@kidu_works: Watu 121 walipanda ndege wakiwa na amani kabisa... Lakini hawakujua kwamba safari hiyo ilikua ndiyo safari yao ya kuelekea mauti ✈️⚠️ Huu ni mkasa wa Helios Airways Flight 522 ndege iliyopata umaarufu kama "Ghost Flight" (Ndege ya Mizimu) baada ya kuruka peke yake angani kwa takribani masaa 3 huku kila mtu ndani akiwa amepoteza fahamu kutokana na ukosefu wa oksijeni (Hypoxia). Kitu cha kusikitisha zaidi? Janga hili lote lilisababishwa na SWICHI MOJA TU iliyosahaulika ardhini na mafundi kabla ya ndege kuanza safari! 💔 Sikiliza simulizi hii kamili kupata picha nzima ya kilichojiri dakika za mwisho angani. 🎙️👇 #ByteView #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya #viral #trending