@dr.makamuxi: #CapCut

Male Enhancement
Male Enhancement
Open In TikTok:
Region: US
Friday 16 June 2023 13:56:44 GMT
1125
18
2
1

Music

Download

Comments

nlislam4
Rihamoni :
good
2023-06-16 17:04:37
0
vrc786
Mcg :
Where do I buy it
2023-08-26 13:53:51
0
To see more videos from user @dr.makamuxi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Nimetishiwa kifo na kuambiwa watanipoteza kwa sababu tu nimewaonesha Watanzania hesabu za pesa. Sasa jiulize… nani anafaidika Watanzania wakiendelea kuwa hawajui hizi hesabu? Mimi sitaacha kuwaelimisha. Sasa ngoja nikuoneshe kwanini mtu anayeanza ku-invest akiwa na miaka 20 anaweza kuwa na zaidi ya TZS 400M kuliko anayeanza akiwa na 30. Tuchukulie: • Una-invest TZS 100,000/month • Average return: 10% kwa mwaka • Average monthly return: 10% ÷ 12 = 0.83% • Investment inakua kwa compound growth mpaka miaka 60. MTU A: Anaanza miaka 20 40 years × 12 = 480 months 100,000 × 480 = TZS 48M alizoweka mwenyewe. Kwa average growth ya 10% annually: 👉 Final value ≈ TZS 632.4M MTU B: Anaanza miaka 30 30 years × 12 = 360 months 100,000 × 360 = TZS 36M alizoweka mwenyewe. Kwa growth hiyo hiyo: 👉 Final value ≈ TZS 226M Sasa angalia: 632.4M − 226M = TZS 406.4M Mtu aliyeanza miaka 20 ana zaidi ya TZS 406M MORE. Lakini aliweka kutoka mfukoni: 48M − 36M = TZS 12M zaidi tu. Yaani ameongeza contribution yake kwa 12M tu, lakini miaka 10 ya ziada imempa advantage ya zaidi ya 406M. Hiyo ndiyo nguvu ya TIME + COMPOUND GROWTH. Growth yako inaanza ku-generate growth nyingine. Kwa hiyo ukiwa na miaka 20 usiseme: “Pesa yangu ni ndogo, nitasubiri miaka 30.” Hata kama ni 20K, 50K au 100K kwa mwezi — ANZA. Kwenye investing, muda unaweza kuwa na thamani kubwa kuliko amount unayoanza nayo. Kumbuka: 10% ni assumption ya mfano, si guaranteed return. 📕 Siri 69 za Kupata Pesa — madini yote yapo humo. Nenda kwenye bio yangu chap ukakichukue kabla havijaisha. Peace ✌🏾
Nimetishiwa kifo na kuambiwa watanipoteza kwa sababu tu nimewaonesha Watanzania hesabu za pesa. Sasa jiulize… nani anafaidika Watanzania wakiendelea kuwa hawajui hizi hesabu? Mimi sitaacha kuwaelimisha. Sasa ngoja nikuoneshe kwanini mtu anayeanza ku-invest akiwa na miaka 20 anaweza kuwa na zaidi ya TZS 400M kuliko anayeanza akiwa na 30. Tuchukulie: • Una-invest TZS 100,000/month • Average return: 10% kwa mwaka • Average monthly return: 10% ÷ 12 = 0.83% • Investment inakua kwa compound growth mpaka miaka 60. MTU A: Anaanza miaka 20 40 years × 12 = 480 months 100,000 × 480 = TZS 48M alizoweka mwenyewe. Kwa average growth ya 10% annually: 👉 Final value ≈ TZS 632.4M MTU B: Anaanza miaka 30 30 years × 12 = 360 months 100,000 × 360 = TZS 36M alizoweka mwenyewe. Kwa growth hiyo hiyo: 👉 Final value ≈ TZS 226M Sasa angalia: 632.4M − 226M = TZS 406.4M Mtu aliyeanza miaka 20 ana zaidi ya TZS 406M MORE. Lakini aliweka kutoka mfukoni: 48M − 36M = TZS 12M zaidi tu. Yaani ameongeza contribution yake kwa 12M tu, lakini miaka 10 ya ziada imempa advantage ya zaidi ya 406M. Hiyo ndiyo nguvu ya TIME + COMPOUND GROWTH. Growth yako inaanza ku-generate growth nyingine. Kwa hiyo ukiwa na miaka 20 usiseme: “Pesa yangu ni ndogo, nitasubiri miaka 30.” Hata kama ni 20K, 50K au 100K kwa mwezi — ANZA. Kwenye investing, muda unaweza kuwa na thamani kubwa kuliko amount unayoanza nayo. Kumbuka: 10% ni assumption ya mfano, si guaranteed return. 📕 Siri 69 za Kupata Pesa — madini yote yapo humo. Nenda kwenye bio yangu chap ukakichukue kabla havijaisha. Peace ✌🏾

About