@olivia.juliani5:

olivia.juliani5
olivia.juliani5
Open In TikTok:
Region: ID
Wednesday 21 May 2025 12:35:17 GMT
102714
12759
25
819

Music

Download

Comments

_nkeberryss
INKEES_YSL :
first love, first experience, pacar terlamanya, orang pertama yang bikin dia nangis
2025-08-09 07:33:52
80
andnnr_8
ndin :
aku first experience nya😘
2025-07-15 09:08:29
48
glxsyy_c44
pr¡nce_caa? :
mau repost tapi Masi polow polow an sama mantan😭
2026-07-21 11:12:54
0
malaa_afiaa
málunnn :
dia balikan sama mantannya, tpi gw first experience nya🤭
2025-12-27 11:19:38
2
_lijiana1
🍒 :
@wani_cuppy🙌 😋
2025-11-09 04:30:18
2
ecaaaww71
kesyaaa✌🏿 :
@ZAHRA,👣👀 post gk nieh? 😂
2026-03-01 13:59:01
1
nesyuy
nesyaniemangsape? :
@ʂԋαα~🤸🏻‍♀️•°☆ repost ngg nie?
2025-12-18 05:34:26
2
amelia_puspita_sari1
princess 🧚🏻‍♀️ :
@zhuuww🎀 🤭
2025-11-08 07:04:34
0
auliadvianjani
🐚 z Z :
@🧸
2025-09-06 23:48:18
2
hasnahsyedih
nah betmut😒 :
😜😜😜
2026-01-24 12:38:19
0
projenterbangcantik
kezyaaaa :
@Ririnn4421
2025-07-18 12:41:29
0
p_69w
𝑫𝒂𝒗𝒊𝒏𝒂 :
@account aduhh🤭
2025-07-24 13:00:44
0
naaa.girls
N? :
🙏
2025-08-21 05:14:05
0
zaskiaww77
ZK :
😭
2025-09-15 13:16:25
0
kyaawcloudie_
ky :
🤭
2025-12-28 06:18:45
0
the0nlyy.dilaa
A4lys. :
diem ajaaa dehhh
2025-06-11 00:09:37
1
zaskiaww77
ZK :
😍
2025-09-15 13:16:27
0
To see more videos from user @olivia.juliani5, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Ushirikina Katika Ujenzi  Hili ni jambo lililopo sana Tanzania, hasa Dar, Pwani, Tanga. Watu wengi wanaamini, Wengine wanatumia kama mbinu ya kutafuta pesa.  AINA 7 ZA USHIRIKINA UNAOFANYIKA UJENZINI 1. Kuchinja kuku / mbuzi kwenye msingi 2. Kuzika chupa / mayai / hirizi kwenye kona 4 3. Kuweka pesa / sarafu kwenye msingi 4. Fundi kusema
Ushirikina Katika Ujenzi Hili ni jambo lililopo sana Tanzania, hasa Dar, Pwani, Tanga. Watu wengi wanaamini, Wengine wanatumia kama mbinu ya kutafuta pesa. AINA 7 ZA USHIRIKINA UNAOFANYIKA UJENZINI 1. Kuchinja kuku / mbuzi kwenye msingi 2. Kuzika chupa / mayai / hirizi kwenye kona 4 3. Kuweka pesa / sarafu kwenye msingi 4. Fundi kusema "Bosi kuna nyoka msingini" 5. Kutokuruhusu mama mjamzito kuingia jengoni 6. Kuzika nguo au mifupa ya mnyama juu ya lenta 7. Mganga kuja "kuzindua" nyumba MADHARA HALISI YA USHIRIKINA UJENZINI 1. Unapoteza pesa - Kuku wa kafara 50k, mbuzi 200k, mganga 500k - pesa zote bure 2. Nyumba inaharibika - Mayai na damu chini ya msingi inaleta wadudu, harufu na uozo 3. Msimamizi anakuibia - Akisema kuna mzimu, atakupa bei kubwa ya vifaa halafu anakula pesa 4. Unachelewesha ujenzi - Siku 3 za kusubiri nyota nzuri, mvua ya kafara n.k 5. Kisheria - Kuchinja hadharani bila kibali cha afya ni kosa Ukitaka nyumba yako iwe salama kisheria na kiimani: Kwa Muislamu: • Soma Dua ya kuingia nyumba mpya, Sura Al-Baqara ndani ya nyumba siku 3 za mwanzo • Toa sadaka kwa maskini - hii ndio kinga halisi Kwa Mkristo: • Mwite mchungaji aombe, sio mganga • Maombi ya kuweka wakfu nyumba Kwa Kihandisi (Muhimu zaidi): 1. Pima udongo (soil test) - 300k-500k Dar. Hii ndio inazuia nyumba kuanguka, sio kuku 2. Tumia fundi mwenye leseni - Mwenye CRB, sio fundi wa mtaani tu 3. Tumia nondo za kutosha - MSingi usiweke kuku, weka nondo 12mm na saruji nzuri 4. Weka kinga ya mchwa (ant poison) - Hii ndio dawa ya msingi, sio chupa Fundi mzuri atasema: "Bosi mchanga mbaya, ongeza saruji" - sio "bosi kuna mzimu"

About