@h925685:

hạ đỏ
hạ đỏ
Open In TikTok:
Region: VN
Saturday 18 July 2026 06:55:07 GMT
73789
2621
235
398

Music

Download

Comments

doan_gia_van
Vân Pi :
E có nhiều nét giống c này , nhìn ảnh c mà e giật mh ngỡ e lun
2026-07-19 16:39:10
4
quydang599
quydang599 :
anh nhớ em, 😘
2026-07-18 15:32:24
5
quy4374
Quy :
cầu mông mọi người hiểu và thương nhiều hơn
2026-07-21 12:26:32
2
tho.nguyen8649
Tho Nguyen :
Tuyệt vời 🥰🥰🥰👍👍👍
2026-07-20 13:11:19
2
anh.hu619
anh hữu(gặp bạn ở góc đường) :
⚘⚘⚘🥰🥰🥰
2026-07-21 10:38:03
1
an1kt16lk
An An 🍓 :
chị rất đẹp
2026-07-18 23:13:07
3
hng.hnh1479
Hồng Hạnh :
bài hát thật là hay 🥰🥰🥰🥰
2026-07-21 12:40:08
1
dyz7xzr86ey1
thông Nguyễn :
🥰🥰🥰🥰
2026-07-18 13:17:41
1
vy362817
☘️Lanvy ☘️ :
2026-07-20 16:03:38
1
dung.tran2805
Hoàng Dũng 66 :
xinh lung linh
2026-07-18 22:40:22
1
hieu.phan6097
Hieu Phan :
🥰🥰🥰
2026-07-20 06:37:02
1
nguyn.thy9051
Nguyễn Thủy :
🌺🌹👍👍👍👍💯💯💯
2026-07-18 22:09:31
1
tun.hong6139
Tuân Hoàng :
🥰
2026-07-18 12:55:32
1
tnhnguyn1085
Nguyễn Tánh 1085 :
👍
2026-07-18 06:59:35
1
nguyen.chum38
Nguyen Chum :
❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰🥰
2026-07-18 15:12:22
2
lnh.nh.thu585
Mr Thành :
Đẹp quá
2026-07-20 12:53:32
1
ly.duong149
ly duong :
❤️❤️🥰🥰
2026-07-18 13:32:05
1
loc.nguyuenkhaclo
Loc NguyuenkhacLoc1122 :
🥰🥰🥰
2026-07-18 14:42:36
1
dy1hp2hsteau
hải Nguyễn Linh :
🥰🥰🥰
2026-07-18 13:56:36
1
To see more videos from user @h925685, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mfanyabiashara mmoja katika Soko la Machinga Complex jijini Dodoma ameibua kilio kuhusu hali ngumu ya biashara, akieleza kuwa ukosefu wa wateja pamoja na mzunguko mdogo wa fedha umeendelea kuathiri shughuli za wafanyabiashara wengi wanaofanyia kazi katika soko hilo. Mfanyabiashara huyo alitoa malalamiko hayo mbele ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, wakati wa ziara yake ya kutembelea Soko la Machinga Complex leo Julai 22, 2026, ambapo alieleza kuwa hali ya biashara imekuwa mbaya kiasi cha wafanyabiashara wengi kutumia muda mrefu madukani bila kupata wateja. “Mheshimiwa, hela ziko wapi? Hela hamna. Unakaa dukani unasinzia kwa sababu hakuna wateja. Mzunguko wa fedha hamna, soko limelemewa,” alisema mfanyabiashara huyo huku akiomba Serikali kutafuta suluhisho la changamoto hiyo. Kwa mujibu wa mfanyabiashara huyo, kushuka kwa mzunguko wa fedha kumesababisha mapato ya wafanyabiashara wengi kupungua, jambo ambalo limeathiri uwezo wao wa kuendesha biashara na kutimiza majukumu mbalimbali ya kifamilia na kiuchumi. Akijibu hoja hiyo, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema Serikali inatambua changamoto zilizopo, akifafanua kuwa wakati ilipojenga Soko la Machinga Complex haikutarajia ongezeko kubwa la wafanyabiashara waliohamia kufanya biashara katika eneo hilo. Msigwa alisema Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kujenga masoko mengine katika maeneo mbalimbali nchini ili kuongeza nafasi za wafanyabiashara, kupunguza msongamano uliopo katika masoko makubwa na kuweka mazingira bora zaidi ya kufanyia biashara. Aliongeza kuwa upanuzi wa miundombinu ya masoko ni sehemu ya jitihada za Serikali za kuboresha mazingira ya biashara, kuongeza fursa za kiuchumi kwa wananchi na kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya kazi katika maeneo yenye ushindani na mvuto wa wateja. Ziara ya Msemaji Mkuu wa Serikali katika Soko la Machinga Complex ilitoa nafasi kwa wafanyabiashara kueleza changamoto zinazowakabili moja kwa moja, huku Serikali ikiahidi kuendelea kusikiliza maoni yao na kuyafanyia kazi kwa lengo la kuboresha mazingira ya biashara nchini.
Mfanyabiashara mmoja katika Soko la Machinga Complex jijini Dodoma ameibua kilio kuhusu hali ngumu ya biashara, akieleza kuwa ukosefu wa wateja pamoja na mzunguko mdogo wa fedha umeendelea kuathiri shughuli za wafanyabiashara wengi wanaofanyia kazi katika soko hilo. Mfanyabiashara huyo alitoa malalamiko hayo mbele ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, wakati wa ziara yake ya kutembelea Soko la Machinga Complex leo Julai 22, 2026, ambapo alieleza kuwa hali ya biashara imekuwa mbaya kiasi cha wafanyabiashara wengi kutumia muda mrefu madukani bila kupata wateja. “Mheshimiwa, hela ziko wapi? Hela hamna. Unakaa dukani unasinzia kwa sababu hakuna wateja. Mzunguko wa fedha hamna, soko limelemewa,” alisema mfanyabiashara huyo huku akiomba Serikali kutafuta suluhisho la changamoto hiyo. Kwa mujibu wa mfanyabiashara huyo, kushuka kwa mzunguko wa fedha kumesababisha mapato ya wafanyabiashara wengi kupungua, jambo ambalo limeathiri uwezo wao wa kuendesha biashara na kutimiza majukumu mbalimbali ya kifamilia na kiuchumi. Akijibu hoja hiyo, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema Serikali inatambua changamoto zilizopo, akifafanua kuwa wakati ilipojenga Soko la Machinga Complex haikutarajia ongezeko kubwa la wafanyabiashara waliohamia kufanya biashara katika eneo hilo. Msigwa alisema Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kujenga masoko mengine katika maeneo mbalimbali nchini ili kuongeza nafasi za wafanyabiashara, kupunguza msongamano uliopo katika masoko makubwa na kuweka mazingira bora zaidi ya kufanyia biashara. Aliongeza kuwa upanuzi wa miundombinu ya masoko ni sehemu ya jitihada za Serikali za kuboresha mazingira ya biashara, kuongeza fursa za kiuchumi kwa wananchi na kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya kazi katika maeneo yenye ushindani na mvuto wa wateja. Ziara ya Msemaji Mkuu wa Serikali katika Soko la Machinga Complex ilitoa nafasi kwa wafanyabiashara kueleza changamoto zinazowakabili moja kwa moja, huku Serikali ikiahidi kuendelea kusikiliza maoni yao na kuyafanyia kazi kwa lengo la kuboresha mazingira ya biashara nchini.

About