@ameer__592: Kato, Region 8, Guyana #fyp #fypシ゚ #guyana #beautifulguyana #kato #visitguyana #guyananice #travel #tourismguyana #guyanese #region8 #nature #mountains #chiungfalls #waterfall #stream #guyanesetiktok🇬🇾 #viralvideos

Ameer_592
Ameer_592
Open In TikTok:
Region: GY
Monday 23 June 2025 19:51:23 GMT
71073
6700
155
1621

Music

Download

Comments

592rep
592REP :
The scenery is beautiful but putting this together is pretty good work
2025-06-24 13:31:35
92
shellondawson5
shellondawson2 :
Kato is definitely on my bucket list😩❤️🇬🇾
2025-06-25 00:42:44
62
nelly.sargeant
Nelly Phoenix :
is there tours available to go there ?🥺
2025-06-25 13:31:28
5
aloe.vieira
aloe.vieira :
This should be viral. This is breathtaking ❤️❤️❤️❤️❤️
2025-06-24 13:25:34
14
tik87363
tik :
Is it possible to get here by driving?
2025-08-21 23:00:57
3
dmxsexymom34
sexymom1 :
Wait tats Guyana 🇬🇾 oh Jesus I need some money to tour my own country 💯
2025-06-26 18:05:53
8
chriselliman37
Chris 💫 :
love these footages. perfectly edited.
2025-06-24 14:12:17
5
anjali088_
Anjali🎀🇬🇾 :
Guyana is Beautiful😍🇬🇾
2025-06-23 20:02:37
5
cab213
Cindy :
How do I get here?
2025-07-01 21:35:07
1
mirzaally404
Mirza :
wow where is this ?
2025-06-24 16:15:46
1
sexyrissa41
RISSA’S beauty palace :
Make your videos shareable plz
2025-06-27 02:40:11
0
adesima71
Adesima :
reg 8 them look real🥰🥰🥰
2025-06-28 16:26:56
1
sweetlikaberry
Ms B :
This is what I’m talking about when I say I want to explore Guyana 🇬🇾 😩😍🔥
2025-06-25 13:06:56
4
user593316326
Satish Bisambhar :
looks so unreal
2025-06-24 19:46:58
3
hallielove3
Hallie Love :
How to reach there 😭
2025-06-29 23:51:35
1
ambika.537
Ambika💕💕💕 :
Beautiful
2025-08-22 00:11:22
1
navin.s24
Navin.S :
I want to go so bad
2025-09-01 13:08:46
1
charlesadrain
@Charles Adrain :
thissss. 🥰
2025-06-24 01:31:25
2
blackexpatreflections
Theodosia Cook :
So beautiful…amazing shots
2025-08-22 10:19:59
1
rahim_luv22
Rahim :
dose any company do tours to these placese
2025-06-25 01:47:45
1
andy.anderson42
Andy Anderson :
Kato is simply beautiful...love my country ♥🥰
2025-06-25 16:00:32
1
luis.murillo.07
luis murillo 07 :
2025-07-21 03:54:18
1
all_things_nature
Aliya 🇨🇦🇬🇾🌳 :
Absolutely stunning
2025-06-24 18:46:55
1
lisa_lawrie2
Lisamlawrie :
Beautiful 🇬🇾
2025-06-25 13:44:46
1
To see more videos from user @ameer__592, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

PART ONE: Abu Muslim Al Bahalani jina lake kamili ni Nasser bin Salim Al Rawahi alikuwa mshairi, mwanazuoni, na mwanahabari na mwandishi wa vitabu mbali mbali vya fasihi na akida kutoka Nchini Oman.  Abuu Muslim anachukuliwa kama mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa katika historia ya Kiswahili na Uarabu wa Afrika Mashariki, hasa kwa kazi yake nchini Zanzibar. Amepata sifa kubwa kutokana na kazi zake za uandishi ametambuliwa kimataifa huko Oman katika watu watatu wanaotambuliwa kuwa ni washairi wakubwa na maarufu mmoja wapo ni yeye Abu Muslim  Alizaliwa mwaka 1860 katika Bonde la Mahram, Oman, na alifariki mwaka 1920 Zanzibar na alizikwa makaburi ya Waarabu Rahaleo kwenye msikiti wa Jamia ya Waarabu miaka miwili baada ya kufariki rafiki yake mkubwa Sheikh Rashid Bin Slim Bin Salum Al Ghaithiy aliyekuwa akiishi Mwera Kiongoni. Asili na Elimu: Alikulia katika mazingira ya kidini na kisomi; baba yake alikuwa Qadhi (hakimu) na mwanazuoni wa Ibadhi. Alisoma Quran na Sheria ya Kiislamu kwa wanazuoni maarufu. Akiwa na umri wa miaka 18, alihamia Zanzibar na baba yake mwaka 1878. Kazi Zanzibar: Alihudumu kama Qadhi Mkuu (Hakimu mkuu) kwa Masultani kadhaa wa Zanzibar, akishauri watawala kama Sultani Hamad bin Thuwaini na Hamoud bin Mohammed. Utumishi wake katika mahakama uliisha mwaka 1907 kwa shinikizo la serikali ya kikoloni ya Uingereza. Baba wa Uandishi wa Habari wa Omani: Mwaka 1911, alianzisha gazeti la Al-Najah  Zanzibar. Hili lilikuwa jarida la kwanza la kisasa kwa Omani, likitoa mwangaza wa matukio ya kisiasa na kijamii katika ukanda wote wa Ghuba ya Uajemi na Afrika Mashariki. Mwaka 2019, Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) lilimtambua kama mmoja wa watu wenye ushawishi duniani kwenye kumbukumbu ya miaka 100 tangu kifo chake, kwa juhudi zake za kuleta mageuzi kwa njia ya mashairi na uandishi. Ushairi na Wanazuoni: Mbali na kuhudumu kama hakimu, alikuwa na
PART ONE: Abu Muslim Al Bahalani jina lake kamili ni Nasser bin Salim Al Rawahi alikuwa mshairi, mwanazuoni, na mwanahabari na mwandishi wa vitabu mbali mbali vya fasihi na akida kutoka Nchini Oman. Abuu Muslim anachukuliwa kama mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa katika historia ya Kiswahili na Uarabu wa Afrika Mashariki, hasa kwa kazi yake nchini Zanzibar. Amepata sifa kubwa kutokana na kazi zake za uandishi ametambuliwa kimataifa huko Oman katika watu watatu wanaotambuliwa kuwa ni washairi wakubwa na maarufu mmoja wapo ni yeye Abu Muslim Alizaliwa mwaka 1860 katika Bonde la Mahram, Oman, na alifariki mwaka 1920 Zanzibar na alizikwa makaburi ya Waarabu Rahaleo kwenye msikiti wa Jamia ya Waarabu miaka miwili baada ya kufariki rafiki yake mkubwa Sheikh Rashid Bin Slim Bin Salum Al Ghaithiy aliyekuwa akiishi Mwera Kiongoni. Asili na Elimu: Alikulia katika mazingira ya kidini na kisomi; baba yake alikuwa Qadhi (hakimu) na mwanazuoni wa Ibadhi. Alisoma Quran na Sheria ya Kiislamu kwa wanazuoni maarufu. Akiwa na umri wa miaka 18, alihamia Zanzibar na baba yake mwaka 1878. Kazi Zanzibar: Alihudumu kama Qadhi Mkuu (Hakimu mkuu) kwa Masultani kadhaa wa Zanzibar, akishauri watawala kama Sultani Hamad bin Thuwaini na Hamoud bin Mohammed. Utumishi wake katika mahakama uliisha mwaka 1907 kwa shinikizo la serikali ya kikoloni ya Uingereza. Baba wa Uandishi wa Habari wa Omani: Mwaka 1911, alianzisha gazeti la Al-Najah Zanzibar. Hili lilikuwa jarida la kwanza la kisasa kwa Omani, likitoa mwangaza wa matukio ya kisiasa na kijamii katika ukanda wote wa Ghuba ya Uajemi na Afrika Mashariki. Mwaka 2019, Shirika la Sayansi, Elimu na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) lilimtambua kama mmoja wa watu wenye ushawishi duniani kwenye kumbukumbu ya miaka 100 tangu kifo chake, kwa juhudi zake za kuleta mageuzi kwa njia ya mashairi na uandishi. Ushairi na Wanazuoni: Mbali na kuhudumu kama hakimu, alikuwa na "Madrasa" ya kufundishia lugha ya Kiarabu. Alitoa mchango mkubwa katika fasihi kwa kuunganisha mawazo ya Ibadhi (Fikra ya Kiislamu inayojulikana kwa msimamo wake wa wastani) na Fikra ya Kisufi (Sufi), jambo ambalo lilikuwa la kipeo kwa wataalamu wa Ibadhi nyakati zake. Fahari ya Zanzibar

About