@dicashariel0: Como monitorar um celular do esposo sem ele saber #dicas #dicadodia #whatsapp

Dicas top
Dicas top
Open In TikTok:
Region: BR
Friday 29 May 2026 00:36:04 GMT
77124
1414
56
103

Music

Download

Comments

j.m.l.d.s
j.m :
isso não existe propriosap avisa
2026-06-26 12:31:59
1
fionaruyvo
fionaruyvo :
como
2026-06-25 22:16:07
7
adrianaleal1687
adrianaleal1687 :
eu quero
2026-06-23 15:38:26
11
carol_cyber
Carol cyber :
GENTE OBRIGADO POR ME INDICAREM! 🥰🙏
2026-06-25 15:34:53
5
isis_bia0
Maria Beatriz :
Gratidão Carol cyber descobri tudo ❤️
2026-06-14 16:33:03
15
lemosjunior27
lemosjunior27 :
isso e real mesmo?
2026-06-17 18:34:50
7
taisnunes340
Tais :
eu quero
2026-06-25 23:58:22
4
fionaruyvo
fionaruyvo :
vc me ensina
2026-06-25 22:16:15
3
cristianefatimaaresi
Cristiane Fatima Are :
quero
2026-06-26 06:06:15
2
ricardocrack007
Ricardo Crack 🛠️ :
Alguien necesita ayuda?
2026-06-25 23:38:10
0
ztechcrib
ZTECHCRIB :
Alguien necesita ayuda?
2026-06-26 18:28:09
0
user8740338000802
user8740338000802 :
¿Quiénes necesitan ayuda?
2026-06-26 13:25:27
0
joker.viral1
joker.viral1 :
Simplesmente o Kaio Santana e o melhor
2026-06-26 13:06:23
1
neidelopes28
Neide Lopes :
todo mentira só querem ganhar nosso dinheiro
2026-06-26 12:44:55
0
user8740338000802
user8740338000802 :
Dime si necesitas ayuda!"
2026-06-26 13:25:19
0
brick_techh
BRICK NOTAS :
TEXTO PARA AYUDA.
2026-06-25 23:28:07
0
anynhaaa23
Any🌻 :
Eu quero
2026-06-26 18:53:33
0
To see more videos from user @dicashariel0, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

1. Kutegemea ndugu na marafiki ndio wawe wateja wako wakubwa.  Watu wanaokupenda sio lazima wanunue bidhaa zako. Wakati mwingine wanakuunga mkono kwa maneno tu. Biashara inayokua kweli hujengwa na watu wasiokujua lakini wanaamini huduma yako. 2. Kuuza kwa mkopo ili uonekane una moyo mzuri. Biashara sio taasisi ya misaada. Ukizoea kutoa bidhaa bila mfumo mzuri wa malipo, mwisho wa siku utaanza kukimbizana na madeni kuliko kutafuta faida. Wengi waliofilisika walikuwa wapole sana kwenye biashara zao. 3. Kushusha bei ovyo ili uuze haraka. Bei ndogo sio kila siku inamaanisha biashara nzuri. Ukikosa kuhesabu gharama zako vizuri utaishia kuuza sana lakini hela haionekani.  4. Kutegemea wateja wa kupita njia pekee. Ukifungua biashara alafu unasubiri tu watu wapite ndipo wanunue… utachoka. Dunia ya sasa inahitaji kujitangaza, kutumia mitandao ya kijamii, kutengeneza mahusiano na kuwafuata wateja. 5. Kuweka faida ya kubahatisha bila kuhesabu gharama zote. Watu wengi wanaongeza elfu moja au mbili juu ya bei ya kununua wakidhani wanapata faida. Lakini hawajapiga hesabu ya kodi, usafiri, umeme, vifungashio, muda na matumizi mengine. Mwisho wa mwezi biashara ipo… lakini maisha hayasogei. 6. Kuzoeana kupita kiasi na watu wa eneo la biashara. Duka au ofisi ikigeuka sehemu ya stori siku nzima, wateja wengine wanaogopa hata kuingia. Biashara inahitaji mazingira yenye utulivu na professionalism, sio kijiwe cha maongezi. 7. Kutunza bidhaa ambazo hazijalipiwa. Naomba uniwekee, narudi kesho…Kesho nyingine haifiki. Bidhaa ikae kwa mtu aliyelipa, sio aliyetoa ahadi. Ukifanya hivi mara nyingi utaanza kufunga mtaji wako mwenyewe. 8. Kutokujifunza kuhusu biashara yako. Biashara sio kufungua duka tu. Lazima ujifunze masoko, huduma kwa wateja, matumizi ya mitandao, na namna ya kutunza fedha. Usipojifunza, ushindani utakutoa sokoni kimya kimya. 9. Kuchanganya hela ya biashara na matumizi binafsi Hili ndio kaburi la biashara nyingi. Leo unatoa hela ya stock kwenda starehe, kesho unakosa mtaji wa kuzungusha.Biashara ikikosa nidhamu ya fedha… kufa kwake ni suala la muda tu. Kama Unataka kuanza biashara kwa mtaji mdogo wa kuanzia sh. 1,000,000/- mpaka 2M Nitumie Ujumbe wenye neno BIASHARA kwenda whatsap number +255756133313 Share ujumbe huu kwa kijana mwenzako ili na yeye ajifunze #tiktok #viral #treanding #trendingreels #trendingvideo
1. Kutegemea ndugu na marafiki ndio wawe wateja wako wakubwa. Watu wanaokupenda sio lazima wanunue bidhaa zako. Wakati mwingine wanakuunga mkono kwa maneno tu. Biashara inayokua kweli hujengwa na watu wasiokujua lakini wanaamini huduma yako. 2. Kuuza kwa mkopo ili uonekane una moyo mzuri. Biashara sio taasisi ya misaada. Ukizoea kutoa bidhaa bila mfumo mzuri wa malipo, mwisho wa siku utaanza kukimbizana na madeni kuliko kutafuta faida. Wengi waliofilisika walikuwa wapole sana kwenye biashara zao. 3. Kushusha bei ovyo ili uuze haraka. Bei ndogo sio kila siku inamaanisha biashara nzuri. Ukikosa kuhesabu gharama zako vizuri utaishia kuuza sana lakini hela haionekani. 4. Kutegemea wateja wa kupita njia pekee. Ukifungua biashara alafu unasubiri tu watu wapite ndipo wanunue… utachoka. Dunia ya sasa inahitaji kujitangaza, kutumia mitandao ya kijamii, kutengeneza mahusiano na kuwafuata wateja. 5. Kuweka faida ya kubahatisha bila kuhesabu gharama zote. Watu wengi wanaongeza elfu moja au mbili juu ya bei ya kununua wakidhani wanapata faida. Lakini hawajapiga hesabu ya kodi, usafiri, umeme, vifungashio, muda na matumizi mengine. Mwisho wa mwezi biashara ipo… lakini maisha hayasogei. 6. Kuzoeana kupita kiasi na watu wa eneo la biashara. Duka au ofisi ikigeuka sehemu ya stori siku nzima, wateja wengine wanaogopa hata kuingia. Biashara inahitaji mazingira yenye utulivu na professionalism, sio kijiwe cha maongezi. 7. Kutunza bidhaa ambazo hazijalipiwa. Naomba uniwekee, narudi kesho…Kesho nyingine haifiki. Bidhaa ikae kwa mtu aliyelipa, sio aliyetoa ahadi. Ukifanya hivi mara nyingi utaanza kufunga mtaji wako mwenyewe. 8. Kutokujifunza kuhusu biashara yako. Biashara sio kufungua duka tu. Lazima ujifunze masoko, huduma kwa wateja, matumizi ya mitandao, na namna ya kutunza fedha. Usipojifunza, ushindani utakutoa sokoni kimya kimya. 9. Kuchanganya hela ya biashara na matumizi binafsi Hili ndio kaburi la biashara nyingi. Leo unatoa hela ya stock kwenda starehe, kesho unakosa mtaji wa kuzungusha.Biashara ikikosa nidhamu ya fedha… kufa kwake ni suala la muda tu. Kama Unataka kuanza biashara kwa mtaji mdogo wa kuanzia sh. 1,000,000/- mpaka 2M Nitumie Ujumbe wenye neno BIASHARA kwenda whatsap number +255756133313 Share ujumbe huu kwa kijana mwenzako ili na yeye ajifunze #tiktok #viral #treanding #trendingreels #trendingvideo

About