@wasi_1.2.5: 510 tractor 2026 model

𓆩𝙒 𝘼 𝙎 𝐢𓆪¹
𓆩𝙒 𝘼 𝙎 𝐢𓆪¹
Open In TikTok:
Region: PK
Saturday 20 December 2025 15:58:41 GMT
386359
9933
614
335

Music

Download

Comments

naeemabbas00330
نمبردار🇬🇧 :
in
2026-07-28 16:01:29
2
ad.ajaz
AD ajaz :
17 ya 18 so
2026-08-05 16:18:19
2
shahyad.khan3234
Shahzad Khan 3234 :
1200 man
2026-04-13 08:29:43
1
virk.shb3
virk Shb :
Ya tractor manay kal kazmi chowk py dekha tha kia huai hy
2025-12-21 12:55:30
3
raa.riwan.manj
Raنa RiضwaN manj :
m
2026-05-02 11:23:05
2
siyaladamunda3
صفدر کہتے ہیں 💪🏻😎😈 :
11 Soo maan
2026-01-30 12:47:59
0
qamar.abbas8889
Qamar Abbas :
25,26🥰❤️
2026-02-27 10:52:39
2
marvang1
Jaduuuu :
shadaustad😊😊😊
2026-02-07 10:21:54
0
hassan.gujjar3757
Hassan Gujjar :
80’90mn
2026-06-01 07:41:39
1
muhammadrahib727
muhammadrahib727 :
50man
2026-02-22 03:17:35
1
farman0162
Farman :
bahi 900 ko 950 mn
2026-01-08 01:16:46
3
zaheerahmad86500
Zaheer Bewas :
0ppplm
2026-03-18 18:22:51
1
jawadsumbli566
👑 سنمبلی جواد 👑 :
15
2026-02-08 10:52:53
1
ranarashid4693
🔥R🔥 :
🥰❤Jeio Brand❤❤️
2026-01-06 19:17:53
1
muhammad.khalik.k
Muhammad khalik khan :
2026-01-25 13:49:42
1
malikgdjk483
Malik :
l🥰l
2025-12-24 07:34:25
1
sanaullahsaggusag
Sanaullah Saggu Sagg :
jjiin i
2026-01-11 03:44:48
1
dolatkhan577
Dolat khan :
1600
2026-01-26 18:30:34
0
muhammadshakee8867
M shakeel :
I'm I'm x loo 0z
2026-07-03 07:25:47
0
kadir.demir6363
Kadir Demir :
😏😏I’m
2026-07-20 19:14:01
0
nasir.meo304
ناصر💘💘💘 :
1000 man ha
2026-08-07 06:12:33
0
adnankhanbaloch008
^_^ BÃLÖÇH ;- بآدشأۂ ☝️ :
mashallah
2026-08-13 04:32:31
1
noman.javad8
Noman Javed 0 🇵🇰🇸🇦 :
1
2026-08-22 14:11:50
0
ray.ismail52
RAY ISMAIL :
1500man
2026-08-21 11:05:59
0
salam.ya.hussain810
SALAM YA HUSSAIN :
1570
2026-01-31 19:17:03
0
To see more videos from user @wasi_1.2.5, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) kimetishia kuagiza malori kupaki nchi nzima iwapo agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, la kuyazuia malori kuegesha barabarani litaendelea kutekelezwa bila kuwepo maeneo mbadala ya maegesho. Akizungumza Agosti 18, Mwenyekiti wa TATOA, Elias Lukumay, amesema chama hicho hakipingi hatua za Serikali katika kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam, lakini kinataka mamlaka zitafute suluhisho la kudumu kwa kuwaondolea wamiliki wa malori mzigo wa kutafuta maeneo ya kuegesha magari yao. Lukumay amesema malori ni sehemu muhimu ya uchumi wa taifa, hasa katika kusafirisha mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda mikoa mbalimbali na nchi jirani, hivyo kuzuia malori kufanya kazi bila kuwepo kwa miundombinu ya kutosha kunaweza kuathiri mnyororo mzima wa usafirishaji. Amesema changamoto kubwa inayowakabili wasafirishaji ni upungufu wa miundombinu, akieleza kuwa lori linaweza kutumia kati ya saa nane hadi 10 kutoka Bandari ya Dar es Salaam hadi Kona ya Ubungo kutokana na msongamano wa magari. Mwenyekiti huyo amesema TATOA imekuwa ikishirikiana na Serikali katika kutatua changamoto za sekta ya usafirishaji, lakini imesikitishwa na hatua za kukamata malori, kuwavamia madereva na kung’oa namba za usajili, akisema njia hiyo haiwezi kuwa suluhisho la tatizo la miundombinu. Amesisitiza kuwa wamiliki wa malori wako tayari kuyapaki katika maeneo maalumu iwapo Serikali itawapatia maeneo mbadala yenye miundombinu inayofaa kwa ajili ya maegesho. Lukumay ameitaka Serikali kukaa mezani na TATOA pamoja na wadau wengine wa sekta ya usafirishaji ili kujadili changamoto hizo na kufikia suluhisho la pamoja, akionya kuwa endapo mazungumzo hayatapewa nafasi na agizo la kuyazuia malori kuegesha litaendelea bila kuwepo kwa maeneo mbadala, TATOA inaweza kuagiza malori kupaki nchi nzima. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #tanzaniatrending#tanzaniatrending #tanzaniatrendingstory #TanzaniaTre #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #viraltz
VIDEO: Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) kimetishia kuagiza malori kupaki nchi nzima iwapo agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, la kuyazuia malori kuegesha barabarani litaendelea kutekelezwa bila kuwepo maeneo mbadala ya maegesho. Akizungumza Agosti 18, Mwenyekiti wa TATOA, Elias Lukumay, amesema chama hicho hakipingi hatua za Serikali katika kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam, lakini kinataka mamlaka zitafute suluhisho la kudumu kwa kuwaondolea wamiliki wa malori mzigo wa kutafuta maeneo ya kuegesha magari yao. Lukumay amesema malori ni sehemu muhimu ya uchumi wa taifa, hasa katika kusafirisha mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda mikoa mbalimbali na nchi jirani, hivyo kuzuia malori kufanya kazi bila kuwepo kwa miundombinu ya kutosha kunaweza kuathiri mnyororo mzima wa usafirishaji. Amesema changamoto kubwa inayowakabili wasafirishaji ni upungufu wa miundombinu, akieleza kuwa lori linaweza kutumia kati ya saa nane hadi 10 kutoka Bandari ya Dar es Salaam hadi Kona ya Ubungo kutokana na msongamano wa magari. Mwenyekiti huyo amesema TATOA imekuwa ikishirikiana na Serikali katika kutatua changamoto za sekta ya usafirishaji, lakini imesikitishwa na hatua za kukamata malori, kuwavamia madereva na kung’oa namba za usajili, akisema njia hiyo haiwezi kuwa suluhisho la tatizo la miundombinu. Amesisitiza kuwa wamiliki wa malori wako tayari kuyapaki katika maeneo maalumu iwapo Serikali itawapatia maeneo mbadala yenye miundombinu inayofaa kwa ajili ya maegesho. Lukumay ameitaka Serikali kukaa mezani na TATOA pamoja na wadau wengine wa sekta ya usafirishaji ili kujadili changamoto hizo na kufikia suluhisho la pamoja, akionya kuwa endapo mazungumzo hayatapewa nafasi na agizo la kuyazuia malori kuegesha litaendelea bila kuwepo kwa maeneo mbadala, TATOA inaweza kuagiza malori kupaki nchi nzima. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #tanzaniatrending#tanzaniatrending #tanzaniatrendingstory #TanzaniaTre #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #viraltz

About