@mmxx.454: #ماشاءالله_تبارك_الله

محمد الاسمري🤍
محمد الاسمري🤍
Open In TikTok:
Region: SA
Monday 11 May 2026 13:21:34 GMT
206633
3133
118
1076

Music

Download

Comments

ah.a231
AH🔝 :
عقبه بلسمر
2026-05-13 03:09:27
32
q_454a
دنو❣️ :
عقبة بلسمر
2026-05-12 16:51:20
15
ll17171
Shosho🤍 :
الله يرحم ابوي واخوي توفى فيها قبل 19سنه مع انه هو الي سعى في افتتاحها غفرالله لهم
2026-05-12 23:08:32
26
user94547429956231
(احب النوايف ) :
غير صحيح وين وديت بلسمر وبلحمر فرشاط ثم بعدهم ال مشول ثم بعدهم القصبه ثم بعدهم الريش ...عقبه الجعده من بلحمر ال معلوي تنزل بفرشاط بلسمر وبلحمر....
2026-05-11 22:06:49
43
user9726660411751
خالد :
كلهم عينان في راس واحد واكرم وانعم بهم
2026-06-24 17:14:02
1
saeed7ytwq
SAEED7YTWQ :
هل العقبه الجعده تنزل الى محايل
2026-05-11 21:23:21
6
user5870681965625
& :
العقبه مشتركه بين بلسمر وبلحمر
2026-05-21 14:59:00
1
anas909.2
A909 :
كل ما اسافر اروح عندها
2026-05-15 11:33:48
1
z.zx9000
z.zx900 :
هذا يبلغ فيه
2026-05-12 08:52:28
0
user2991614952794
D.A :
الصندوق كم متر؟؟
2026-05-14 00:21:16
0
h_ioiy
حـبوس الـموت 🐎🏳️ :
عقبة بلسمر
2026-05-13 09:31:38
22
aw_rt1
ىـ :
عقبة بلسمر (بني رافع )
2026-05-14 06:03:40
11
a9_vh1
D7 :
ماشاءالله تبارك الله 👌.
2026-05-12 21:56:06
2
userqrnykitcrz
303 :
منهو هذا سعيد كفو والله
2026-05-18 06:58:49
0
asfsr51
~. :
الله يعزك ابو عقاب الاسمري 🥇☝🏻😇.
2026-05-13 15:35:11
11
mohdffdt0hn
التميمي ⚔︎⃒⃝ :
ذي لـ لابتي
2026-05-28 13:19:38
1
qiop_66
ناصر :
إذا كانت النزله زي كذا احطها في الاول ولا الثاني
2026-05-23 01:57:49
1
gu_ijk
gu_ijk :
ونعم
2026-05-12 14:37:58
1
gramah_aliasmri
غرامه الاسمري :
كفوووووووووو 👍
2026-05-14 05:18:37
2
inqz22
𝗂𝖭𝗊𝗓 ❄︎ . :
عقبه شعار ❤️❤️.
2026-05-12 15:02:55
0
i.brh99
. :
على الأول والحافظ الله 😂
2026-05-12 19:41:03
0
8.um3
ابو داحم :
ماشاءالله على كم تحط القير
2026-05-12 10:17:08
1
fa_124566
حنون بس مجروح💔 :
كفو ي الاسمري
2026-05-12 03:27:42
3
shy741
S ♡︎ :
كفو
2026-05-11 20:35:17
1
To see more videos from user @mmxx.454, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Baada ya Kambona kung'oa Pisi ya Kichaga pale London, Yeye na Mwalimu walirudi Bongo kwa ajili ya kufanya maandalizi ya makabidhiano ya uhuru wa Tanganyika. llipofika mwaka 1961, Walitimba kwenye ofisi za Gavana wa Uingereza na kufanya kikao kizito mno. Hawakutaka utani kabisa. Walikabia juu sana na kufanya
Baada ya Kambona kung'oa Pisi ya Kichaga pale London, Yeye na Mwalimu walirudi Bongo kwa ajili ya kufanya maandalizi ya makabidhiano ya uhuru wa Tanganyika. llipofika mwaka 1961, Walitimba kwenye ofisi za Gavana wa Uingereza na kufanya kikao kizito mno. Hawakutaka utani kabisa. Walikabia juu sana na kufanya "PRESINGI" kama Pacome, Ndipo Gavana akamchana Nyerere kuhusu uwezekano wa kupatikana kwa uhuru. Usichokijua ni kwamba, kwenye upangaji wa tarehe ya kukabidhiwa kwa uhuru wa Tanganyika, Mara ya kwanza, Gavana alipanga kukabidhi Uhuru huo siku ya Disemba 28, 1961 Lakini mara baada ya kuwasiliana na Malkia Eliza (Mmiliki wa Tanganyika) Akaambiwa kwamba, kwa tarehe hiyo yeye hatakuwepo ofisini, Atakuwa "VAKASHENI" anakula Bata la Krismasi na Mwaka Mpya, Hivyo Gavana ikambidi arudishe siku nyuma na kuichagua 9 Disemba 1961, Kama tarehe rasmi ya kukabidhi uhuru wa Tanganyika. Hapo sasa ndipo mkeka wa Nyerere ulipoTIKI kwa 100% Kama ingekuwa ni dalili ya mvua, basi mawingu yalishona angani kwelikweli. Chapu kwa haraka, Gavana alifanya mabadiliko ya kiuongozi kwenye Serikali ya Tanganyika, Akampandisha cheo Nyerere kutoka kuwa Waziri Kiongozi, Hadi kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika. Nakumbuka alianza kukitumikia cheo hicho kwenye sherehe za kwanza za Mei Mosi, 1961. llipofika 9 Disemba 1961, Gavana alikabidhi uhuru wa Tanganyika kwa Mwl. Nyerere, Na hapo ndipo tukaanza kucheza YOPE Mwalimu hakulemba wala nini, Akamvuta mwanae (Oscar Kambona) na kumpa shavu la kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa kwanza wa Tanganyika. Cheo ambacho hakudumu nacho sana kwa maana ilipofika mwaka 1962, Alimteua kuwa Waziri wa Ulinzi na baadae Waziri wa Mambo ya Ndani. Cha ajabu sasa, eti Gen-Z wanabeza kwa kusema, Mwalimu alipewa uhuru kama Kashata. Kwamba hakuna alichofanya bali alipewa tu kama kikombe cha maji. Dadeki, mnaleta mzaha kwenye mambo ya KIUME. Endeleeni Kujidanganya, lakini kwenye mishe za kuutafuta UHURU wa Tanganyika, Kuna wanaume wengi walivuja sana jasho na KUFA, ili leo hii mpate uhuru wa kukomenti huo ujinga wenu. Unataka "MADINI" zaidi? Wacha kwanza nikatafute Maji ya KUOGA, Usiondoke, NAKUJA 🫵🏾 #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya🇰🇪 #fypシ゚viral #trend #History

About