@afyawarrren: *FAHAM KUHUSU TATIZO LA NYAMA ZA PUA* ➡️nyama za pua hujulikana kama ADENOIDS ➡️Hizi ni tishu zilizopo nyuma ya pua karibu na koo ➡️Hizi tishu huweza kusababisha tatizo kama zikikua kupita kiasi au kuvimba *DALILI ZA TATIZO HILI* ➡️kukohoa na kupiga chafya mara kwa mara ➡️kupata shida ya kupumua kupitia pua ➡️kupumua kwa kupitia mdomo,hasa wakati wa kulala ➡️kuongezeka kwa maambukizi ya masikio ➡️kukoroma wakati wa usingizi *NJIA ZA UTAMBUZI NA MATIBABU* ➡️ni muhim kumpeleka mtoto au mtu mwenye tatizo kwa Daktari kwa ajiri ya tathimini na utambuzi sahihi. ➡️matibabu yanaweza kujumuisha,matumizi ya dawa,upasuaji ➡️ushauri bure,mpigie Dr.warrren 0747549223

DR.WARRREN
DR.WARRREN
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 February 2025 07:48:30 GMT
2476
11
12
2

Music

Download

Comments

mmanyi
Chagga girl ♥️ :
Naomba number
2025-09-10 22:04:48
1
jennyluxecollection1
It’s jenny255🌹🌹🌹 :
Mm mtoto wangu Ana mwaka na miez 3 na anavyo vinyama vya pua unanishaurije au akafanyiwe operation
2025-08-20 22:13:35
0
balahatuni04
Ukhty ~latifa🦋 :
Dr kukaa bila kupiga chafya kwa wiki 4 nzima iyo ni sawa au nitakua na shida
2026-01-23 14:54:42
0
kalbayt
Kalbayt :
unatumia bima?
2025-02-19 07:55:27
0
userflora60
mama GG Quality mitumba :
nina mdogo wangu anashida hiyo, ila hospital walisema ana pumu,je inaweza pia ikaea sanabu ni hiyo?
2025-02-19 08:34:38
0
aminakhamis82
ms minaah♥️ :
ko hizo ikionekana IV kwenye pua kama hiyo picha ndo nyama za pua
2025-06-12 20:05:55
0
To see more videos from user @afyawarrren, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About