@farmline.ltd: Rahisisha ufugaji,punguza magonjwa,Epuka hasara,punguza gharama za wafanyakazi shambani,fuga kisasa☑️☑️ Maji safi huwakinga kuku na hatari ya kupata magonjwa tutakuhakikishia maji safi muda wote kwenye banda la kuku wako, kwa kufunga mfumo wa maji wa nipples Kama unavyoonekana kwenye chapisho la video. 📍Tupo Dar Es Salaam Temeke vetenari Kama upo mkoani Tutafika na vifaa na tutakufungia mfumo💥 Kama unahitaji vifaa tu peke yake pia usisite kutupigia Piga au whatsApp 0686940893. #farmline #ufugajiwakisasa #farmlife #tiktokviral

Farmline_LTD
Farmline_LTD
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 02 May 2026 08:50:49 GMT
103933
2739
10
370

Music

Download

Comments

rajabhalima755
kuruthumu omary :
mashlll on day yes
2026-06-20 17:01:36
1
___buzzz
Built2brag :
Napataje hizo pipes nipo arusha
2026-06-19 12:19:55
1
renzemrys
Renz :
kuku 100 wanahitaji nipple ngapi?
2026-05-02 15:07:21
1
mbarakfeiswal
MBARAK FEISWAL :
hizo zipo
2026-05-13 14:03:23
0
sapiosexual2002
Her🤎 :
nshakufollow, unapatikana wap
2026-05-08 13:10:03
1
richwaly_
Walter R Massana :
INBOBO, naomba mawasiliano
2026-05-08 20:11:48
2
desirebee1
desirebee1 :
System hii bei gani
2026-05-08 13:02:36
0
To see more videos from user @farmline.ltd, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About