@musicalhearth: Mala Mia, el EP colaborativo entre Fuerza Regida y Grupo Frontera, ya salió a la luz, y nos dejaron 5 temas. #malamia #grupofrontera #fuerzaregida #coqueta @Fuerza Regida @Grupo Frontera Oficial

❤️‍🩹
❤️‍🩹
Open In TikTok:
Region: MX
Friday 20 December 2024 01:35:40 GMT
231248
12419
57
2012

Music

Download

Comments

eduardo.hernandez.98412a
Eduardo. ⊹ ❤︎ᩚ :
Fuerza regida y grupo frontera nunca fallan
2024-12-20 20:53:20
96
mluluax
Emiliano :
Grupo frontera nunca falla
2024-12-20 06:14:12
33
musicalhearth
❤️‍🩹 :
volveremos del flop: ¿qué canciones quieren?
2026-08-29 04:03:41
0
cdanielsss
Daniiel Saquic :
Que le echaron a esta canción? ✨
2025-01-14 06:29:04
22
jose_vtj
JoseVal🇧🇴 :
Voy a intentar estar en todos los videos que tengan Éste Himno (COQUETA)
2025-05-28 22:57:38
4
vxlle.7
✞𝓔𝔁ᦲ𝖙1¢✞ :
2026-05-23 03:04:52
1
alexxmz0
ALEX :
grupo frontera nunca falla 👌😁
2025-03-27 18:07:17
6
sol_15ml
solMl15 :
Igual ya me bloqueo 🥺
2026-08-07 16:14:15
1
mathex.z
mati☆ :
2025-12-22 20:51:46
0
gabvmax
•G4BZZD⭐️ :
Tanto nos pasó en una semana,ya bloquéame si no es cierto pero yo sé baby cierto que ambos mami nos teníamos ganas
2026-08-04 11:18:24
0
gisselythavg
gisselythavg :
🥰🥰
2024-12-20 05:09:25
6
alexitomsg
Alexander Saravia Tk :
@GranRebelde Tacas Ke 😢
2025-04-22 09:30:16
0
ximehernandez676
Hernández05 :
🥺
2024-12-21 14:02:36
2
nemesis21vm
AntonioVM21 :
❤️
2024-12-20 16:41:55
1
micky.lpez0
el-Krisynays🧞‍♂️ :
@Nayelyherrera vargas te amo
2026-03-20 22:53:40
0
abypatzan338
pablito :
😂
2025-07-02 20:26:42
0
arnol.td
^_∆rnol°°• :
😂
2025-07-05 21:26:41
0
arielsilva0861
🪫Wailin S.C :
🥺
2025-09-06 02:56:01
0
andrea.avila1589
Andrea Avila :
@Mario Tello
2025-09-10 07:00:20
0
jazmin.pereira85
Jaz🫶🏻 :
♥️
2025-05-12 00:38:59
0
verops590
vero09✨ :
😁
2024-12-22 05:02:32
0
To see more videos from user @musicalhearth, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Video ya Sir Alex Ferguson akiingia Old Trafford kushuhudia mechi ya Manchester United dhidi ya Ipswich imenifanya niwaze vitu vingi sana. Si tu kwenye soka bali pia safari ya maisha kwa ujumla. Huyo mzee anayeingia uwanjani kwa fimbo ya kutembelea huku mguu mmoja ukionekana kutokuwa sawa ni mzee wa miaka 84. Leo anatembea hivi lakini alikuwa kijana mwenye nguvu, mwepesi tena mchezaji kabla ya kuwa kocha.  Leo sitaki kuzungumzia rekodi zake kama kocha mwenye makombe mengi zaidi duniani. Sitaki kugusia jinsi alivyoifanya Man United kuwa moja ya timu kubwa duniani. Timu yenye mafanikio makubwa England. Timu yenye mashabiki wengi. Sina mpango wa kuelezea mataji yake 13 ya EPL na jinsi alivyotawala soka la Uingereza.  Picha hiyo mjongeo ya Babu Fegi inanifundisha vitu vikubwa viwili tu; mwanzo na mwisho. Hizi ndizo kanuni kuu za maisha. Kuzaliwa na kufa, kulala na kuamka, kuanza kazi na kumaliza, kusaini mkataba na kustaafu, kuanza masomo na kuhitimu, naam kila chenye mwanzo kina mwisho.  Kuna watu waliohitimu kidato cha sita juzi tu hapa, wakashangilia sana. Sasa wanaenda kuanza masomo ya chuo kikuu. Wapo wanaotarajia kufanya mahafali ya kuhitimu shahada za awali, shahada za umahiri n.k. Lakini miaka michache iliyopita ilikuwa ni mianzo ya kile kilichofika mwisho sasa. Mwisho huu ndio mwanzo wa fursa zingine za maisha ya kazi.  Wapo walioanza mahusiano jana, juzi, mwezi uliopita, mwaka jana na zaidi. Tena walianza kwa mbwembwe na fujo zote za maneno matamu, ahadi kibao, kuchati mpaka saa nane usiku, kupigiana simu za jumla na rejareja, video calls na kila kitu. Si unajua tena penzi jipya. Wapo waliyoyamaliza ndani ya muda mfupi tu baada ya kushindwa kupata suluhu ya tofauti zao. Wapo waliodumu muda mrefu lakini bado mwisho ukafika, wakaachana.  Mwanzo wa mechi ni kipenga kimoja. Mwisho wa mechi ni vipenga vitatu. Mwanzo wa mechi kila timu ina morali ya kushinda lakini mwisho wa mechi wengine hulia na wengine hushangilia. Mwanzo wa maisha mtoto analia. Mwisho wa maisha marehemu analiliwa. Katika kila kitu tunachofanya, haijalishi mwanzo ulikuwa mtamu au mchungu kiasi gani; cha msingi tuwe na mwisho mzuri. Mwisho mzuri kwenye biashara, safari, kazi, ndoa na zaidi ya yote mwisho mwema wa maisha yetu hapa duniani.
Video ya Sir Alex Ferguson akiingia Old Trafford kushuhudia mechi ya Manchester United dhidi ya Ipswich imenifanya niwaze vitu vingi sana. Si tu kwenye soka bali pia safari ya maisha kwa ujumla. Huyo mzee anayeingia uwanjani kwa fimbo ya kutembelea huku mguu mmoja ukionekana kutokuwa sawa ni mzee wa miaka 84. Leo anatembea hivi lakini alikuwa kijana mwenye nguvu, mwepesi tena mchezaji kabla ya kuwa kocha. Leo sitaki kuzungumzia rekodi zake kama kocha mwenye makombe mengi zaidi duniani. Sitaki kugusia jinsi alivyoifanya Man United kuwa moja ya timu kubwa duniani. Timu yenye mafanikio makubwa England. Timu yenye mashabiki wengi. Sina mpango wa kuelezea mataji yake 13 ya EPL na jinsi alivyotawala soka la Uingereza. Picha hiyo mjongeo ya Babu Fegi inanifundisha vitu vikubwa viwili tu; mwanzo na mwisho. Hizi ndizo kanuni kuu za maisha. Kuzaliwa na kufa, kulala na kuamka, kuanza kazi na kumaliza, kusaini mkataba na kustaafu, kuanza masomo na kuhitimu, naam kila chenye mwanzo kina mwisho. Kuna watu waliohitimu kidato cha sita juzi tu hapa, wakashangilia sana. Sasa wanaenda kuanza masomo ya chuo kikuu. Wapo wanaotarajia kufanya mahafali ya kuhitimu shahada za awali, shahada za umahiri n.k. Lakini miaka michache iliyopita ilikuwa ni mianzo ya kile kilichofika mwisho sasa. Mwisho huu ndio mwanzo wa fursa zingine za maisha ya kazi. Wapo walioanza mahusiano jana, juzi, mwezi uliopita, mwaka jana na zaidi. Tena walianza kwa mbwembwe na fujo zote za maneno matamu, ahadi kibao, kuchati mpaka saa nane usiku, kupigiana simu za jumla na rejareja, video calls na kila kitu. Si unajua tena penzi jipya. Wapo waliyoyamaliza ndani ya muda mfupi tu baada ya kushindwa kupata suluhu ya tofauti zao. Wapo waliodumu muda mrefu lakini bado mwisho ukafika, wakaachana. Mwanzo wa mechi ni kipenga kimoja. Mwisho wa mechi ni vipenga vitatu. Mwanzo wa mechi kila timu ina morali ya kushinda lakini mwisho wa mechi wengine hulia na wengine hushangilia. Mwanzo wa maisha mtoto analia. Mwisho wa maisha marehemu analiliwa. Katika kila kitu tunachofanya, haijalishi mwanzo ulikuwa mtamu au mchungu kiasi gani; cha msingi tuwe na mwisho mzuri. Mwisho mzuri kwenye biashara, safari, kazi, ndoa na zaidi ya yote mwisho mwema wa maisha yetu hapa duniani.

About