@drlishe: Faida kwa mgonjwa wa kisukari: * Haina sukari nyingi sana ukilinganisha na matunda kama embe au zabibu. * Ina nyuzinyuzi (fiber) zinazosaidia kupunguza kupanda kwa sukari haraka. * Ina antioxidants zinazosaidia kupunguza madhara ya sukari nyingi mwilini. * Husaidia mmeng’enyo, jambo muhimu kwa wagonjwa wengi wa kisukari. #afyabora #juice #takeaction #kisukari #USHAURI