@thailand_thh: MUTER AJA DI SITUU🤪😎🫵🏻

ppnrrvtth_
ppnrrvtth_
Open In TikTok:
Region: TW
Tuesday 30 June 2026 14:10:29 GMT
30392
7510
212
453

Music

Download

Comments

arlinvi
arlinvi :
plus manhwa bl 🤣
2026-07-15 15:46:17
0
dini_miati
uuu :
aku pngn keluar malah series baru gacor gacor bngt😭😭 ga bisaa pintu keluar ga keliatan
2026-07-01 02:05:53
142
_lynx.heaven
who? :
pintu keluar sebelah mana?
2026-07-01 03:23:05
35
windawyyy
yothallow :
sepakat girls 🫶😍
2026-07-02 08:56:20
1
nhuna.nhope
@Sherli15 :
btl sekali
2026-07-01 00:04:18
0
anakthaienthu07
Ely :
yg penting BL✌
2026-07-08 02:59:31
0
_mfy08
stmfy :
plis gda niatan tobat udh terlanjur terjerumus😫
2026-07-01 10:54:31
0
zhidaowoshishei
? :
kek nya skrng kita didalam labirin yg seisi dindingnya series² terbaru😭
2026-07-01 04:25:17
5
nongs_780
S💜JK :
mantap girl
2026-07-01 05:54:50
0
yyanti_027
yYanti♎ :
betulll
2026-07-01 11:27:47
2
dede_vika.56
N'pia ʚɞ :
udah ilang arah ni gue
2026-07-01 05:00:39
0
sann9226
🎧S.Ann9226🎧 :
yesss girlsss...
2026-07-01 12:15:21
2
banget522
Gak Tau Gak Mood🥴 :
kakakkkkkkk 😭😭 jadiin aku murid mu
2026-07-02 11:32:23
1
nnanno02
Christine :
kurang lebih seperti itu #sepakat
2026-07-01 13:15:07
1
To see more videos from user @thailand_thh, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Ni 2021 siku ya alhamisi ya mwezi wa tatu, ni usiku ambao sitokuja Kuusahau kwenye maisha yangu yote, Ilikuwa ni miezi miwili baada ya mke wangu Kuajiriwa. Kikawaida mke wangu alikuwa akirudi nyumbani saa 12 jioni, akichelewa sana ni saa Moja, Mimi nilikuwa nachelewa kurudi nyumbani kutokana na Biashara zangu. Siku hiyo narudi nyumbani saa mbili nakuta mke wangu hayupo, akili ikanituma labda kaenda Kwa majirani, nikatulia ikapita dakika kama 17 hivi, nikamuuliza dada wa kazi, wifi yako Yuko wapi? (Hivyo ndo walikuwa Wana itana), akasema hajarudi bado kutoka kazini, hapo hapo ikabidi nipige simu, ila Cha ajabu Ikaita bila kupokelewa, nilipiga mpaka mara 4 simu ikawa haipokelewi, nikajaribu mara ya tano Ikaita kidogo mara ikakatwa, nikapiga tena ikawa haipatikani, Akili yangu ikarudi nyuma kufikiria, siku tatu nyuma mke wangu hakuwa sawa, alionekana mnyonge sana ila Kila nikimwuliza nini shida akawa anajibu yuko sawa, ana tabasamu japo sivyo nilivyo mzoea. Sasa nilivyo piga simu ikawa haipokelewi mara ikakatwa ikazimwa akili yangu ikaniambia huyu ananisaliti ndiyo maana amebadilika sana, akili yangu ikaanza Kukubaliana na ule usemi
Ni 2021 siku ya alhamisi ya mwezi wa tatu, ni usiku ambao sitokuja Kuusahau kwenye maisha yangu yote, Ilikuwa ni miezi miwili baada ya mke wangu Kuajiriwa. Kikawaida mke wangu alikuwa akirudi nyumbani saa 12 jioni, akichelewa sana ni saa Moja, Mimi nilikuwa nachelewa kurudi nyumbani kutokana na Biashara zangu. Siku hiyo narudi nyumbani saa mbili nakuta mke wangu hayupo, akili ikanituma labda kaenda Kwa majirani, nikatulia ikapita dakika kama 17 hivi, nikamuuliza dada wa kazi, wifi yako Yuko wapi? (Hivyo ndo walikuwa Wana itana), akasema hajarudi bado kutoka kazini, hapo hapo ikabidi nipige simu, ila Cha ajabu Ikaita bila kupokelewa, nilipiga mpaka mara 4 simu ikawa haipokelewi, nikajaribu mara ya tano Ikaita kidogo mara ikakatwa, nikapiga tena ikawa haipatikani, Akili yangu ikarudi nyuma kufikiria, siku tatu nyuma mke wangu hakuwa sawa, alionekana mnyonge sana ila Kila nikimwuliza nini shida akawa anajibu yuko sawa, ana tabasamu japo sivyo nilivyo mzoea. Sasa nilivyo piga simu ikawa haipokelewi mara ikakatwa ikazimwa akili yangu ikaniambia huyu ananisaliti ndiyo maana amebadilika sana, akili yangu ikaanza Kukubaliana na ule usemi "mwanamke Akianza kushika pesa ana badilika", Nilianza kujuta kwanini nilimruhusu afanye kazi, nilianza kujilaumu sana mpaka nikaanza kufokea watoto huku nawaambia mama yenu ameshaanza upuuzi, Yani nilianza kufoka sana, nikampigia simu rafiki yake akaniambia kazini wametoka saa 12 na waliagana vizuri tu. Muda ukazidi kwenda huku nimekaa nje kumsubiri huku nimeshikilia mkanda, nilikuwa sijawahi Kumpiga mke wangu hata Kofi ila siku hiyo nilipanga nimpige sana, nilikuwa na hasira ambayo haipimiki, muda ulizidi kwenda Kila nikipiga simu haipatikani, nikampigia dada yake naye akasema amempigia simu haipatikani. Saa sita usiku nikiwa niko Facebook kwenye group la jamii forums (sijui siku hizi kama bado lipo) mara nikakutana na picha ya mwili Iko pembeni ya Barabara huku wame andika; "Kuna ajali imetokea hapa stop Over huyu dada amefariki kagongwa na bodaboda akiwa anashuka kwenye gari kama una ndugu yako hajarudi nyumbani wasiliana nasi au nenda hospital ya Muhimbili ukajihakikishie au unaweza kuangalia Viatu hivyo" Nilivyoona Viatu tu nilianza kulia hapo hapo, nikaenda Kwa jirani nikamueleza na kumuonyesha picha akampigia yule aliye post wakaongea, walivyo maliza akanishika Mkono tukaingia kwenye gari mpaka Muhimbili, tukajitambulisha tuka pelekwa mochwari, ndo nakuja kumshuhudia mke wangu kalala kwenye Usingizi wake wa milele huku kapasuka kichwa vibaya Sana. Ni tukio ambalo haliwezi kutoka kichwani mwangu, nilimuwazia mabaya mke wangu kumbe muda wote nawaza hayo alishalala masaa matatu yaliyo pita, Mke wangu nakupenda sana naomba unisamehe hicho kitu nakijutia sana, katika maisha yangu najutia sana nilicho kuwazia siku hiyo. Umeniachia zawadi hizi mbili, Kila nikimtazama mwanangu huyu wa kike nakuona wewe mke wangu, bado unaishi kwenye maisha yangu. Nimeona nishee na nyie hii stori Kwa sababu ni kitu ambacho kimekuwa kama sehemu ya maisha yangu, nimejifunza Kila binadamu anapo karibia kufikwa na umauti Kuna dalili anazionyesha hata kama haumwi. MORE THAN PAINFUL #tiktok #tanzaniantiktok #trending #kenyantiktok🇰🇪

About