@user43112176570737:

عسل سدر عسل طلحه سمره
عسل سدر عسل طلحه سمره
Open In TikTok:
Region: SA
Monday 29 June 2026 21:08:36 GMT
42634
1189
33
196

Music

Download

Comments

user144476918878
منصورالحللي :
روووووووووووووووعه
2026-07-01 14:32:54
0
user216284716080
عمر خلوفه محمداقطع :
ان افدي الحارثي
2026-06-30 21:30:20
0
user8170420515437
user8170420515437 :
😁😁😁
2026-06-30 09:29:49
1
serfeh.sarh
Arab Falcon :
🌷🌷🌷
2026-06-30 18:34:04
1
aboasel23
ابو اصيل :
🌺🌺🌺🌺🌺
2026-06-30 09:07:23
1
aahd020
احمد :
🥰💕🥰💕🥰💕🥰💕🥰
2026-06-29 23:22:11
1
user6150581999351
عبدالله الخيواني :
🥰🥰🥰
2026-07-01 13:38:04
0
user5868194878081
عبدالله يحيى :
❤️❤️❤️
2026-07-01 14:00:04
0
user9025542288694
يحيى محمد :
🥰🥰🥰
2026-07-01 17:19:37
0
bdllh_l23718
userعبود الصبيحي :
🥰🥰🥰
2026-06-30 09:34:41
1
abdullahabdo1945
ابومالك الجرعي🤍 :
🥰🥰🥰
2026-06-30 22:01:53
0
user6050217596034
خطاف القلوب :
🥰🥰🥰
2026-06-30 19:32:42
0
user78797707811738
غريب الدار :
🥰🥰🥰
2026-06-30 18:55:35
0
user4774050148252
muhamad :
🥰🥰🥰
2026-06-30 18:49:42
0
user6671763032347
الصمت عنوان :
🥰🥰🥰
2026-06-30 18:25:18
0
user3335093387356
user3335093387356 :
❤️❤️❤️
2026-06-30 11:56:54
1
user5635751927080
مشتاق مشتاق مشتاق :
🥰🥰🥰
2026-07-01 07:10:18
0
abujawadalsharabi
أبو جواد الشرعبي :
👍👍👍
2026-06-30 11:57:09
1
user4738903369723
ابوعوض :
🥰🥰🥰
2026-06-30 11:13:50
1
user9270634546587
العز طبعي :
❤️❤️❤️
2026-06-30 17:15:56
0
user833677388758
بنت الجنوب :
🥰🥰🥰
2026-06-30 08:44:35
1
user15447540757814
يوسف عامر :
🥰🥰🥰
2026-06-29 22:40:56
1
To see more videos from user @user43112176570737, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Jaji Mkuu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju amekemea vikali  vitendo vya baadhi ya Viongozi wa Serikali na wa Kisiasa kuingilia  utendaji wa shughuli za Madalali na Wasambaza Nyaraka wa Mahakama kwa  kisingizio kwamba wao ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama za  Mikoa na Wilaya. Mhe. Masaju ameyasema hayo  tarehe 30 Juni, 2026  alipokuwa akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Madalali na Wasambaza  Nyaraka wa Mahakama Tanzania uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano  uliopo Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini Dodoma. “Hizo  sheria zinazowapa madaraka hazikuwapa mamlaka ya kuingilia utekelezaji  wa amri na maamuzi ya Mahakama. Wachukulieni hatua. Haiwezekani Mahakama  imeshatoa amri halafu mtu mwingine anazuia, hiyo inakuwa ni Mahakama au  ni kitu gani? Ni lazima tutofautishe shughuli za kisiasa na shughuli za  kutoa haki zinazofanywa na Mahakama,” amesema Jaji Mkuu. Akizungumzia  kuhusu Changamoto na Usimamizi wa Sheria, Jaji Mkuu amewaeleza,  Madalali na Wasambaza Nyaraka wa Mahakama kuwa nao wana changamoto ndio  maana wanaruhusu wanasiasa kuingilia utendaji kazi wao bila kuwachukulia  hatua. “Hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria na hata mimi Jaji  Mkuu siko juu ya sheria. Na kwanza hata mimi kwa kiapo changu na Majaji  wote hapa na Mahakimu wote, na hata Wasajili tunaapa tunapotekeleza  majukumu yetu kuzingatia Katiba, mila na desturi, na sheria za Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania, bila hofu, upendeleo, wala chuki,” amesema Mhe.  Masaju.  Aidha, Jaji Mkuu amewataka Madalali na Wanasheria wao  kuchukua hatua kali za kisheria, ikiwa ni pamoja na kuzuiliwa kinyume  cha sheria (false imprisonment) au uzuiaji wa utekelezaji wa amri  halali, Maofisa wa Polisi au Viongozi wanaokiuka Sheria kwa majina yao  binafsi, kwani Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameshafafanua kuwa wavunja  Sheria watagharamia makosa yao wenyewe.
Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju amekemea vikali vitendo vya baadhi ya Viongozi wa Serikali na wa Kisiasa kuingilia utendaji wa shughuli za Madalali na Wasambaza Nyaraka wa Mahakama kwa kisingizio kwamba wao ni Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama za Mikoa na Wilaya. Mhe. Masaju ameyasema hayo tarehe 30 Juni, 2026 alipokuwa akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Madalali na Wasambaza Nyaraka wa Mahakama Tanzania uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano uliopo Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini Dodoma. “Hizo sheria zinazowapa madaraka hazikuwapa mamlaka ya kuingilia utekelezaji wa amri na maamuzi ya Mahakama. Wachukulieni hatua. Haiwezekani Mahakama imeshatoa amri halafu mtu mwingine anazuia, hiyo inakuwa ni Mahakama au ni kitu gani? Ni lazima tutofautishe shughuli za kisiasa na shughuli za kutoa haki zinazofanywa na Mahakama,” amesema Jaji Mkuu. Akizungumzia kuhusu Changamoto na Usimamizi wa Sheria, Jaji Mkuu amewaeleza, Madalali na Wasambaza Nyaraka wa Mahakama kuwa nao wana changamoto ndio maana wanaruhusu wanasiasa kuingilia utendaji kazi wao bila kuwachukulia hatua. “Hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria na hata mimi Jaji Mkuu siko juu ya sheria. Na kwanza hata mimi kwa kiapo changu na Majaji wote hapa na Mahakimu wote, na hata Wasajili tunaapa tunapotekeleza majukumu yetu kuzingatia Katiba, mila na desturi, na sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bila hofu, upendeleo, wala chuki,” amesema Mhe. Masaju. Aidha, Jaji Mkuu amewataka Madalali na Wanasheria wao kuchukua hatua kali za kisheria, ikiwa ni pamoja na kuzuiliwa kinyume cha sheria (false imprisonment) au uzuiaji wa utekelezaji wa amri halali, Maofisa wa Polisi au Viongozi wanaokiuka Sheria kwa majina yao binafsi, kwani Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameshafafanua kuwa wavunja Sheria watagharamia makosa yao wenyewe.

About