nisawa lakin tulejee katika maandiko tuache biblia iseme yenyewe, katika 1:korintho 3:6 Paul anasema Mimi nilipanda mbegu apolo akamwagilia lakin mwenye kuikuza mbegu ni MUNGU, na sehem Fran YESU alisema, wengi siku za mwisho watakuja wakisema BWANA tulifanya miujiza kwa jina lako..
hiyo inatosha tu kujua kwamba miujiza yote inayofanyika kwa watumishi wote wa Mungu chanzo chake ni kristo na siyo mwingine, kinyume na hapo hakuna mwanadamu awae yote anae weza kuongeza hata kimo Cha ulefu wake au siku za kuishi wake, Kila jambo njema linalo tokea ni BWANA MKUBWA YESU KRISTO ndiyo anayoyafanya yote hayo, utukufu na nguvu unayeye peke yake, kwahiyo hapo baba askofu jasus la mbinguni aliteleza kidogo.
2026-09-19 21:08:24
0
Samson lugongo :
Kabuli lake lilikuwa wap
2026-09-19 19:00:00
0
Pierrot Rugambwa :
la suite
2026-09-19 19:53:51
0
To see more videos from user @gideon_kulawa, please go to the Tikwm
homepage.