@siasatz: Tujifunze kwa uchache ukubwa wa Mamlaka ya Urais kikatiba na sababu za Rais kuwa na mpambe wa kijeshi anaefuatana nae nyakati zote. Kama somo la uraia lilikupiga chenga na kwa mujibu Kihangaiko uligoma kwenda basi pata shule kwa Prof Kabudi. #SiasaTZ #SiasaZetu #TheShepherd30 #MaktabaYaMaarifa
Labda na Mimi Nina mtazamo kidogo kwann Rais anapo hutubia au kufanya ziara yeyote kwann wale wanao taarifa za uwepo wake sehemu waweke bayana Raisi anakuja kama Nan kama Amiri jeshi mkuu,au kiongozi wa nchi au kama kiongozi wa serikali itasaidia kurudisha uhasiano na wananchi wake
2026-06-12 09:30:49
0
wonder autopart :
Ukiskia chawa pro ndo huyo hata hao wakina baba levu wakasome
2026-06-12 14:35:14
1
asu :
rais gani alisha wahi kuwa na ADC raia?
2026-06-25 21:18:07
0
MaddyShetty :
😅😅😅
2026-06-20 13:11:02
0
babdullah🫀💘 :
💯💯💯
2026-06-10 20:51:26
0
pankrasi mibara :
😂😂😂
2026-06-10 04:37:57
0
Emma008 :
😎
2026-06-10 04:34:50
0
Peter Musoma :
🥰🥰🥰
2026-07-01 09:24:08
0
To see more videos from user @siasatz, please go to the Tikwm
homepage.