@hipposarahmus: He’s lucky that’s he’s so hot 🤧 #sunghoon#fyp#enhypen#kpop#funny

Sarah 😸
Sarah 😸
Open In TikTok:
Region: US
Wednesday 14 January 2026 13:08:05 GMT
114271
34889
301
2008

Music

Download

Comments

aqian_09_
Q. :
I mean just look at that side😌
2026-01-16 00:46:03
4277
j_trejo1224
𓃗•𝒥𝓊𝓁𝒾𝓏𝒶•𓃗 :
And he looks good every pic 😏
2026-01-15 02:12:44
1250
dest_elias57
Elias(dest)🙈🙆🏻 :
He’s like “get my good side”
2026-01-14 13:21:50
4546
daisiesarepretty06
Daisy✧ :
he is like those Facebook dads😭
2026-01-15 11:47:04
1534
nishi_puma_riki
freaKI🤦🏼‍♂️ :
2026-01-15 14:45:09
688
icbfxc
… :
bro doesn't realize he look good in every angle 😭
2026-01-16 01:09:54
69
yr_miau
Kocheng :
he is so father vibe😭😭
2026-01-15 10:25:13
286
aera.i
aera :
bro takes a picture like an uncle 😞
2026-01-15 13:27:07
142
caedezz
𝓚𝓭𝓮𝓷𝓷 :
still good looking as always🫦
2026-01-17 12:36:07
89
limoonisky
𝓴𝓲𝓴𝓲 :
how about this😭
2026-01-17 04:30:54
171
c.ihs.x
c.ihs.x :
with the same damn smirk over and over again😭
2026-01-15 19:09:01
46
undefinetly
ria :
he saved those unique poses on his photocards thats why its so expensive 😭
2026-01-20 04:34:58
20
linshi__
saralinh :
uncle sunghoon😭
2026-01-15 11:31:28
50
n997920
️gh5678 :
Facebook mom taking pictures 🤣🤣😭
2026-01-15 18:20:48
26
aeri.dk
aeri :
2026-01-15 17:43:02
45
ig_4444449998
ᴍᴀʀɪᴇʟᴀ🌟🦅|ɢᴏᴏᴅʙʏᴇ 🤣 :
2026-01-15 16:53:57
147
underurspellrn
sunghoonsrightfoot⁷ :
I thought I was gonna get Sunghooned again..
2026-01-16 18:54:43
64
laraismybias_
duang I can't take it anymore. :
he's a Facebook dad🥹
2026-01-15 14:27:02
38
elanovenezolanodejungwon
el ano venezolano de Jungwon :
yo con el único ángulo en el que me veo bien 😭
2026-01-15 17:21:30
42
tototototo105
🍪🆑🤢😒 cookie clicker :
he was a facebook dad in his past life 😭
2026-01-16 08:02:39
14
zedric.imnida_
재드릭 ୨୧ :
ganiyan talaga pag senior na
2026-01-16 07:33:56
5
ruby_chinz
Neha Chinz :
2026-01-15 11:02:59
10
To see more videos from user @hipposarahmus, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Dkt. Khamis Mussa, mchambuzi wa masuala ya siasa, amemtaja Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba kuwa ni “tatizo kuu la matatizo ya Watanzania”, akidai kuwa sehemu kubwa ya changamoto zinazohusu Katiba nchini zinatokana na nafasi na maamuzi ya Warioba katika vipindi mbalimbali vya historia ya Tanzania. Akizungumza leo Ijumaa, Septemba 4, 2026, Dkt. Mussa amesema Warioba ndiye aliyeandika Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akidai kuwa Katiba hiyo ilimpa Rais madaraka makubwa kiasi kwamba hata Mwalimu Julius Nyerere alilazimika kuifanyia marekebisho mwaka 1982 na 1984. Amesema kinachomshangaza ni baadhi ya wakosoaji wa Katiba hiyo kumtaja Warioba kama shujaa licha ya kuwa ndiye aliyeshiriki kuiandaa. Dkt. Mussa pia amemlaumu Warioba kwa kile alichokiita kushindwa kutumia nafasi aliyopewa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete kupitia Tume ya Mabadiliko ya Katiba, akidai kuwa mapendekezo ya Serikali Tatu yaliyotokana na Tume hiyo ndiyo yaliyoibua mvutano mkubwa katika Bunge Maalum la Katiba mwaka 2014 na hatimaye kuzuia kupatikana kwa Katiba Mpya. Kwa mujibu wa Dkt. Mussa, kama pendekezo hilo lisingekuwepo, huenda Tanzania ingekuwa tayari imepata Katiba Mpya. Akizungumzia mwenendo wa Warioba baada ya kustaafu, Dkt. Mussa amesema tofauti na viongozi wastaafu kama Cleopa Msuya na Benjamin Mkapa ambao, kwa mujibu wake, walikuwa wakitoa ushauri kwa viongozi walioko madarakani moja kwa moja, Warioba amekuwa akizungumza kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Amehusisha kauli za Warioba kuhusu matukio ya Oktoba 29, 2025 na madai ya mgawanyiko ndani ya Jeshi la Polisi na kusema kuwa kiongozi mwenye uzoefu kama Warioba alipaswa kutumia nafasi yake kumshauri Rais moja kwa moja badala ya kulalamika hadharani. Dkt. Mussa amemkosoa zaidi Warioba kwa kutumia taarifa zilizokuwa zikisambaa mitandaoni kuhusu idadi ya vifo vilivyotokana na matukio ya Oktoba 29, 2025, akisema taarifa rasmi kuhusu idadi hiyo haikuwa imetolewa wakati huo. Amesema kauli ya Warioba kwamba idadi ya vifo iliyokuwa ikisemwa ingeifanya Tanzania kuwa na vifo vingi kuliko vilivyotokea katika Vita ya Kagera ilikuwa ni kutumia taarifa zisizothibitishwa katika kuto
Dkt. Khamis Mussa, mchambuzi wa masuala ya siasa, amemtaja Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba kuwa ni “tatizo kuu la matatizo ya Watanzania”, akidai kuwa sehemu kubwa ya changamoto zinazohusu Katiba nchini zinatokana na nafasi na maamuzi ya Warioba katika vipindi mbalimbali vya historia ya Tanzania. Akizungumza leo Ijumaa, Septemba 4, 2026, Dkt. Mussa amesema Warioba ndiye aliyeandika Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akidai kuwa Katiba hiyo ilimpa Rais madaraka makubwa kiasi kwamba hata Mwalimu Julius Nyerere alilazimika kuifanyia marekebisho mwaka 1982 na 1984. Amesema kinachomshangaza ni baadhi ya wakosoaji wa Katiba hiyo kumtaja Warioba kama shujaa licha ya kuwa ndiye aliyeshiriki kuiandaa. Dkt. Mussa pia amemlaumu Warioba kwa kile alichokiita kushindwa kutumia nafasi aliyopewa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete kupitia Tume ya Mabadiliko ya Katiba, akidai kuwa mapendekezo ya Serikali Tatu yaliyotokana na Tume hiyo ndiyo yaliyoibua mvutano mkubwa katika Bunge Maalum la Katiba mwaka 2014 na hatimaye kuzuia kupatikana kwa Katiba Mpya. Kwa mujibu wa Dkt. Mussa, kama pendekezo hilo lisingekuwepo, huenda Tanzania ingekuwa tayari imepata Katiba Mpya. Akizungumzia mwenendo wa Warioba baada ya kustaafu, Dkt. Mussa amesema tofauti na viongozi wastaafu kama Cleopa Msuya na Benjamin Mkapa ambao, kwa mujibu wake, walikuwa wakitoa ushauri kwa viongozi walioko madarakani moja kwa moja, Warioba amekuwa akizungumza kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Amehusisha kauli za Warioba kuhusu matukio ya Oktoba 29, 2025 na madai ya mgawanyiko ndani ya Jeshi la Polisi na kusema kuwa kiongozi mwenye uzoefu kama Warioba alipaswa kutumia nafasi yake kumshauri Rais moja kwa moja badala ya kulalamika hadharani. Dkt. Mussa amemkosoa zaidi Warioba kwa kutumia taarifa zilizokuwa zikisambaa mitandaoni kuhusu idadi ya vifo vilivyotokana na matukio ya Oktoba 29, 2025, akisema taarifa rasmi kuhusu idadi hiyo haikuwa imetolewa wakati huo. Amesema kauli ya Warioba kwamba idadi ya vifo iliyokuwa ikisemwa ingeifanya Tanzania kuwa na vifo vingi kuliko vilivyotokea katika Vita ya Kagera ilikuwa ni kutumia taarifa zisizothibitishwa katika kuto

About