@ab_relax_:

🅰Ⓛ🅴Ⓧ_Ⓑ🆄🅼_Ⓡ🅴Ⓛ🅰Ⓧ
🅰Ⓛ🅴Ⓧ_Ⓑ🆄🅼_Ⓡ🅴Ⓛ🅰Ⓧ
Open In TikTok:
Region: UA
Friday 19 June 2026 16:20:00 GMT
6063
196
15
34

Music

Download

Comments

geka999
Geka999 :
2026-06-20 06:19:50
2
sarna0587
Sarna :
👍👍👍👍👍👍👍👍
2026-06-21 11:54:47
0
hupe1967
user966714376411 :
2026-06-19 19:06:17
2
raisamolodovskay8
Raisa Molodovskaya :
Зеркало
2026-06-19 16:47:16
1
user35413527149685
фермерське господарство :
👍👍👍🥰🥰🥰🥰😁😁😁 супер
2026-06-19 17:20:14
2
mykola.vasylchuk7
Mykola Vasylchuk :
🥰🥰🥰
2026-06-19 18:47:51
1
luisarturoriquelm
luisarturoriquelm :
🙏😄❤️😎👍🇨🇱😊
2026-06-19 18:55:00
3
torrom03
Ro :
😁😁😁
2026-06-20 09:14:25
1
user1861520004131
Vladimir :
🔥🔥🔥
2026-06-19 16:55:05
1
torrom03
Ro :
🔥🔥🔥
2026-06-20 09:14:30
1
santiruizaberturo
santiruizaberturo :
🙂‍↔️
2026-06-19 20:25:32
1
To see more videos from user @ab_relax_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Watu wengi sana wameni inbox kuhusu Bibi ambaye leo amefiwa na kijana wake Tumaini Amiri maeneo ya sanawari baada ya kugonga Chumba zilizopo pembezoni mwa barabara na kufariki Dunia hapo hapo akiwa na pikipiki kutokana na taarifa hiyo wasamaria wengi wameomba nifuatilie namna ambavyo wanaweza kumsaidia na kumchangia huyo mama mana anaishi na Mjukuu wake ambaye baba yake ni huyo aliyefariki kwa ajali Nimefuatilia mama huyo anaishi Maeneo ya sekei na mjukuu wake lakini kazi yake yule mama anaomba msaada mjini akiwa na Mjukuu wake japo mjukuu anasoma akitoka shule anaungana na bibi hivyo kitu cha kwanza hata kama tutamsaidia bibi kwanza lazima tupate mazingira salama ya yule mjukuu kusoma na aondokane na maisha ya kuomba akiwa na Mjukuu wake awaze masomo. Mh  Waziri @gwajimad Mama mwenye Roho yake Njema Tunaomba Watu wa ustawi wa jamii watusaidie hili  Cha pili bibi hana Simu lakini kuna msamaria mwema amesema atanipa simu nimpelekee na nifanye utaratibu asajiliwe na laini ya simu ili mwenye chochote amsaidie lakini pia baada ya kuzika sijajua utaratibu ukoje lakini tuje tumsaidie na mtoto pia Hasa suala la kimasomo mana bibi ana maisha magumu na hata pale alipokuwa anaenda mjini ndiyo alikutana na ajali ya mtoto wake lakini ukiwa na  Chochote tu kwasasa kabla hatujamsajilia laini unaweza tu ukaweka kwa 0624007652 Jina ni Alphonce Kusaga halafu nitawasilisha mchango wake kwa uaminifu mkubwa lakini kama kuna mtu mwenye wazo basi ni vema tukashirikiana kila kitu kitakuwa wazi tu Maisha haya anapanga Mungu @officialzungu_ aliomba ingalau kwa awali tufanye hivyo mana Dingoo wa Naye kaguswa sana Mbarikiwe Ni kusaga Mwandishi wa wananchi
Watu wengi sana wameni inbox kuhusu Bibi ambaye leo amefiwa na kijana wake Tumaini Amiri maeneo ya sanawari baada ya kugonga Chumba zilizopo pembezoni mwa barabara na kufariki Dunia hapo hapo akiwa na pikipiki kutokana na taarifa hiyo wasamaria wengi wameomba nifuatilie namna ambavyo wanaweza kumsaidia na kumchangia huyo mama mana anaishi na Mjukuu wake ambaye baba yake ni huyo aliyefariki kwa ajali Nimefuatilia mama huyo anaishi Maeneo ya sekei na mjukuu wake lakini kazi yake yule mama anaomba msaada mjini akiwa na Mjukuu wake japo mjukuu anasoma akitoka shule anaungana na bibi hivyo kitu cha kwanza hata kama tutamsaidia bibi kwanza lazima tupate mazingira salama ya yule mjukuu kusoma na aondokane na maisha ya kuomba akiwa na Mjukuu wake awaze masomo. Mh Waziri @gwajimad Mama mwenye Roho yake Njema Tunaomba Watu wa ustawi wa jamii watusaidie hili Cha pili bibi hana Simu lakini kuna msamaria mwema amesema atanipa simu nimpelekee na nifanye utaratibu asajiliwe na laini ya simu ili mwenye chochote amsaidie lakini pia baada ya kuzika sijajua utaratibu ukoje lakini tuje tumsaidie na mtoto pia Hasa suala la kimasomo mana bibi ana maisha magumu na hata pale alipokuwa anaenda mjini ndiyo alikutana na ajali ya mtoto wake lakini ukiwa na Chochote tu kwasasa kabla hatujamsajilia laini unaweza tu ukaweka kwa 0624007652 Jina ni Alphonce Kusaga halafu nitawasilisha mchango wake kwa uaminifu mkubwa lakini kama kuna mtu mwenye wazo basi ni vema tukashirikiana kila kitu kitakuwa wazi tu Maisha haya anapanga Mungu @officialzungu_ aliomba ingalau kwa awali tufanye hivyo mana Dingoo wa Naye kaguswa sana Mbarikiwe Ni kusaga Mwandishi wa wananchi

About