukufu ni mungu tu tusikufuru
2026-09-19 09:41:28
1
Timago Studio :
serikali ipi sasa😂😂😂😂😂
2026-09-19 13:34:44
0
ramadhani nyange :
kiukweli tumechoka
2026-09-19 13:41:47
0
Daudi Lisuks :
samia mbona yupo kimya
2026-09-19 12:50:30
0
abduli juma :
kweli umoja nibora
2026-09-19 13:44:21
0
Gody Molell :
tunaomba aki yetu madereva tunaonekana wayama
2026-09-19 02:59:45
1
Baba love =Emanuel tweve :
hatutaki uo mfumo
2026-09-19 07:43:20
0
A k a mwakitwange :
madereva jamani hii nchi niyawote iweje kila jaribu nimaderva vyeti,3 kitu nikilekile kinacho sababisha iwe hivyo nini? wapo madereva barabarani zaidi ya miaka 45 leo hii unamwondolea daraja E,na C half unampatia D kisa hana chet, cheti nin kwa barabarani??
2026-09-19 07:37:03
0
othukizzy :
kwa utukufu upiii??
hatuwezi ipenda serikari kwa staili hii
2026-09-19 12:03:05
0
middle ms@f :
uwakik ap
2026-09-19 07:21:46
0
Victoria GL :
tushaanza kuchapisha tshart kabisa, tunayapanga malori barabarani hakuna kutoka wala kuingia Dar, nunueni chakula Cha kutosha
2026-09-19 05:28:49
0
king Apollo :
Hatutaki point kabisaa njiani hatutaki matrafic njaa
2026-09-19 09:15:26
0
Moka Jr :
29
2026-09-19 00:51:45
0
Merlinone94Robert :
miundombinu ya barabara sijaona kukiwa na road nzuri speed zitawekwa nzuri magari yanakuja yakisasa speed 80 nikama unasindikiza bibi harusi
2026-09-19 06:50:28
0
ebra hiym🇹🇿🇿🇲🇨🇩 :
sio waweke mifumo mizur ya kukatwa point yani watoe kabisa atutaki maswala ya point
2026-09-19 06:32:38
0
Boy waiz :
kweli kabisa kuna asikari wengine hawana utu wa ubinadamu tuweke ulau njia mbadala ili kutoa tofauti iliyopo kati ya dereva na asikar wa usalama barab
2026-09-19 06:12:59
0
Pangani.tz :
ifike mda tuamini hata mkubwa anakosea ludisheni myoyo nyuma please kwamikono miwili tunawaomba👏familia zinatutegemea
2026-09-19 07:48:58
0
user9191321784792 :
jaman huu wimbo ni wanan
2026-09-19 13:55:42
0
Yakub 🙏🇹🇿🙏 :
swala la pwenti hatutakihi kbs maana nikwamba wamejitengeneze njia ya wao polisi kupata Hela kirahisi polisi akikwambia nipe elfu 20 au nikukate pwenti 2
2026-09-19 12:01:41
0
Kama noma® :
we unawashwa nini sisi hatutaki point we unataka mfumo mzuri
2026-09-19 04:41:45
0
Zumbe Atogolwe :
Mtumishi WA Umma akifanya madudu huamishiwa eneo lingne au kukingiwa kifua
ila dereva adhabu Kali zid yake
2026-09-19 06:27:52
0
mawigi :
akuna Cha kukata pwent
2026-09-19 08:31:50
0
Ally Lalika :
ipangwe siku ujumbe uwafikie
2026-09-19 08:11:16
0
To see more videos from user @shinotedriver, please go to the Tikwm
homepage.