@su.sancz: #dc #fypシ #viral #poland

𝚉𝚞𝚣𝚔𝚊
𝚉𝚞𝚣𝚔𝚊
Open In TikTok:
Region: PL
Thursday 25 January 2024 15:57:48 GMT
265339
27496
57
144

Music

Download

Comments

kinga.paetke42
Kinga Paetke :
nie da się 😂🥰
2026-03-15 03:49:59
0
juliamilcz
Milczuuus :
Piosenka z czasów nastoletnich koooocham
2024-01-25 21:58:07
397
natala_np
natala_np :
Co to za słuchawki?
2024-01-25 18:38:33
9
weronika24297
Weronika :
aaaaahhhh przypomnialy mi sie nastoletnie czasu 🥺😆
2024-01-26 23:17:08
7
k.kamila1222
kamila :
skad spodnie
2024-01-25 16:29:19
5
weronikasurma
weronikasurmaa :
Potrzebuje takie playlisty na Spotify z takimi nutami 🥺
2024-02-24 10:39:44
5
tonewpromilach
wikus :
kocham przyłuca
2024-01-26 21:35:54
3
batkowska.a
Ania Batkowska :
@dominika lewandowska @nmoc
2024-02-07 13:01:51
2
zuxiaa_00
ig:z_wronskaa :
skąd te spodnie i jaki rozmiar??????
2024-01-27 18:02:59
2
ja_ty_my_wy_oni_04
❤Paulinka❤ :
dalej to kocham 😍
2024-01-26 16:52:27
2
natsi179
natalia :
kocham tą piosenkę 😭
2024-01-27 08:53:09
1
joannalaskowska1
Asiczczka👽👽 :
@Olusia😜
2024-02-26 17:39:15
1
akhardis
Akhardis :
@Gabii
2024-02-23 08:17:23
1
olawazzup
Olawassuuup :
@natguz_
2024-02-19 17:30:02
1
elizagladysz
Gładysz :
@Pokorska
2024-01-28 22:00:18
1
vixcyy_
𝖂𝖎𝖐𝖙𝖔𝖗𝖎𝖆 :
deeeyysik 😻
2024-01-28 07:06:58
1
_dzulia_jestem__
_dzulia_jestem__ :
😍😍
2024-01-25 16:00:59
1
nrkmn08
nrkmn :
Skad spodnie?
2024-01-25 22:42:36
1
nika_siema777
Mika :
Skąd torebka ?
2024-01-25 19:57:18
1
juliagbala
juliagbala :
Skąd torebka?😻
2024-01-25 19:56:13
1
odioalasputasugh
Viki :
Ile masz wzrostu?
2024-01-27 14:16:47
0
xmana__
v3r.nik4 :
Numer referencyjny torebki? ☺️
2024-01-25 22:16:05
0
rrogowska30
roserose :
@Winko4 omgggg
2024-01-25 21:25:40
0
zagubiona.w.slowach
Weronika💜 :
O rany jak ja dawno nie słyszałam tej piosenki😭 ale tekst pamiętam nadal🥹
2024-02-03 18:11:48
0
robercik2115
Robert Zając :
skad lampa
2024-01-25 21:25:36
0
zuivvka
𝒵𝓊𝓏𝒶 :
Ref na spodnie 🥺
2024-02-09 00:31:28
0
maaslowska
maslowshkaa :
@gabikunik
2024-01-25 20:57:57
0
aleksandraa.xyz
aleksandra_xyz :
Skąd kurtka ?
2024-01-25 20:55:34
0
xagatax45
agata :
co to za piosenka?
2024-02-24 08:20:44
0
eleiaxx
Elleia :
Skąd torebeczka?❤️
2024-02-24 10:48:58
0
wiktoria.5078
₩iktoria🤍❤️ :
tytul
2024-02-24 13:45:40
0
To see more videos from user @su.sancz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Unpopular opinion! Hii content imenipa uzito sana kuitoa kwasababu ya mtazamo wa jamii, na tukubaliane sio content ya kila mtu, kuna watu itawaudhi na kuwafanya waone sio kitu cha kuzungumziwa in public na mtu mwenye ushawishi kwa watu, ila ni vyema ifike sehemu tuambiane ukweli unaouma na ambao hatutawahi kuuzowea kutokana na kofia iliyovikwa
Unpopular opinion! Hii content imenipa uzito sana kuitoa kwasababu ya mtazamo wa jamii, na tukubaliane sio content ya kila mtu, kuna watu itawaudhi na kuwafanya waone sio kitu cha kuzungumziwa in public na mtu mwenye ushawishi kwa watu, ila ni vyema ifike sehemu tuambiane ukweli unaouma na ambao hatutawahi kuuzowea kutokana na kofia iliyovikwa "NDOA". Ndoa imevikwa kofia ya "utakatifu" ni kitu chema, especially kwa wakristu (sipingani na hilo) ndio maana imekua ni kitu cha laana, kushindwa na kuonekana hujakamilika pale imetokea ndoa yako imeshindikana. Vitu vyote vyenye hiyo kofia vimekua vigumu sana hata kwa watumishi wa Mungu kuvivunja kwasababu inaonekana unaingilia kilichojengwa na Mungu, nyumba za ibada haziwezi kukushauri kwamba hii ndoa sasa imefika mwisho think otherwise, imekua inaonekana kama wanaingilia kusudi la Mungu. Swali dogo la kujiuliza ni..hawa watu takribani 130 wanao uw@w@ kila mwaka wakiwa kwenye ndoa kusudi lao mbele za Mungu lilikua ni nini? Kama Mungu aliwapa akili ya utambuzi, kuelewa na uwezo wa kufanya maamuzi, kwanini walishindwa kuona ndoa zao tayari zilishashindikana, wakaamua kusubiri vi£o vyao visababishwe na wenza wao kwenye ndoa kwa kuogopa kuwa judged na jamii. Jamii imeendelea kujitoa kwenye huu "ubaya" wa kuvunja ama kushauri watu waachane na ndoa zao mbaya. Familia zimeendelea kuwasukuma wapendwa wao kwenye ndoa mbovu kwa kuona aibu kuwa "wataonekanaje" pindi watoto wao watakapoonekana kashindwa kuishi kwenye ndoa zao. Ni hadi pale kijana wao anapo-uw@w@ ndio utaona machozi na majuto ya kila aina na unafiki wa kwamba tulijua na tulimshauri aachane na lile shetani..mume/mke. Ifike sehemu tuzungumze na watu wetu wa karibu ukweli, tuwaambie bila aibu kuwa ndoa zao zilipofika ni vyema kujiongeza bila kusubiri kuhudhuria misiba yao, waangalie nje ya box bila kujali familia na jamii watasemaje. Sidhani kama kusudi la Mungu ni kuona anatumia chombo chake mwenyewe "ndoa" kuangamiza watu wake, ni watu wake wameendelea kuangamia kwa kukosa maarifa. "Watu watanionaje" umekua ni mstari ambao unatumiwa na wanandoa wengi sana ambao leo tumebaki na kumbukumbu zao makaburini. NIMEAMUA KUWAFUNDISHA KILA KITU! #lifelessons #life #tiktok #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya🇰🇪

About