@ukerewe_: Miaka 8 sasa imepita, tulipoteza ndugu jamaa na marafiki. Imepita miaka mingi sana lakini mpaka leo huwa nikikumbuka jinsi tukio lilivotokea naona kama ni filamu🙌🏾
mungu wapeni pumziko la milele mbinguni[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-20 10:46:34
1
Theopsta Masinde :
wapumzike kwahamani wapendwa wetu
2026-09-20 18:23:26
1
🖤VR🖤 :
Kuna ndugu yangu alikuwa mfanyakazi mwanzo alikuwa Ngoma badaye Ukara na umauti ukamfika,raha ya milele uwape Ee Bwana na mwanga wa milele uwaangazie,wapumzike kwa amani,Amina😔
2026-09-20 05:36:33
1
pls😕 :
umenikimbusha ndugu zangu😭😭😭😭😭😭😭😭wapumzike kwa amani
2026-09-20 16:11:57
0
roda :
pumzikeni kwaamani
2026-09-20 17:34:02
0
faluku :
kumbuka sana nilikuwepo aise nilimpoteza lafiki yangu😭😭😭
2026-09-20 18:08:36
1
Witness Julius :
Lafiki yangu namkumbuka sana😭😭
2026-09-20 17:06:57
0
Regzach. 🤑 :
Mungu awapunguzie Adhabu ya kabuli
2026-09-20 16:13:36
1
Elizabeth :
polen sana jaman😭😭😭
2026-09-20 16:17:57
0
Chris :
tuendelee kuwaombea wapumzike kwa aman
2026-09-20 17:03:47
0
Diana Juma :
Dah umenikumbusha mbali sana😭😭😭😭
2026-09-20 15:25:22
0
frolashidutu :
Mungu awape pumziko la milele ndugu zetu walio tangulia
2026-09-20 15:10:36
0
linah bby 😘😘 :
me mama angu wa ubatizo aliondoka na hii ferry jmn 😭😭
2026-09-20 19:10:08
0
CAROLINA MWESA :
wapumzike kwa amani
2026-09-20 20:21:03
0
reytone :
wapumuzike kwa Haman umenikumbusha mengi
2026-09-20 16:07:26
0
catherinegatawa :
wapumzike Kwa amani
2026-09-20 15:28:33
0
WILLIAM :
Asante kwa kutumbusha kuwaombea ndugu zetu waliotangulia mbele za haki njia zao zikawe nyepesi uko waliko na walale mahali pema peponi
2026-09-20 17:23:42
1
To see more videos from user @ukerewe_, please go to the Tikwm
homepage.