@d_barada25:

d_barada25
d_barada25
Open In TikTok:
Region: SA
Thursday 18 June 2026 15:16:25 GMT
24800
1521
57
33

Music

Download

Comments

user6985022699172
mmm :
2026-08-05 16:31:42
0
user2552997954447
ا ال :
Lveo
2026-07-17 23:56:51
0
djendel44
بن خوشة دريعي :
حبيبي نحبك❤️❤️❤️❤️
2026-08-05 16:00:36
0
user494799553252
user494799553252 :
من اي بلد انت
2026-07-14 05:22:28
0
user83153976181112
الهيبة ابن الدليم :
منور حبيبي تخبل يالبي 🥰
2026-07-06 22:38:27
0
user5344105255887
EMAD :
تهبل حبي بجد
2026-06-18 18:22:56
0
ahmedaboughina5
ahmedaboughina866 :
حبيبي 💋💋💋💋💋💋💋♥️💋💋♥️
2026-06-29 11:11:50
0
user6368180600258
أسامه الفهد :
منووور يااعسل
2026-07-17 20:26:00
0
user2552997954447
ا ال :
2026-07-17 23:57:05
0
user6985022699172
mmm :
2026-07-21 08:21:51
0
user2993693716734
user2993693716734 :
how
2026-06-19 06:09:27
0
mhamed.harrab
Mhamed Harrab :
salam
2026-06-19 17:55:17
0
user2993693716734
user2993693716734 :
very
2026-06-19 06:09:33
0
opoi761
opoi761 :
عسسسسسليه عسل صافي 100/100
2026-07-17 21:31:33
1
mhamed.harrab
Mhamed Harrab :
cv
2026-06-19 17:55:09
0
user8692520848593
عشق حتي :
حبك
2026-06-18 21:12:50
0
To see more videos from user @d_barada25, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

zilizopitaLissu amuhoji shahidi kama alipewa jina la mwanachadema yeyote aliyekua hatarini kwa vitisho Lissu: Waeleze majaji kama uliwasilisha hiyo barua Shahidi: Ipo Lissu: Ipo Mahakamani Jajji: Shahdi embu jibu kama umeleta au hujaleta mawakili wa serikali watakuuliza baadae pia Lissu: Kwa hiyo jibu ni lipi Shahidi: Sijaleta Lissu: Nataka maswali yangu yajibiwe kwemye ushahidi wako, jana ulisema hivi baada ya kaungalia hiyo video uliona kwamba mtuhumiwa alidhihirisha nia yake kwa kuchapisha kwa umma, kwa kuchapisha kwemye Jambo TV. Waeleze majaji kama hayo maelezo yapo kwenye maelezo yako Shahidi: Hayapo Lissu: Shahidi kwenye ushahidi wako kuhusu tuhuma ulisema, uchaguzi mkuu uko kwa mujibu wa Katiba na mlinzi mkuu wa Katiba ni serikali. Umewahi kusoma Katiba? Shahidi: Kipindi cha nyuma Lissu: Waheshimiwa majaji naomba nimsomee Katiba, Ibara ya 26 -
zilizopitaLissu amuhoji shahidi kama alipewa jina la mwanachadema yeyote aliyekua hatarini kwa vitisho Lissu: Waeleze majaji kama uliwasilisha hiyo barua Shahidi: Ipo Lissu: Ipo Mahakamani Jajji: Shahdi embu jibu kama umeleta au hujaleta mawakili wa serikali watakuuliza baadae pia Lissu: Kwa hiyo jibu ni lipi Shahidi: Sijaleta Lissu: Nataka maswali yangu yajibiwe kwemye ushahidi wako, jana ulisema hivi baada ya kaungalia hiyo video uliona kwamba mtuhumiwa alidhihirisha nia yake kwa kuchapisha kwa umma, kwa kuchapisha kwemye Jambo TV. Waeleze majaji kama hayo maelezo yapo kwenye maelezo yako Shahidi: Hayapo Lissu: Shahidi kwenye ushahidi wako kuhusu tuhuma ulisema, uchaguzi mkuu uko kwa mujibu wa Katiba na mlinzi mkuu wa Katiba ni serikali. Umewahi kusoma Katiba? Shahidi: Kipindi cha nyuma Lissu: Waheshimiwa majaji naomba nimsomee Katiba, Ibara ya 26 - "Kila mtu ana wajibu wa kulinda na kuzifuata na sheria za nchi hii, wewe umesema ni serikali Shahidi:....... Lissu: Ulisema kulikuwa na mipango ya kuvuruga uchaguzi kwa kutumia mbinu mbalimbali, ikiwemo kupiga watu mawe na mengineyo, waeleze majaji kama hayo maneno yako kwenye maelezo yako Shahidi: Hayapo Lissu: Jana ulisema hivi, hiyo video mliyoiangalia iliwekwa kwenye 'memori kadi' ikafikishwa kwenye maabara ya uchunguzi wa kisayansi ili kuithibitisha, sasa waeleze majaji kama hayo yapo kwemye maelezo yako Shahidi: Hayapo Lissu: Kwa kuwa wewe ni shahidi wa 16 na wengine 15 waliopita hawakuwasilisha video Mahakamani naomba waeleze majaji kama umewasilisha hiyo video Shahidi: Hapana Lissu: Kwakuwa wewe ni shahidi wa 16 na hakuna aliyewasilisha ripoti ya kubaini uhalisia wa hizo video, waeleze majaji kama umewasilisha hiyo ripoti ya uchunguzi Shahidi: Hapana Lissu: Unasema ulimuelekeza Inspekta Michael kuchukua vielelezo pamoja na ripoti ya uchunguzi na kukabidhiwa kwa mtunza nyaraka. Je, hayo yapo kwenye maelezo yako? Shahidi: Hayapo Lissu: Baada ya kufanya yote ambayo mlikua mmeshafanya uliwasiliana na Ma RCO nchi nzima, hiyo ipo sitakuuliza, sasa kwenye maelezo yako jana umetaja majalada ya uchunguzi toka mikoa mbalimbali; Ruvuma, Mbeya, Arusha na Dar es Salaam. Mimi nakuuliza juu ya jalada la Dar es Salaam, toka ofisi ya ZCO ambalo namba zake ni….. waeleze majaji kama lipo kwenye maelezo yako. Shahdii: Hayapo Lissu: Jana ulisema mtuhumiwa alikamatwa Mbinga na kusafirishwa usiku huo huo mpaka Dar es Salaam, Kituo Kikuu cha Kati na kufikishwa ofisi ya Deputy ZCO. Waeleze majaji kama hapo maelezo Shahidi: Hayapo Lissu: Ulieleza pia jinsi ulivyopeleka jalada ofisi ya DPP na baadae jalada kurejeshwa kwenu kuendelea na upelelezi, waeleze majaji kama hicho kipande kipo Shahidi: Hakipo Lissu: Unasema mlipata taarifa mashahidi kutishiwa, je kwemye maelezo yapo? Shahdi: Hayapo Lissu: Unasema mliwasiliana na ofisi ya DPP ili kuweza kuwapatia ulinzi mashahidi, Je yapo? Shahdi: Yapo Lissu: Unasema mliomba kwa barua sema kama yapo Shahidi: hayapo Lissu: Unasema ulikula kiapo ili kuwaombea ushahidi, Je yapo? Shahidi: Hayapo Lissu: Hayo ni kutoka kwenye ushahidi wako jana sasa twende kwingine, umewaeleza majaji kwamba umesoma hiyo hati ya kiapo? Shahidi: Ndio Lissu: Waeleze majaji kwenye hati hii uliyosaini kama ulitaja jina la shahidi yeyote Shahdi: Hapana Lissu: Waleze majaji kama ulipewa jina la mwanachadema yeoyote aliyekua hatarini kwa vitisho Shahidi: Hapana Lissu: Waleze majaji kama ulitaja mwanachama yeyote alikua akitoa vitisho hivyo Shahidi: Hapana Lissu: Waleze majaji kama ulitaja siku au mahali Shahidi: Hapana Lissu: Waeleze majaji kama ulitaja aina ya vitisho Shahidi: Ndio nilitaja Lissu: Waheshimiwa majaji naomba nimuoneshe shahidi kiapo chake

About