@grumpyleanneandmaitland: Love this outfit! ๐Ÿฅฐ #foryoupage #viralvideos #grumpyleanne #xybca #prank

Grumpy Leanne & Maitland
Grumpy Leanne & Maitland
Open In TikTok:
Region: AU
Monday 16 February 2026 19:41:17 GMT
15083915
645788
6291
65259

Music

Download

Comments

ghost_ggggg7
๐Ÿ…–๐Ÿ…—๐Ÿ…ž๐Ÿ…ข๐Ÿ…ฃ ๐Ÿ‘ป :
rate my outfit behind the scenes
2026-03-01 11:43:06
15351
sitobylangto
Tobyy๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ญ :
Mother and son or dating?
2026-02-16 21:08:21
80987
comedordelostaliquida
Davi :
in a public server...
2026-02-16 20:21:23
52112
just_andonly
~SARMAN ~ HEX~ :
outfit check on girl???
2026-02-17 12:53:04
179
uaihear
๐ŸฅญSasha๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ :
in the public...
2026-02-16 22:22:48
110232
nifty9.11
๐Ÿ•บ๐ŸŽ ๐ด๐‘๐‘๐‘™๐‘’๐ป๐‘’๐‘Ž๐‘‘ ๐ŸŽ๐Ÿ•บ๐Ÿฟ :
what if she just took off her slippers and she was wearing her clothes still but they found the exact same outfit at that store?
2026-02-16 20:00:39
8954
ajgreene_3
Ikka :
โ€œ HURRY UP โ€œ
2026-02-17 03:27:09
55224
juan.follower
Juan follower :
Shoppers walking by:
2026-02-17 03:11:14
23723
ghala.ghala.jassi
ghaloya!! ghala .. :
me at the start me at the end
2026-02-17 13:10:32
10335
soulz5290
freedom :
future billionaires liked this comment
2026-02-16 20:11:18
26939
bonicedebear
Storm chasers :
2026-02-16 19:43:20
11611
tyler_evan_govenderr
ํƒ€์ผ๋Ÿฌ-Tyler :
her at the start versus the end ๐Ÿ’”
2026-02-16 19:55:11
2458
j4n3t2
โœ :
The kids with there parent who is walking pass
2026-02-16 20:40:13
1090
nat1796802
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ด๐Ÿ™‰๐Ÿค๐Ÿฝv1796802๐Ÿค๐Ÿฝ๐Ÿ™‰๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ด :
Im sorry what
2026-02-17 00:14:48
785
santigie.kanu3199
โœฏ๐“Œ๐’ฝ๐‘œ0๐’พ๐“ˆโฆโง.๐“ˆ๐’ถ๐“ƒ๐“‰๐’พโœฏ :
in a public store
2026-02-17 02:11:02
1183
jesus.is.king3772
DOMINIC :
"HURRY UP!"
2026-02-17 04:02:01
958
evenifucould
Hitzmm2 :
โ€œOk u can get, dressed now mumโ€ โ€œyour DONEโ€
2026-02-16 20:38:06
691
nurulafiyah07
โˆ†fiyah? :
WAIT WHAT IN THE PUBLIC
2026-03-07 06:19:23
101
yongamapremium_02
yongama_stf๐ŸฆŽ :
Me after seeing all the clothes on the ground
2026-04-02 18:31:44
34
kuy00913
๐Ÿ‘‘)kuy(๐Ÿ‘‘ :
๐Ÿ‘ฆThis is bob ๐Ÿ‘•everytime you like ๐Ÿ‘–he ages up how old is bob now
2026-04-10 12:23:21
41
sk_tflyy
. :
dad is waiting for you ๐Ÿ˜
2026-02-18 14:53:09
720
serialgooner67
junior :
how bro acts
2026-02-17 16:24:35
144
emojiaranterdud
EMOJIAranterdud :
its fake right?
2026-04-30 03:01:43
12
To see more videos from user @grumpyleanneandmaitland, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

SEFU MUSA ADAIWA KUAWA NA ASKARI BAADA YA KUTUHUMIWA KUWA MJANGILI NGORONGORO Kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Sefu Musa amefariki dunia baada ya kudaiwa kuuawa na askari watatu katika eneo la Ngorongoro mkoani Arusha, baada ya yeye na wenzake kutuhumiwa kuwa ni majangili. Sefu alikuwa pamoja na Salim Hamisi maarufu Pachaa na Abdallah Nuru, wakitokea Arusha mjini kuelekea Babati mkoani Manyara kwa ajili ya kumzika mwenzao ambaye walikuwa wakifanya naye kazi ya kutengeneza magari maeneo ya Desemba jijini Arusha. Watatu hao walikuwa wamepanda pikipiki moja na walipofika Makuyuni walipotea njia na kuelekea Karatu badala ya Babati. Waliendelea hadi Karatu mjini na kufika katika lango la kwanza la Ngorongoro lililokuwa likilindwa na askari watatu. Baada ya kufika lango kuu la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro walibaini kuwa wamepotea njia na wakaamua kurejea. Inadaiwa walipofika katika lango la kwanza walikamatwa na askari hao na kutuhumiwa kuwa ni majangili, licha ya kueleza kuwa walikuwa wamepotea na walikuwa wakielekea Babati kwa ajili ya mazishi. Kwa mujibu wa maelezo ya Abdallah Nuru, ambaye ndiye aliyenusurika, vijana hao waliamriwa kuvua nguo na kujigaragaza kwenye majani yaliyokuwa yakiwasha huku wakimwagiwa maji na askari hao, kabla ya kudaiwa kupigwa. Katika tukio hilo, Sefu Musa alidaiwa kuzidiwa nguvu na kupoteza fahamu huku Salim Hamisi naye akizimia. Abdallah anadaiwa kupata majeraha mbalimbali lakini aliendelea kuwa na nguvu na kuwasaidia wenzake. Baada ya hali kuwa mbaya, inadaiwa waliambiwa wavae nguo na kuondoka eneo hilo. Abdallah alitafuta bajaji na kuwapeleka wenzake katika Hospitali ya Lutheran Karatu. Walipofika hospitalini, Sefu alikutwa amefariki dunia huku Salim akiwa katika hali mbaya na kupewa huduma ya oksijeni iliyomsaidia kurejea kwenye fahamu. Anaendelea kupatiwa matibabu. Abdallah Nuru ndiye aliyenusurika na kufanikiwa kuwasaidia wenzake hadi hospitalini licha ya yeye mwenyewe kupata majeraha. Mwili wa Sefu umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti. Tumempigia simu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa ajili ya kupata ufafanuzi kuhusu taarifa hiyo, lakini simu yake iliita bila kupokelewa. Taarifa zaidi zinaendelea kufuatiliwa ili kupata undani wa mazingira ya kifo cha Sefu Musa.
SEFU MUSA ADAIWA KUAWA NA ASKARI BAADA YA KUTUHUMIWA KUWA MJANGILI NGORONGORO Kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Sefu Musa amefariki dunia baada ya kudaiwa kuuawa na askari watatu katika eneo la Ngorongoro mkoani Arusha, baada ya yeye na wenzake kutuhumiwa kuwa ni majangili. Sefu alikuwa pamoja na Salim Hamisi maarufu Pachaa na Abdallah Nuru, wakitokea Arusha mjini kuelekea Babati mkoani Manyara kwa ajili ya kumzika mwenzao ambaye walikuwa wakifanya naye kazi ya kutengeneza magari maeneo ya Desemba jijini Arusha. Watatu hao walikuwa wamepanda pikipiki moja na walipofika Makuyuni walipotea njia na kuelekea Karatu badala ya Babati. Waliendelea hadi Karatu mjini na kufika katika lango la kwanza la Ngorongoro lililokuwa likilindwa na askari watatu. Baada ya kufika lango kuu la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro walibaini kuwa wamepotea njia na wakaamua kurejea. Inadaiwa walipofika katika lango la kwanza walikamatwa na askari hao na kutuhumiwa kuwa ni majangili, licha ya kueleza kuwa walikuwa wamepotea na walikuwa wakielekea Babati kwa ajili ya mazishi. Kwa mujibu wa maelezo ya Abdallah Nuru, ambaye ndiye aliyenusurika, vijana hao waliamriwa kuvua nguo na kujigaragaza kwenye majani yaliyokuwa yakiwasha huku wakimwagiwa maji na askari hao, kabla ya kudaiwa kupigwa. Katika tukio hilo, Sefu Musa alidaiwa kuzidiwa nguvu na kupoteza fahamu huku Salim Hamisi naye akizimia. Abdallah anadaiwa kupata majeraha mbalimbali lakini aliendelea kuwa na nguvu na kuwasaidia wenzake. Baada ya hali kuwa mbaya, inadaiwa waliambiwa wavae nguo na kuondoka eneo hilo. Abdallah alitafuta bajaji na kuwapeleka wenzake katika Hospitali ya Lutheran Karatu. Walipofika hospitalini, Sefu alikutwa amefariki dunia huku Salim akiwa katika hali mbaya na kupewa huduma ya oksijeni iliyomsaidia kurejea kwenye fahamu. Anaendelea kupatiwa matibabu. Abdallah Nuru ndiye aliyenusurika na kufanikiwa kuwasaidia wenzake hadi hospitalini licha ya yeye mwenyewe kupata majeraha. Mwili wa Sefu umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti. Tumempigia simu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa ajili ya kupata ufafanuzi kuhusu taarifa hiyo, lakini simu yake iliita bila kupokelewa. Taarifa zaidi zinaendelea kufuatiliwa ili kupata undani wa mazingira ya kifo cha Sefu Musa.

About