@tanzania_african_history: Julai 1979. ​Picha za video za Rais Julius Nyerere akimkaribisha Malkia Elizabeth II wa Uingereza nchini Tanzania kwa ajili ya ziara ya kifalme jijini Dar es Salaam. Pamoja na Malkia alikuwa mumewe, Mwanafalme Philip, na mtoto wao wa kiume wa pili, Mwanafalme Andrew. #AfricanHistory #OurRoots #AfricaTok #History #tanzaniahistory

Our History 🌍
Our History 🌍
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 29 June 2026 15:36:27 GMT
41164
1197
32
64

Music

Download

Comments

thommichael75
Thommichael :
Sasa kama hii video yake ipo mbona ya Michael alivyokuja1992 haipo
2026-07-12 16:15:29
5
jumannesaidylimo
jumannesaidy :
Nakumbuka nilikuwa Darasa la 3
2026-07-04 07:59:53
4
mathayo.masanilo
Mathayo j.m :
msafara wa raisi ni tax 😁
2026-07-22 16:51:26
1
abisalomakomo
Mbilitanotano :
Asante kwa historia.
2026-07-05 09:40:20
2
nessqeeen
witty 🌹 :
baba angu alikuwa na miaka 17 mimi sasaiv Nina miaka 21
2026-08-04 12:50:23
3
mfwimimgimwa
jef Mgimwa :
wengi wao walio ktk picha hii wamelala , Iposiku walio hai wata mpokea mwana Mfalme alikuja na akarudi kwao , furaha kuu nipale atakapo tukumbusha uwezo nguvu na mamlaka tuliyonayo, ni zaidi ya hiii .
2026-08-02 09:15:33
2
sir_boiboi
Sir Boi boi7 :
Nimeona madela
2026-07-18 03:36:25
3
noumah_5
who is agustino🤔 :
taratibu za wanafunzi kujipanga msitar balabalan ilikua xo poah kbx
2026-07-31 20:09:35
2
kibasa19
kibasa :
hapo mamangu slikuwa na miaka 13
2026-08-27 09:27:09
1
user1484619785634
elisha joseph :
Mbona gar zilikua chache?
2026-08-02 19:23:29
1
happiness.erasto
Happiness Erasto :
jmm had raha kumbukumbu nzuri sana
2026-07-30 07:40:14
1
eddybe2b
The Lastborn :
nimejiona apo😂
2026-07-31 19:38:34
1
neyjonas
neyjonas :
nilichogundua kulikuwa hakuna lasta wala wigi ni mabutu tu
2026-08-19 12:17:58
3
user24024190945116
user24024190945116 :
Duuu!!!🙏🙏🙏🙏🙏
2026-06-30 03:48:59
1
omarimsangi7
ICEBERG DE GUERRA :
Mzee mpili naye alikuwepo😂😂
2026-08-06 05:36:31
1
para.duza
Para Duza :
mzee wangu alikuwa dogo wa miaka mitano hapo😅😅😂
2026-08-27 10:12:54
1
elia.mahiga5
Elia Mahiga :
dah!! kwny hao wanafunzi namm nilkuwepo, TBT.
2026-08-27 09:58:00
1
kibasa19
kibasa :
hao wanafunzi ndiyo wazee sasa hivi. na hao wazee wote walishatangulia mbele ya haki. Mungu awalaze mhala pema peponi
2026-08-27 09:25:05
3
njowelo6
Njowelo :
nchi ilikuwa na uzalendo mkubwa
2026-07-29 08:43:36
1
majaliwaadamu
@Baraka mungu kwanza🇹🇿🇹🇿🙏 :
nilikua na myaka 27 kipindi hicho
2026-08-30 07:34:43
1
really.good617
Really good good thanks 😊 :
mmh
2026-07-02 17:33:29
2
user0750053600fedy
user3014842434382 fedy matimbw :
duh kipind hicho hiyo siku ilikuwa ya kihistoria san
2026-07-03 15:17:16
2
bluemwakapeta
timothy :
kama ya nwaka huu
2026-06-30 04:24:22
1
To see more videos from user @tanzania_african_history, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About