wameona mbali sana walid amewazid kwa kupendwa na watu walid nomba nyengine
2026-07-17 23:00:44
3
📿🦋زينب-❣️MssR💖 :
kila mtu atachanganikiwa kwa muda wake
2026-07-18 03:53:42
1
dazuuzubedabakary :
Mbona anabwabwaja tu simuelewi mie
2026-07-18 01:29:39
1
De7 :
Amesemaje kwa aliE elewa😁😁
2026-07-18 05:31:42
0
Dogo Tiktoker :
Kuongozwa na maafisa vipenyo ni shidah
2026-07-18 06:14:22
0
mnyamani :
Assalaam aleykum mweshimiwa mufti ,waislam tunaitaji sababu ya kutolewa shekhe waridi
2026-07-18 05:44:58
0
Ramadhan Bakari :
hatukuelewi
2026-07-18 05:23:30
0
mamy samira :
mmmmh
2026-07-18 05:43:14
0
Ahmedi Aliy :
unaongea nini baba
2026-07-18 04:44:18
0
Hajra said :
Daah
2026-07-18 01:56:28
0
malodi :
waislamu tumefika uku
2026-07-18 04:29:58
0
tadjimohamed :
amewazidi kwa hekima wanamuogopa hawo
2026-07-18 04:05:10
0
JAFARI BABAYU :
mimi xjawahi kumuelewa huyu mzee
2026-07-18 04:12:56
0
Majid Issa :
Sisi ndo waumini izo siasa sisi tuko nae tunamjua unataka tumsifu nani mbora wenu nani
2026-07-18 02:24:43
0
Ismail Mwema :
sijui huyu anaongea nn
2026-07-18 03:44:06
0
Abdurabiy Maulidiy666 :
taambiwa tuishi vile tutaishiii ila tujue vilee twafanyaa bhac yataturejelea kiasi yatokua, so jiandaeni kulilipia hiliii duniani na akheraa, na acheki kujitakasa kwa kuomba dua mwatakiwa kumuomba mlomdhulumu kwanza piaanh.
2026-07-18 01:15:48
0
Pink Panther :
ametumbuliwa keasababu SHEIKH alikuwa Hamsifii Mama.
Hilo linajulikana TZ Nzima
2026-07-17 23:39:00
1
docta sharif azara :
ili lichawi akuna mufti apa elimu walid mwamba bwana
2026-07-18 03:55:52
1
living_general354 :
mufti unakaa nao sana mpira achia 1 tuondoke..... 😂 ili tukuelewe
2026-07-18 03:02:37
2
UNSTOPPABLE HUSTLER 😎🇹🇿🇦🇪 :
mbn km anahasira🤣
2026-07-17 21:32:32
0
dunga jr :
sisi tunataka mtuambie sababu nini kama mnachuki nae pia mseme napia angalie alivyokuwa na iman walid mpka leo ajakaa kuzungumzia swala hili ila mkumbuke waliangamia wale waliokataa kuna na nabii nuhu tusje kufka uko waislam kaaeni mlimalze hili
2026-07-17 22:52:49
2
To see more videos from user @omarymyegezi, please go to the Tikwm
homepage.