@dmi_celebritiestz: Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) @dmi_tanzania kimewahimiza vijana na wanawake, kujiunga na masomo ya sekta ya bahari kutokana na kuendelea kuongezeka kwa mahitaji ya wataalamu wa ubaharia duniani, huku nchi za Mashariki ya Kati zikitajwa kuwa miongoni mwa masoko makubwa ya ajira. Wito huo umetolewa na mwalimu wa DMI mafunzo kwa vitendo, Master Cary Mwandambo, ambaye amesema wahitimu wa chuo hicho wana nafasi kubwa za kuajiriwa ndani na nje ya nchi kutokana na ubora wa mafunzo yanayotolewa yanayokidhi viwango vya kimataifa. Huku Mkufunzi Msaidizi na baharia, Mhandisi Winfrida Ngalu, amewahamasisha wanawake kuondoa hofu na mitazamo hasi kuhusu sekta ya bahari, akisema taaluma hiyo si ya wanaume pekee bali wanawake pia wanafanya vizuri na kupata ajira kwa urahisi. #daressalaam #dmi #tanzaniatiktok #DMICelebrities #fypage
Ajira zipo kweli changamoto n experience watu hawana wamesoma ila wanaenda kufanya seatime wapi hapo mjitahid crewing agency na makampuni wafungue matawi bongo
2026-07-17 19:36:39
0
The Real Sele :
seatime tu tunaksa alaf mnawataka watu wengine 😂😂mnataka tuendeshe safina ya nuuh
2026-07-17 19:57:00
2
Minnie♥️ :
❤️❤️❤️
2026-07-17 17:14:04
0
pretty..V💞❤ :
😳😳
2026-07-17 17:12:16
0
Trisha🦋🦋 :
🔥🔥🔥
2026-07-17 15:16:20
0
Abdull de 🤴 :
@Nassir_dante_08
2026-07-17 19:50:04
0
To see more videos from user @dmi_celebritiestz, please go to the Tikwm
homepage.