@wajanjaforum: Jinamizi: Kwanini uko macho lakini unashindwa Kunyanyuka Usiku. 🛌💤 Ushawahi kuhisi kuna mtu mzito amekukalia kifuani usiku? Kabla hujatafuta mchawi, elewa hili: Mwili wako unapoingia usingizi mzito (REM Sleep), ubongo huzima misuli yote ili usirushe mikono ovyo ukiwa unaota. Jinamizi (Sleep Paralysis) inatokea pale unapoamka ghafla lakini mwili bado umeganda kwenye "Mode ya Usingizi". Kwa sekunde kadhaa, unakuwa macho lakini hauwezi kutingishika. Hofu unayopata ndiyo inatengeneza hizo picha za kutisha. 🧟♂️❌ Jifunze zaidi kwa ku-follow @Wajanjaforum Facebook na Instagram. . . #ScienceFacts #HealthTips #Bongo #Wajanja #Ndoto #MaajabuYaMwili
Wajanjaforum.com
Region: TZ
Friday 16 January 2026 12:02:58 GMT
Music
Download
Comments
Chawa Brand097 :
jinamizii langu NI htr
2026-01-16 12:29:53
6
GPS :
mung ni fund san
2026-02-01 20:45:43
3
shedyze tz :
ili kuepukana na hiyo hali usilale chali
2026-02-15 07:24:05
4
Stellah Stellah :
uongo huo mbona nilikemea kwa jina la YESU ikatoka hivo hali
2026-03-05 14:45:28
1
MWANAHARAKATI :
ukiwa na usingizi wa ma ng'am ng'am hii Hali utaishuhudia hata mchana ukijiegesha tu Kuna jambo nimejifunza hapo
2026-02-09 14:56:21
3
hassan kuchi :
upo sahihi sana,Mimi inanitokea sana Hali hii mara kwa mara
2026-02-03 15:40:14
1
@dj muuuh255 :
naomba kuliza tofauti ya akili na ubongo ni nin ?
2026-03-02 12:31:37
0
Michael :
kuna mambo mengi sana huwatikea watu na kuzani ni uchawi lakini si kweli bali ni ukosefu wa elimu.
2026-02-26 08:40:47
1
Queen latifa :
mhh hii ni hatari km umeme hautarudii tena ndo ushafika 😳😳😳
2026-02-08 13:10:35
0
#𝓜𝓪𝔂𝓪🦋 :
yan meme kabisa
2026-02-06 06:34:43
1
Huncho :
huwa nasumbuka sana 😂
2026-02-10 11:17:01
1
Paul Assen :
NA HUU NDIO UKWELI. AKILI INAAMKA KABLA YA MWILI
2026-02-20 20:42:27
2
A-M-O-KG7 :
kweli kabisa
2026-01-31 09:57:22
0
✨📌panta boy💥✨ :
amna ikitokea hiyo hali jua uko unawangiwa
2026-02-08 15:11:52
1
Damson Kayugwa :
utuachie na sisi tuchukue video na tusambaze kwa wengine wajifunze
2026-03-02 12:08:28
0
BOSI WA FAMILIA :
dah upo sahihi sana
2026-01-20 13:39:14
1
Salma Msogoti :
duuuh mm nasomaga dua zote najua ndio bye bye 👋👋 yaan nikiamka apo huwa silali tenaaa ata iweje
2026-02-25 22:32:01
0
Judy :
kumbe
2026-02-22 18:17:32
1
Faustini Kilulumo :
kwa nini hutokea ukiwa umelala chali pekee kitaalamu imekaaje ?
2026-02-25 13:38:56
0
emmanuel africa :
Akili pana sana imetumika 💪💪
2026-02-01 22:17:36
0
majaliwa leonatus mganda :
usidanganye watu hiyo hali ni yakutekwa kemea kwa jina la Yesi
2026-03-07 19:16:14
0
Gloria Kileo :
nistuka usingizini.. mikaona kizunguzungu kikali sanaaa.. yani nkaona kama chumba kinazunguka..
2026-03-02 07:35:13
0
De Paul :
ni vichawi bhnaaa
2026-03-06 06:49:46
0
Joseph JRM 🇹🇿 :
ilishawahi nikuta hii, sio poa
2026-03-03 06:27:16
0
Ramaphossa :
Dah sawasawa kbs😅
2026-02-06 17:40:09
0
To see more videos from user @wajanjaforum, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.