@innocent_raphael: Mtindo wa viongozi kuwasiliana na wananchi wao kwa lugha nyepesi, ya utani na iliyojaa hisia kali huwaacha watu wakicheka, wakitafakari na kuungana nao kiroho. Rais Hayati. Dkt. John Pombe Magufuli alisimama mbele ya umati na kutoa hotuba yenye msisimko mkubwa. Magufuli alihoji kwa mtindo wa kipekee kuhusu mpango wa kupanuliwa barabara na namna ya kulinda biashara ndogo ndogo ili wananchi waweze kujipatia kipato kwa raha bila kubughudhiwa. Kauli na mtindo wake wa kuwasiliana unadhihirisha jinsi alivyokuwa karibu na wanyonge, akichanganya utani na maamuzi magumu yanayogusa maisha ya kila siku. INAENDELEA..... #siasa #innocentraphael #tanzaniatiktok