@trangkieu2001: Mn ghé sàn 🍊 ngay nha 🥰 #shoppe #thoitrang #affshoppe

🎀Chang Mẹ Sóc Tôm 🥰
🎀Chang Mẹ Sóc Tôm 🥰
Open In TikTok:
Region: VN
Sunday 01 March 2026 13:42:19 GMT
100405
1170
10
4

Music

Download

Comments

su2k62
SHOP ĐỒ XINH :
mặc thoải mái lắm nha
2026-03-23 06:19:15
0
thaonguyentran773
ᴮᵉ́ ᴺᵍᵘʸᵉ̂ⁿ 🎀 :
Đúng chiếc quần chân ái cho mẹ bỉm🥰
2026-03-07 23:43:26
0
mynmyn71
mynmyn71 :
Chiếc quần này được việc thế nhỉ
2026-03-07 15:02:28
0
meo.kon7
Cún Kon ♡ :
Có đắt lắm không c hak
2026-03-07 23:35:18
0
nguyntho9904
Misa :
Có màu khác không c
2026-03-07 23:38:24
0
nguyntnglam29
Mèo Miu :
Mặc thoải mái lắm, cũng không khó chịu
2026-03-07 23:28:32
0
gocnhohoai.review
Góc nhỏ của Hoài :
@vân thuý
2026-03-07 23:22:11
0
user4992212399613
Miu Miu :
🥰
2026-03-07 16:06:47
0
maianh_n
mai anh :
@Petshop Xoài Xíu
2026-03-07 17:05:51
0
hiennguyenthi4040
•nguyễn thị hiền•√ :
chị ơi có du tả sữa kg dùng tới nữa cho e xin với ạ
2026-03-05 14:07:47
0
To see more videos from user @trangkieu2001, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Mbunge wa Jimbo la Mlalo kupitia chama cha CCM, Rashidi Shangazi amesema pamoja na Jeshi la Polisi kuboresha eneo zima la usalama barabarani, ni lazima kutambua kwamba madereva walio wengi hawana mikataba ya kazi. Akizungumza Bungeni leo wakati wa kuchangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, amesema madereva wengi wanategemea jasho la kila siku ndipo maisha yao yaende. Amesema kwa madereva wanaofanya mchakato wa kuhuisha leseni baada ya muda wake kuisha, kumekuwa na ucheleweshaji wa zaidi ya mwezi mmoja kupata mafunzo hayo jambo ambalo linawasumbua sana. Aidha, Shangazi amesema mafunzo hayo ni muhimu sana lakini ni bora nguvu kubwa zaidi ikawekwa kwa wale wapya wanaotafuta kuingia kwenye kazi hiyo ya udereva. Ametumia nafasi hiyo pia kuliasa Jeshi la Polisi kukaa pamoja na wadau wa vyombo vya moto kupitia vyama vyao kama TATOA, TAMSTOA na TABOA, akisisitiza umuhimu wa waajiri kuwa na mikataba rasmi na madereva. Amesema kitendo cha dereva kufanya kazi bila mkataba ni hatari sana, kwani wapo wanaosafirisha mizigo yenye thamani kubwa lakini wanaweza kupigiwa simu na mwajiri na kuambiwa waache gari njiani huku mtu mwingine akipelekwa kulichukua. Shangazi ameitaja sekta ya udereva kuwa ni moja ya sekta zilizoajiri watu wengi sana na kama ajira hizo zingekuwa rasmi, Serikali ingeweza kupata mapato zaidi kupitia kodi. Akimalizia, amegusia suala la mafao kwa madereva baada ya kustaafu, akisisitiza wawekwe kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ili nao waweze kuishi kama wafanyakazi wa sekta nyingine. Shangazi ameendelea kuonyesha mchango wa dhati katika sekta ya udereva akiwa na kiu pamoja na shauku kubwa ya kutaka kuwasaidia madereva wa Tanzania. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #TanzaniaTrending #ViralTZ #TeamChawamata #SupportLocal #MadeInTanzania #RoadTo100K #instagramtanzania
VIDEO: Mbunge wa Jimbo la Mlalo kupitia chama cha CCM, Rashidi Shangazi amesema pamoja na Jeshi la Polisi kuboresha eneo zima la usalama barabarani, ni lazima kutambua kwamba madereva walio wengi hawana mikataba ya kazi. Akizungumza Bungeni leo wakati wa kuchangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, amesema madereva wengi wanategemea jasho la kila siku ndipo maisha yao yaende. Amesema kwa madereva wanaofanya mchakato wa kuhuisha leseni baada ya muda wake kuisha, kumekuwa na ucheleweshaji wa zaidi ya mwezi mmoja kupata mafunzo hayo jambo ambalo linawasumbua sana. Aidha, Shangazi amesema mafunzo hayo ni muhimu sana lakini ni bora nguvu kubwa zaidi ikawekwa kwa wale wapya wanaotafuta kuingia kwenye kazi hiyo ya udereva. Ametumia nafasi hiyo pia kuliasa Jeshi la Polisi kukaa pamoja na wadau wa vyombo vya moto kupitia vyama vyao kama TATOA, TAMSTOA na TABOA, akisisitiza umuhimu wa waajiri kuwa na mikataba rasmi na madereva. Amesema kitendo cha dereva kufanya kazi bila mkataba ni hatari sana, kwani wapo wanaosafirisha mizigo yenye thamani kubwa lakini wanaweza kupigiwa simu na mwajiri na kuambiwa waache gari njiani huku mtu mwingine akipelekwa kulichukua. Shangazi ameitaja sekta ya udereva kuwa ni moja ya sekta zilizoajiri watu wengi sana na kama ajira hizo zingekuwa rasmi, Serikali ingeweza kupata mapato zaidi kupitia kodi. Akimalizia, amegusia suala la mafao kwa madereva baada ya kustaafu, akisisitiza wawekwe kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ili nao waweze kuishi kama wafanyakazi wa sekta nyingine. Shangazi ameendelea kuonyesha mchango wa dhati katika sekta ya udereva akiwa na kiu pamoja na shauku kubwa ya kutaka kuwasaidia madereva wa Tanzania. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #TanzaniaTrending #ViralTZ #TeamChawamata #SupportLocal #MadeInTanzania #RoadTo100K #instagramtanzania

About