@saa24_digital: Mkazi wa Kijiji cha Bukombe Wilaya ya Bukombe mkoani Geita Power Mabula amejitokeza katika mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Geita Alexander Mnyeti uliofanyika kijijini hapo na kuomba kuingizwa katika kamati za usalama ili aweze kushiriki katika kuzuia athari za mafuriko na radi, kufuatia tahadhari ya Serikali kuhusu uwepo wa mvua kubwa za EI-Niño mwaka huu. #saa24

Saa 24
Saa 24
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 20 September 2026 05:25:16 GMT
6903
198
19
37

Music

Download

Comments

emmanuel.robert293
mr chance :
nan anabisha[Tears of joy]
2026-09-20 12:47:15
0
lazaro446508
Lazaro salamba 770 :
Are ripet again
2026-09-20 13:55:43
0
seif.seisal
Seisal :
Faamasiara na bilioni 700, ata mimi niwekeni kitengo cha radi
2026-09-20 11:59:29
2
georgeshirima1987
George Friday & Amanda👒 :
alianza vizuri, Na Walimzingatia Sana Awali( Kwny "ripiti again,mosheni Na Kifaransa Ndo alichamba kwingi maskin🙆"
2026-09-20 12:01:36
1
mariam.kakwaya
Mariam Kakwaya :
mwendo wenyewe unasemaje😂😂
2026-09-20 14:10:19
0
mbeyaglassworks
GITTO_ GLASS WORKS :
Kwan hayupo wakutulipia deni letu 😂😂💔
2026-09-20 13:38:29
0
meleji.lesikari.m
Meleji lesikari mdogo :
kwa silaha gani
2026-09-20 12:40:26
0
papaa.masai0
Papaa Masai :
Yuko Sirius kabisa apewe
2026-09-20 11:54:19
0
ministerofenjoyment704
Minister of enjoyment 😷 :
Mnabisha au 😂
2026-09-20 11:58:19
0
user6884612912230
seline :
KILA MTU AOMBE AWEZAVYO..KIMILA,KIDINI,ILIMRADI TUNAMUOMBA MUNGU BILA KUMGUSA MTU
2026-09-20 10:28:50
0
zakharan_likandapahi7
zakharan_likandapahi7 :
Mtu fudenge nacomment kila video, nimefika na uku. Mmeniona? ...... ...... A boy from 🇹🇿
2026-09-20 11:11:53
1
user4071054939101
Dada :
mwamba huyooooooo,msitumie pesa nyingi hata hajataja alipwe shingapi
2026-09-20 08:52:05
1
youngbizzo4
The big thinker :
hamis umeuwa xan baba[Fire][Fire][Fire][Fire][Tears of joy]
2026-09-20 10:47:45
0
killakilla28
killa Mbongo :
chuma iko
2026-09-20 10:57:59
0
dick.danka
Dick Danka :
Hii ni mimba ya nchi😲
2026-09-20 13:31:55
0
user24024190945116
user24024190945116 :
Huyu yuko vizuri,RC anatakiwa amtumie ili kuepuka maafa ya mafuriko.
2026-09-20 05:47:41
0
kendrick.joseph.ch
kendrick :
na kasema kwa English naludia tena sasa bisha uone😁😁😁😁
2026-09-20 12:59:40
1
suba.brown
Suba Brown :
Huyu ndio sie kweli😂😂
2026-09-20 14:09:17
1
To see more videos from user @saa24_digital, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About