@_n.rae: 파송송 궤란 탂 🥚 #fyp #추천 #파송송계란탁 #추천추천추천추천추추천추천추천추천 #부산

김나내
김나내
Open In TikTok:
Region: KR
Wednesday 07 April 2021 16:01:26 GMT
36109
1569
16
36

Music

Download

Comments

keeps569
Homework 📚 :
I love you 😘💕
2021-04-08 23:53:02
1
ny012343
곤주님 :
이뻐요♡♡♡
2021-04-08 13:15:17
1
hihello0402
ㅋ ㅋ :
어머 잘추세여
2021-04-08 01:10:26
0
ssdosa
창 :
기여어
2021-04-08 15:51:01
1
leekyungsoo71
이경수 :
신민아닮았다.
2021-04-08 11:35:47
1
dpdp3817
꼴리는거 :
2021-06-09 16:51:41
0
sktt1woulf
DJ_RR :
졸귕
2021-04-09 01:20:34
1
diwpdf
엊주구리.. :
이뻐요⫬⫬
2021-04-08 00:19:55
0
keeps569
Homework 📚 :
No matter how I look at you, you're so pretty and you're like my ideal type
2021-04-08 23:53:00
1
101sss3
??? :
살짝 제니 느낀있어요...
2021-04-26 16:05:59
1
dndjsjsnz
H :
😳
2021-05-25 13:19:48
0
user4159521148883
냠냠놤 :
🥰🥰🥰
2024-12-05 15:49:30
0
To see more videos from user @_n.rae, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Watu wengi huzaliwa familia ambazo hazikuweka RAMANI ya mtoto huyo husika anakuja kufanya nini duniani. Watoto “walitengenezwa” kwa EXCITEMENT YA SEX au by “HAPPENSTANCE” au kwa kelele za UKWENI au hata kwa mashindano nani mke wake wake ana “KIZAZI” kinachofanya kazi. Ndo maana hata MAJINA wanayopewa watoto wengi ni majina ya kimazoea tu. Hayaonyeshi PURPOSE ya huyo binadamu kuja duniani. Either ni majina ya kidini tu yaani “GOOD LUCK NAMES”. Au majina ya kimazoea tu. Sijui kama wewe Wazazi walikwambia walikuzaa uje ufanye nini? Did they? Na jina lako uliambiwa PURPOSE BEHIND au ndo jina la bibi au babu au jina tu la “kizungu”🤷🏽‍♂️ Kwa hiyo kuanzia kuja kwake mtu duniani ilikuwa ni WATU TU WANAONGEZA FAMILIA au basi ILITOKEA TU hivyo mtoto ndo yupo. Hakuna PURPOSE nyuma ya huyo mtoto wala wazazi hawakai kuiwaza sasa kuwa sasa mtoto yupo okay tumuandae kuwa alichokusudia Mungu. Wazazi discussion yao kubwa ni mahitaji BASIC ya mtoto nguo, chakula, matibabu akiumwa, ada akikuakua. Period.  Imagine umetoka mazingira hayo. Hata wewe hujui ulikuja duniani kufanya nini. Hivyo UNAZURURA TU. Na kwenye kuzurura kuna watu wameajiriwa sehemu ambayo hawakupaswa kuwa. Zinawapa pesa Ila haziwapi FULFILMENT. Wanazurura. Kuna watu wanafanya BIASHARA kama mkumbo. Hataki kujua hivi ni biashara gani itanisaidia TO BE A BETTER VERSION OF MYSELF. Hivyo atafanya hata haramu. Atauza hata vitu vinavyoharibu AFYA ZA WATU AU ROHO ZAO kwa sababu yuko so focused na PESA tu na si kujua duniani alikuja kufanya nini. Namna mojawapo ya kujua nini uliumbwa kufanya hapa duniani ni: 1. Removing the MONEY FACTOR. Jiulize. Hapo ulipoajiriwa hiyo kazi unayofanya au biashara kama ungepewa tu nauli unaweza kufanya BURE? Ukiona jibu ni HAPANA kwamba sasa nitaishije? Jua tu hapo ulipo hiyo SI CALLING YAKO! Upo ili kutimizia majukumu yako. The idea siyo kufanya BURE the idea ni kutrigger mind yako kuwaza CAN I DO THIS FOR FREE? Pesa ni muhimu tena SANA MNO MNO niamini nachosema… lakini ni nzuri zaidi ukiwa unaipata ukiwa FULFILLED.. Watu wengi wanafanya kazi vitu ambavyo ni Wazazi walimsomesha kwa influence yao. Wazazi wanaweza kukuuzia DREAM ZAO na ukaamini ni zako. Watu wengi wanafanya biashara kwa INTEREST tu. Siyo CALLING yake. Ukiona unaanza biashara unaacha hilo eneo si lako. Eneo uliloitiwa utaona lina tick a lot of boxes ndo maana huwezi kuacha mpaka wateja watakuja tu na mpaka brand itajengeka tu. Hili ni muhimu sana. CAN YOU DO WHAT YOU DO FOR FREE? Kama jibu ni HAPANA be SMART EARLY. 2. ⁠Jambo jingine litakalokusaidia kujua DUNIANI UNAPASWA KUSIMAMA WAPI ni kwa ku PAY attention kwa vitu ambavyo watu tofauti tofauti (wasiofahamiana) wanakwambia mara kwa mara kuwa UNAWEZA SANA. Do not ignore. VOXI POPULI VOXI DEI. The voice of the people is THE VOICE OF GOD.  3. ⁠Kitu kingine ni observe ni kitu gani ukikosea unaona “umezingua” sana na pia kitu gani unahisi unahitaji KUJIPANGA SANA ili ukifanye. Mara nyingi CALLING YAKO iko kwenye weakness zako. Musa aliitwa kuongoza taifa Ila alikuwa na KIGUGUMIZI PLUS HASIRA fikiria huyo ndo anatumwa kwa Farao. Angalia wewe kama una idea na unaiogopa ila kila wakati inakuja tu AMINI USIAMINI KWENYE HOFU YAKO NA WEAKNESS ZAKO NA IMPEDIMENTS ZAKO NDIPO ILIPO CALLING YAKO. Jump on that cliff. God will give you wings! 4. ⁠Tafuta pia vitabu hivi: THE ALCHEMIST, THE PURPOSE DRIVEN LIFE na THE MONK WHO SOLD HIS FERRARI mimi hivi vilinisaidia mno nilipokuwa MWAJIRIWA karibu miaka 20 iliyopita. Go read them. Usiogope KUTHUBUTU vitu. Jump off the cliff. MBINGU zitakutunza. Zilitutunza sisi. Just BELIEVE. And jump off the plane ✈️ THE “PARACHUTE” 🪂 will work. If it doesn’t well at least you tried. Na ATAKUAGUZIA MALAIKA kweli na hutaaibika. Kuna watu wengi mno duniani wana suffer kwa sababu wewe hujaamua kusimama ULIPOPASWA KUSIMAMA KISA TU HUONI KAMA PANA HELA KWANZA. Start now.  Usikubali kuwa MISPLACED. FULFILLMENT IS THE NAME OF THE GAME. Biblia inasema HERI MWISHO WA NENO (JAMBO) KULIKO MWANZO WAKE. Memento Mori, Semper Fi, Mr. Muhozya
Watu wengi huzaliwa familia ambazo hazikuweka RAMANI ya mtoto huyo husika anakuja kufanya nini duniani. Watoto “walitengenezwa” kwa EXCITEMENT YA SEX au by “HAPPENSTANCE” au kwa kelele za UKWENI au hata kwa mashindano nani mke wake wake ana “KIZAZI” kinachofanya kazi. Ndo maana hata MAJINA wanayopewa watoto wengi ni majina ya kimazoea tu. Hayaonyeshi PURPOSE ya huyo binadamu kuja duniani. Either ni majina ya kidini tu yaani “GOOD LUCK NAMES”. Au majina ya kimazoea tu. Sijui kama wewe Wazazi walikwambia walikuzaa uje ufanye nini? Did they? Na jina lako uliambiwa PURPOSE BEHIND au ndo jina la bibi au babu au jina tu la “kizungu”🤷🏽‍♂️ Kwa hiyo kuanzia kuja kwake mtu duniani ilikuwa ni WATU TU WANAONGEZA FAMILIA au basi ILITOKEA TU hivyo mtoto ndo yupo. Hakuna PURPOSE nyuma ya huyo mtoto wala wazazi hawakai kuiwaza sasa kuwa sasa mtoto yupo okay tumuandae kuwa alichokusudia Mungu. Wazazi discussion yao kubwa ni mahitaji BASIC ya mtoto nguo, chakula, matibabu akiumwa, ada akikuakua. Period. Imagine umetoka mazingira hayo. Hata wewe hujui ulikuja duniani kufanya nini. Hivyo UNAZURURA TU. Na kwenye kuzurura kuna watu wameajiriwa sehemu ambayo hawakupaswa kuwa. Zinawapa pesa Ila haziwapi FULFILMENT. Wanazurura. Kuna watu wanafanya BIASHARA kama mkumbo. Hataki kujua hivi ni biashara gani itanisaidia TO BE A BETTER VERSION OF MYSELF. Hivyo atafanya hata haramu. Atauza hata vitu vinavyoharibu AFYA ZA WATU AU ROHO ZAO kwa sababu yuko so focused na PESA tu na si kujua duniani alikuja kufanya nini. Namna mojawapo ya kujua nini uliumbwa kufanya hapa duniani ni: 1. Removing the MONEY FACTOR. Jiulize. Hapo ulipoajiriwa hiyo kazi unayofanya au biashara kama ungepewa tu nauli unaweza kufanya BURE? Ukiona jibu ni HAPANA kwamba sasa nitaishije? Jua tu hapo ulipo hiyo SI CALLING YAKO! Upo ili kutimizia majukumu yako. The idea siyo kufanya BURE the idea ni kutrigger mind yako kuwaza CAN I DO THIS FOR FREE? Pesa ni muhimu tena SANA MNO MNO niamini nachosema… lakini ni nzuri zaidi ukiwa unaipata ukiwa FULFILLED.. Watu wengi wanafanya kazi vitu ambavyo ni Wazazi walimsomesha kwa influence yao. Wazazi wanaweza kukuuzia DREAM ZAO na ukaamini ni zako. Watu wengi wanafanya biashara kwa INTEREST tu. Siyo CALLING yake. Ukiona unaanza biashara unaacha hilo eneo si lako. Eneo uliloitiwa utaona lina tick a lot of boxes ndo maana huwezi kuacha mpaka wateja watakuja tu na mpaka brand itajengeka tu. Hili ni muhimu sana. CAN YOU DO WHAT YOU DO FOR FREE? Kama jibu ni HAPANA be SMART EARLY. 2. ⁠Jambo jingine litakalokusaidia kujua DUNIANI UNAPASWA KUSIMAMA WAPI ni kwa ku PAY attention kwa vitu ambavyo watu tofauti tofauti (wasiofahamiana) wanakwambia mara kwa mara kuwa UNAWEZA SANA. Do not ignore. VOXI POPULI VOXI DEI. The voice of the people is THE VOICE OF GOD. 3. ⁠Kitu kingine ni observe ni kitu gani ukikosea unaona “umezingua” sana na pia kitu gani unahisi unahitaji KUJIPANGA SANA ili ukifanye. Mara nyingi CALLING YAKO iko kwenye weakness zako. Musa aliitwa kuongoza taifa Ila alikuwa na KIGUGUMIZI PLUS HASIRA fikiria huyo ndo anatumwa kwa Farao. Angalia wewe kama una idea na unaiogopa ila kila wakati inakuja tu AMINI USIAMINI KWENYE HOFU YAKO NA WEAKNESS ZAKO NA IMPEDIMENTS ZAKO NDIPO ILIPO CALLING YAKO. Jump on that cliff. God will give you wings! 4. ⁠Tafuta pia vitabu hivi: THE ALCHEMIST, THE PURPOSE DRIVEN LIFE na THE MONK WHO SOLD HIS FERRARI mimi hivi vilinisaidia mno nilipokuwa MWAJIRIWA karibu miaka 20 iliyopita. Go read them. Usiogope KUTHUBUTU vitu. Jump off the cliff. MBINGU zitakutunza. Zilitutunza sisi. Just BELIEVE. And jump off the plane ✈️ THE “PARACHUTE” 🪂 will work. If it doesn’t well at least you tried. Na ATAKUAGUZIA MALAIKA kweli na hutaaibika. Kuna watu wengi mno duniani wana suffer kwa sababu wewe hujaamua kusimama ULIPOPASWA KUSIMAMA KISA TU HUONI KAMA PANA HELA KWANZA. Start now. Usikubali kuwa MISPLACED. FULFILLMENT IS THE NAME OF THE GAME. Biblia inasema HERI MWISHO WA NENO (JAMBO) KULIKO MWANZO WAKE. Memento Mori, Semper Fi, Mr. Muhozya

About