@cinta.setia665:

Cinta setia
Cinta setia
Open In TikTok:
Region: ID
Friday 24 July 2026 04:50:21 GMT
978477
12583
110
643

Music

Download

Comments

allah.ditta.khan2
Allah ditta Khan :
MAAN KI MUMTA SB SE ZIADA POWERFUL HOTI HY
2026-08-12 08:12:04
0
lilik.daimah
Lilik Daimah :
Seru senang melihat klo ada yg menyelamatkan 👍👍👍
2026-08-11 21:54:54
1
user16600396605120
Vicky :
encore
2026-08-11 19:28:30
1
moondawg_1
Moon :
Wow, this is serious fight infant I love it okay
2026-08-04 23:53:54
3
dy2u0824439z
หมอขจรศักดิ์ลูกชินราช :
2026-08-11 04:12:37
1
priyo_efendy
priyo malang jatim :
ok
2026-08-09 05:04:35
2
user1439581976586
paola :
IA IA IA
2026-08-08 15:10:09
1
marliah3051
marliah :
masa allaaaah👍👍
2026-08-04 00:35:28
3
lidiasaar
Lidia :
👍
2026-08-07 10:53:23
1
t.inh9207
Đạt Đinh :
2026-08-11 09:16:12
0
hani34583
Hani :
woww keren asik👍👍👍🔥🔥🔥
2026-07-25 04:32:07
3
sutikno.sutik.837837
2026-07-24 12:04:44
3
hamdanfisfils
Hamdan fis Fils :
YARAB
2026-07-30 10:55:38
1
phng.phng1979
Trần Thị Phượng :
những bà mẹ tiệt vời
2026-07-26 05:24:38
1
dy2u0824439z
หมอขจรศักดิ์ลูกชินราช :
2026-08-11 04:12:46
1
533304.saepul
saepul.uyun. :
waw
2026-08-04 13:14:07
3
user6806706234469
อุทิตร์ ทบภักดิ์ :
🥰🥰🥰
2026-08-02 06:54:56
2
pak.deni53
Pak Deni :
BADAK. PEMADAM. API. DI HUTAN. JIKA. TERSAMBAR. PETIR. MALAM HARI
2026-08-04 13:21:49
1
jamil.jba
Jamil Jba :
bohong semua..tu edit lah
2026-08-11 12:43:38
1
user33291440340886
صالح محمد :
😅😅😅
2026-07-29 00:13:04
1
ajgjsggaba
✨🌙 :
😳😳😳
2026-08-04 11:05:13
1
richardkanagodi
richardkanagodi :
😂😂😂
2026-08-03 11:18:36
1
carlosnunes1548
Carlos Nunes :
🤣🤣🤣
2026-08-04 18:49:10
1
To see more videos from user @cinta.setia665, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Madereva watano wamekamatwa katika operesheni iliyofanywa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani katika maeneo ya VETA na Mnazi Mmoja mkoani Lindi, kwa tuhuma za kughushi nyaraka na kujiongezea madaraja ya leseni bila kuwa na sifa stahiki. Akizungumza wakati wa operesheni hiyo, Afisa wa Polisi kutoka Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Rutusyo Hakimu Mwambelo, amesema katika operesheni hiyo madereva wawili walikamatwa katika eneo la VETA baada ya kubainika kuwa na leseni za daraja D, lakini walikuwa wamejiongezea daraja E kinyume cha taratibu. Amesema baada ya kuhojiwa, madereva hao walibainika kuwa hawakuwa wamekwenda darasani kusomea daraja hilo, bali walikuwa wakitoa fedha na kupewa vyeti, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Aidha, katika eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi, madereva wengine watatu wamekamatwa kwa tuhuma za kughushi vyeti vya vyuo pamoja na kujiongezea madaraja ya leseni ambayo hawana sifa ya kuyaendesha. Madereva hao wamewekwa chini ya ulinzi huku taratibu nyingine za kisheria zikiendelea. Mwambelo amewapongeza madereva wa mabasi wanaozingatia sheria na taratibu za usalama barabarani, akisema madereva wengi waliokaguliwa wamekuwa na leseni halali pamoja na nyaraka nyingine muhimu. Aidha, amesema Jeshi la Polisi limetoa elimu kwa madereva na abiria kuhusu usalama barabarani, hususan umuhimu wa abiria kufunga mikanda, akieleza kuwa hatua hiyo inaweza kupunguza madhara wakati gari linapopata ajali au kuyumba baada ya kukutana na mashimo barabarani. Amewataka madereva ambao hawajasoma vyuoni lakini wamejiongezea madaraja ya leseni kuacha kutumia njia za mkato na kwenda kupata mafunzo rasmi, akisisitiza kuwa hawapaswi kusubiri hadi wakamatwe ndipo sheria ichukue mkondo wake, kwa kuwa kughushi nyaraka ni kosa kubwa kisheria. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #TanzaniaTrending #ViralTZ #TeamChawamata #SupportLocal #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #viraltz
VIDEO: Madereva watano wamekamatwa katika operesheni iliyofanywa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani katika maeneo ya VETA na Mnazi Mmoja mkoani Lindi, kwa tuhuma za kughushi nyaraka na kujiongezea madaraja ya leseni bila kuwa na sifa stahiki. Akizungumza wakati wa operesheni hiyo, Afisa wa Polisi kutoka Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Rutusyo Hakimu Mwambelo, amesema katika operesheni hiyo madereva wawili walikamatwa katika eneo la VETA baada ya kubainika kuwa na leseni za daraja D, lakini walikuwa wamejiongezea daraja E kinyume cha taratibu. Amesema baada ya kuhojiwa, madereva hao walibainika kuwa hawakuwa wamekwenda darasani kusomea daraja hilo, bali walikuwa wakitoa fedha na kupewa vyeti, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Aidha, katika eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi, madereva wengine watatu wamekamatwa kwa tuhuma za kughushi vyeti vya vyuo pamoja na kujiongezea madaraja ya leseni ambayo hawana sifa ya kuyaendesha. Madereva hao wamewekwa chini ya ulinzi huku taratibu nyingine za kisheria zikiendelea. Mwambelo amewapongeza madereva wa mabasi wanaozingatia sheria na taratibu za usalama barabarani, akisema madereva wengi waliokaguliwa wamekuwa na leseni halali pamoja na nyaraka nyingine muhimu. Aidha, amesema Jeshi la Polisi limetoa elimu kwa madereva na abiria kuhusu usalama barabarani, hususan umuhimu wa abiria kufunga mikanda, akieleza kuwa hatua hiyo inaweza kupunguza madhara wakati gari linapopata ajali au kuyumba baada ya kukutana na mashimo barabarani. Amewataka madereva ambao hawajasoma vyuoni lakini wamejiongezea madaraja ya leseni kuacha kutumia njia za mkato na kwenda kupata mafunzo rasmi, akisisitiza kuwa hawapaswi kusubiri hadi wakamatwe ndipo sheria ichukue mkondo wake, kwa kuwa kughushi nyaraka ni kosa kubwa kisheria. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #TanzaniaTrending #ViralTZ #TeamChawamata #SupportLocal #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #viraltz

About