@199i5: بكج لاعبين برتغال يمكن اني اول واحد بدون شحن #بيس #2026 #متابعه_ولايك_واكسبلور_احبكم#الشعب_الصيني_ماله_حل #creatorsearchinsights

مجـ𓄂ᬼ𓆃ـهول𓅃 ☠
مجـ𓄂ᬼ𓆃ـهول𓅃 ☠
Open In TikTok:
Region: IQ
Thursday 04 June 2026 11:07:21 GMT
595
12
7
1

Music

Download

Comments

nazer_19
آلَجِنِرآلَ نِذّيِّر :
تلعب هدف ذهبي
2026-06-04 11:32:11
1
.marvin178
مارڤن / Marvin :
شلون تتحمل تجمع كوينز
2026-06-04 12:45:32
1
huseen.arsenal2
Huseen [ Arsenal ] :
منو يلعب هدف ذهبي
2026-06-04 14:09:13
0
user227905486
CR.7 :
🥰🥰🥰
2026-06-04 12:26:59
1
To see more videos from user @199i5, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Unageuka kushoto… Unageuka kulia… Unarekebisha mto mara 700 😂 Unaenda chooni kila dakika 20 🚽 Halafu mtoto tumboni anaanza mazoezi ya karate 🥲💔 Umechoka sana… Lakini usingizi unasema: “Leo siyo siku yako.” 😩 Ukweli ni kwamba… Hili ni jambo la kawaida sana kipindi cha ujauzito 👇🏽 📍SABABU ZAKE: ✅ Homoni za ujauzito hubadilika sana ✅ Mtoto huwa active zaidi usiku ✅ Kibofu hukandamizwa haraka ✅ Maumivu ya mgongo na kiungulia huvuruga usingizi ✅ Hofu ya uchungu na kujifungua huifanya akili ikose utulivu Na wakati mwingine… Dakika ileile unayotaka kulala 😭 Mtoto anaanza mechi ya mpira tumboni ⚽😂 Lakini mama sikiliza hili vizuri 🚨 🛑 Kukosa usingizi ukiwa mjamzito kunaweza kusababisha: ❌ Kuchoka kupita kiasi ❌ Hasira na mood kubadilika haraka ❌ Stress nyingi ❌ Kuchoka kiakili 📍VITU VINAVYOWEZA KUSAIDIA: 💧 Kunywa maji ya kutosha mchana 🛏️ Lala kwa ubavu (hasa upande wa kushoto) 📱 Punguza mwanga wa simu kabla ya kulala 🎵 Sikiliza muziki wa utulivu 🧸 Tumia mito kusaidia tumbo na miguu Na tafadhali mama… 🥺💖 Usiteseke kimya kimya. Wajawazito wengi hulia usiku kutokana na uchovu na mawazo bila kumwambia mtu yeyote 💔 Ujauzito si wa mwili tu… Ni wa hisia pia 🤍 Kwa hiyo kama unaamka usiku wa manane ukiscroll Facebook au TikTok… Jua tu kuna wajawazito wengi wako macho pamoja na wewe 😂🤰🏽🌙 Endelea kufuatilia post zangu kwa elimu zaidi ya ujauzito na uzazi salama ambayo wakati mwingine hufundishwi vizuri kliniki 🥰 Nurse Presh cares 💕
Unageuka kushoto… Unageuka kulia… Unarekebisha mto mara 700 😂 Unaenda chooni kila dakika 20 🚽 Halafu mtoto tumboni anaanza mazoezi ya karate 🥲💔 Umechoka sana… Lakini usingizi unasema: “Leo siyo siku yako.” 😩 Ukweli ni kwamba… Hili ni jambo la kawaida sana kipindi cha ujauzito 👇🏽 📍SABABU ZAKE: ✅ Homoni za ujauzito hubadilika sana ✅ Mtoto huwa active zaidi usiku ✅ Kibofu hukandamizwa haraka ✅ Maumivu ya mgongo na kiungulia huvuruga usingizi ✅ Hofu ya uchungu na kujifungua huifanya akili ikose utulivu Na wakati mwingine… Dakika ileile unayotaka kulala 😭 Mtoto anaanza mechi ya mpira tumboni ⚽😂 Lakini mama sikiliza hili vizuri 🚨 🛑 Kukosa usingizi ukiwa mjamzito kunaweza kusababisha: ❌ Kuchoka kupita kiasi ❌ Hasira na mood kubadilika haraka ❌ Stress nyingi ❌ Kuchoka kiakili 📍VITU VINAVYOWEZA KUSAIDIA: 💧 Kunywa maji ya kutosha mchana 🛏️ Lala kwa ubavu (hasa upande wa kushoto) 📱 Punguza mwanga wa simu kabla ya kulala 🎵 Sikiliza muziki wa utulivu 🧸 Tumia mito kusaidia tumbo na miguu Na tafadhali mama… 🥺💖 Usiteseke kimya kimya. Wajawazito wengi hulia usiku kutokana na uchovu na mawazo bila kumwambia mtu yeyote 💔 Ujauzito si wa mwili tu… Ni wa hisia pia 🤍 Kwa hiyo kama unaamka usiku wa manane ukiscroll Facebook au TikTok… Jua tu kuna wajawazito wengi wako macho pamoja na wewe 😂🤰🏽🌙 Endelea kufuatilia post zangu kwa elimu zaidi ya ujauzito na uzazi salama ambayo wakati mwingine hufundishwi vizuri kliniki 🥰 Nurse Presh cares 💕

About