@islamabad.lens7: Civic center - Islamabad #islamabad #civiccenter #explorepage #rawalipindi #pakistan

Islamabad Lens
Islamabad Lens
Open In TikTok:
Region: PK
Tuesday 21 July 2026 17:15:47 GMT
16189
931
19
49

Music

Download

Comments

rahmankhan5551
Rahmankhan555 :
bahria phase 4
2026-07-22 04:20:24
2
ayesha.sheikh8071
Ayesha sheikh :
2026-07-21 18:54:33
2
itx_aqxay
Itx_Aqxay :
awww 😍😍
2026-07-23 11:08:39
1
freehavlogs
freeha rana vlogs🇧🇷🇵🇰 :
🥰Video like from Brazil 🇵🇰🇧🇷
2026-09-08 08:15:21
0
kashan.khan0556
kashan khan 👑👑👑👑👑 :
🥰🥰🥰
2026-07-22 03:44:24
1
chainesgirl340
Attitude boy😍❤️ :
❤️❤️❤️
2026-07-22 03:47:18
1
studentbiryani12
Student biryani :
🥰🥰🥰
2026-07-22 15:20:31
2
rajputchand.9
-ARSLAN- :
❤️❤️❤️
2026-08-02 17:36:10
1
usmanjamali895
Riaz jamali :
❤️❤️❤️
2026-07-22 14:03:22
2
khanpopal_
@Qasim khan Popalzai🔶️🇨🇦 :
💋💋💋
2026-08-28 10:58:32
0
samiullahselaab36
✌🏿sami uallh Salaab✌🏿 :
💔💔💔
2026-07-23 11:15:38
1
choudhuryabdullah7191
CHOUDHURY :
❤️❤️❤️
2026-08-12 11:56:16
0
suleman_3421
Squeeze_server :
🥰🥰🥰
2026-07-22 07:35:19
1
jawadahmadhoti22
𝐉𝐚𝐰𝐚𝐝𝐚𝐡𝐦𝐚𝐝𝐡𝐨𝐭𝐢 :
❤️❤️❤️
2026-07-23 05:45:26
1
daniali928
Dee :
❤️❤️❤️
2026-07-22 19:38:22
1
user7930877359315
Hbk furniture islamabad :
☺️☺️☺️
2026-07-21 18:23:56
1
suleman_3421
Squeeze_server :
🤲🤲🤲
2026-07-22 07:35:23
1
malik.aqil.khan3
Malik Aqil Khan :
💐💐💐
2026-07-23 17:48:38
1
adysing3
Addy Singh :
❤️❤️❤️
2026-07-22 15:02:38
2
To see more videos from user @islamabad.lens7, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Baadhi ya wananchi wameibua hoja na kumkosoa aliyekuwa Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka, kufuatia mijadala mbalimbali inayoendelea nchini na kauli zinazotolewa kupitia vyombo vya habari. Wananchi hao wamesema wanatumia nafasi hiyo kutoa maoni yao kama Watanzania wenye nia ya kuona nchi yao ikiendelea. Mwananchi mmoja, Mohammed, amesema Tibaijuka ambaye kwa sasa amestaafu amekuwa akijitokeza kwenye vyombo vya habari katika mijadala mbalimbali, hali ambayo imemfanya kuhoji baadhi ya kauli zake, hususan anapozungumzia masuala ya maadili. Mohammed amemkumbusha Tibaijuka kuhusu kipindi alipokuwa Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, akitolea mfano wa hoja iliyowahi kujitokeza kuhusu eneo la wazi lililohusishwa na upanuzi wa Hospitali ya Hindu Mandal. Amesema wananchi bado wana kumbukumbu kuhusu sakata hilo, huku akihoji uamuzi wa kutotolewa kwa eneo hilo kwa ajili ya kupanua huduma za afya, wakati eneo jingine lilitumika kwa shughuli za michezo. “Mpira na afya, kipi bora?” amehoji, akisema masuala kama hayo ndiyo yanayopaswa kuangaliwa katika mjadala wa maadili. Aidha, Mohammed amemkumbusha Tibaijuka kuhusu sakata la fedha lililowahi kumkabili wakati akiwa serikalini, akidai kuwa suala hilo lilisababisha kujiuzulu kwake. Kwa upande mwingine, mwananchi mwingine amedai kuwa Tibaijuka ni miongoni mwa watu ambao, kwa mtazamo wake, wamechangia Tanzania kufikia hali ya umaskini. Wananchi hao wamemtaka Tibaijuka kuwa makini katika kauli zake wanapojadili masuala ya maadili na mwenendo wa nchi.
Baadhi ya wananchi wameibua hoja na kumkosoa aliyekuwa Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka, kufuatia mijadala mbalimbali inayoendelea nchini na kauli zinazotolewa kupitia vyombo vya habari. Wananchi hao wamesema wanatumia nafasi hiyo kutoa maoni yao kama Watanzania wenye nia ya kuona nchi yao ikiendelea. Mwananchi mmoja, Mohammed, amesema Tibaijuka ambaye kwa sasa amestaafu amekuwa akijitokeza kwenye vyombo vya habari katika mijadala mbalimbali, hali ambayo imemfanya kuhoji baadhi ya kauli zake, hususan anapozungumzia masuala ya maadili. Mohammed amemkumbusha Tibaijuka kuhusu kipindi alipokuwa Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, akitolea mfano wa hoja iliyowahi kujitokeza kuhusu eneo la wazi lililohusishwa na upanuzi wa Hospitali ya Hindu Mandal. Amesema wananchi bado wana kumbukumbu kuhusu sakata hilo, huku akihoji uamuzi wa kutotolewa kwa eneo hilo kwa ajili ya kupanua huduma za afya, wakati eneo jingine lilitumika kwa shughuli za michezo. “Mpira na afya, kipi bora?” amehoji, akisema masuala kama hayo ndiyo yanayopaswa kuangaliwa katika mjadala wa maadili. Aidha, Mohammed amemkumbusha Tibaijuka kuhusu sakata la fedha lililowahi kumkabili wakati akiwa serikalini, akidai kuwa suala hilo lilisababisha kujiuzulu kwake. Kwa upande mwingine, mwananchi mwingine amedai kuwa Tibaijuka ni miongoni mwa watu ambao, kwa mtazamo wake, wamechangia Tanzania kufikia hali ya umaskini. Wananchi hao wamemtaka Tibaijuka kuwa makini katika kauli zake wanapojadili masuala ya maadili na mwenendo wa nchi.

About