acha ujinga basi bro unajua lkn kuwa unafundisha watu wizi engekuwa ww ungefurah kuwalipia watu bando la bure
2025-10-07 18:04:37
52
🥰luyi family 🫂 :
naomba unisaidie kama sijapewa passrd nitafanyaje
2025-10-10 09:48:31
15
mr.chengine :
jinsi ya kufanya redio iweze kupika ugali cha kufanya let's do this 😎
2025-12-06 19:17:00
19
jahmteligence :
Kwa I phone inakuaje
2025-10-07 23:20:46
8
Jafarai Ally :
siku izi watu hatublock specific Mac address tena, unawekwa kwenye white list tu🤣🤣, hata uwe na password hutopata internet. na ukijiponza tu ukachange mac address yko unajitoa mwenyewe kwenye wifi hutopata internet mpaka nikurudishe tena kwenye white list. nikikuunga usihangaike kuleta ufundi, utakosa internet mpaka ujute kuleta ujuaji.
2025-11-17 22:53:19
23
osam mdewa☑️ :
wale wa 5/5 twend nalo chap chap
2025-10-09 16:21:26
12
Nashy Hamis :
kila mifano inayotolewa lazima utumie samsung,,sis wa infinix inakuweje sas??
2025-11-09 01:45:51
6
verick :
nilikuwa nakuamin sana ila kw ahili 🤣🤣
2025-10-09 14:37:00
7
🍁beatus315 :
Aya na mimi wa iphone nafanyeje..?
2025-10-16 12:36:58
6
weed :
Unafunza wizi coz hiyo wifi mwenyewe analipa kila mwezi na ww wafunza mtu kuiba. 😳😳
2025-11-20 16:42:49
5
Aduonga :
wafundishe jinsi ya kununua wifi sio kuiba ya wenzake
2025-10-12 08:54:40
10
Sime De Rich :
na kudhibiti Mtu asiweze kupata WiFi yangu nifanyeje?
2025-10-08 13:14:30
6
clemetich junior KENYA@ :
follow me
2025-12-26 23:59:36
5
isaka master :
oyaaaaaaa unatusaidia kulipia au mbona unatoa Siri acha ushamba mshkaji wangu
2025-12-19 12:49:53
6
Allen Ndosi :
oyaaa ckuping man
2025-10-11 14:48:52
8
abdi12345 :
A03🥰
2026-04-17 13:31:00
2
From smith jack :
cool 🥰🥰🥰🥰🥰
2026-04-21 10:39:30
1
James Mugo 🇰🇪🇰🇪 :
aaaaaaiiiii imekataa😳
2026-02-07 12:17:41
1
hawa kilewa :
habar..simu yangu aifungui WF wala Bluetooth
2026-04-03 17:44:07
2
Scoba R6 :
nielekeze
2026-04-02 10:16:55
2
Anna Mligwa :
mimi nilisahau passive ya insta yangu nitafanyaje iliniendelee nayo ile ile
2026-03-16 09:48:19
3
Shei_òbey :
10/10
2025-12-18 13:55:24
4
To see more videos from user @ubeparicompany, please go to the Tikwm
homepage.