@mobi.writes98: جس شخص نے اپ کو کبھی دھوکہ دیا ہے اسے دوبارہ زندگی میں نہ لائے 💯🔥 #mobiwrites #foryoupage #fyp #fypシ #tiktok

KHANii WRiTES ⚡
KHANii WRiTES ⚡
Open In TikTok:
Region: PK
Saturday 01 August 2026 20:52:41 GMT
19889
1938
27
98

Music

Download

Comments

448899rtrt
Abdul rauf :
beshak beshak ♥️
2026-08-02 11:34:17
1
zainab.noor870
Zainab Noor :
mjhe kise ny brbad kiya Allah usko zaror brbad kryga In aha Allah
2026-08-04 16:43:23
0
maya.ch47
🧿Minahil 💞Chaudhary🧿 :
exactly 💯
2026-08-02 08:48:02
1
haroonkamal461
Tanha H :
😢😢😢
2026-08-02 08:22:49
1
ahsan.raza2643
💞shahzada 💞 :
💯💯💯💯💯💯💯🥹
2026-08-02 08:34:45
1
tayab.khan.khan8
Tayab khan Khan :
👍👍👍
2026-08-02 11:23:48
1
aligulsolangi187
A........... s .........A :
♥️♥️♥️
2026-08-02 08:46:37
1
noorhassanpitafi0
Noorhassan pitafi :
❤️❤️❤️
2026-08-02 14:40:37
1
asifkhan12jadon
Asifkhan12345 :
🥰🥰🥰🥰🤗🤗🤗🤗
2026-08-02 05:57:51
0
user3169701840461
user3169701840461 :
🥰🥰🥰
2026-08-03 18:33:14
1
malikabdulmajid1
Malik :
👍👍👍
2026-08-12 02:57:29
0
wajid.noor02
Wajid Noor :
🥰🥰🥰
2026-08-05 01:15:30
0
mobi.writes01
MOBi WRiTES 💫 :
🔥🔥🔥
2026-08-01 21:00:31
0
yaseenbhatti1385
yaseenbhatti1385 :
🥰🥰🥰
2026-08-05 15:32:04
1
mirzashari231
mirza Shari231 :
♥️♥️♥️
2026-08-02 22:31:41
0
bekhabar66
♥️♥️♥️ :
💯💯💯💯👍
2026-08-08 11:19:32
0
sheikhsultan2060
sheikhsultan2060 :
🥰🥰🥰
2026-08-02 05:05:07
0
s32o2
Syed shehroz shah512 :
🥰🥰🥰
2026-08-02 02:48:33
0
ranafaraz7863
RANA FRAZ AAJAZ :
💯💯💯
2026-08-02 03:47:38
0
user433478422
Nadir Ali :
❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹
2026-08-01 22:42:32
0
mobi.writes3
KHANii WRiTES ⚡ :
💯💯💯
2026-08-01 21:06:38
0
jamtahir109
꧁☆☬T Ã H Î R☬☆꧂ :
🥺🥺🥺
2026-08-02 17:28:32
1
muneeb.butt155
MUNEEB BUTT 🥰 :
💞💞💞
2026-08-01 20:55:28
0
To see more videos from user @mobi.writes98, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

KUISHI PAMOJA NA MUME MLEVI. Leo nataka kugusa kwa undani maumivu ya kiakili na kihisia ambayo wanawake wengi hupitia wanapoishi na mume mlevi... Wakati tunapozungumza kuhusu ndoa, mara nyingi tunafikiria furaha, mshikamano na maelewano.... Lakini kwa wengine, ndoa imekuwa chanzo cha maumivu makali, hasa pale ambapo mmoja wa wenza anajitumbukiza kwenye ulevi.. Mke anapokuwa na mume mlevi, mara nyingi maisha yake hubadilika kutoka kwenye furaha ya ndoto za ndoa hadi mateso ya kimya... Anapoona mume akirudi usiku akiwa mlevi, moyo wake unadunda kwa hofu: “Leo itakuwaje? Je, atakuwa na hasira, matusi au ukatili?” Saikolojia ya familia inafafanua hali hii kama emotional burnout — kuchoka kabisa kiakili na kihisia kwa sababu ya mzigo wa ndoa.... Watoto wanaoshuhudia baba mlevi huathirika kwa kiwango kikubwa..... Mara nyingi hupata; Matatizo ya kujiamini, Kushindwa kujifunza vizuri shuleni, Wengine hujiingiza katika urafiki mbaya hata wakijaribu kujifunza jinsi mzazi wao alivyo mlevi... Hii ndio maana EDERAYA tunasema; Ulevi sio tatizo la mtu mmoja ni janga la Familia... Wanasayansi wa afya ya akili wanasema..... Mwanamke anayeishi na mwanaume mlevi hupata msongo wa mawazo wa muda mrefu,  ambao hupelekea hatari ya shinikizo la damu, Magonjwa ya moyo, Kuumwa Mara kwa mara kwa sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili... Biblia na maandiko ya kiroho hutufundisha kwamba ndoa ni agano la amani na heshima. Lakini ulevi huleta giza katika agano hilo.... Hitimisho...... Ndugu zangu, mateso ya kuishi na mume mlevi si jambo dogo. Ni hali inayochosha akili, moyo na mwili.  Lakini kumbuka: wewe si mnyonge, wewe ni shujaa.  Kuna msaada wa kisaikolojia, Usinyamaze tafuta msaada kwa Mwanasaikolojia.  Naamini kwa msaada huu, kila mmoja anaweza kupata nguvu ya kusimama, kujilinda, na hata kumsaidia mwenza wake pale inapowezekana... Familia yenye mzigo wa ulevi inahitaji tiba, si lawama pekee.. Zingatia: ..... MKE: Hata ukiishi katika nyumba yenye giza la pombe, unaweza kuwa taa inayong'aa kwa imani na uvumilivu. Maombi yako ni mbegu ya mabadiliko ya mume wako, hata kama majibu yanachelewa. Siku moja yatachipua kwa wakati wa MUNGU. MUME:  MUNGU anakupenda hata kama upo kwenye giza la ulevi, Ulevi wako si mwisho wa maisha yako. Kila hatua unayoichukua kuacha ulevi ni ushindi wako wa Kiroho. MUNGU haachi wanaoanguka. See You Above. EDERAYA-- Sauti ya Faraja na Matumaini.  Mwanasaikolojia na Mshauri Nasaha.  ederayatz@yahoo.com.  Kwa huduma ya msaada wa kisaikolojia,  pamoja na semina kuhusu afya ya Akili.  Mawasiliano.  Simu: 0674400743 WhatsApp: 0748900743
KUISHI PAMOJA NA MUME MLEVI. Leo nataka kugusa kwa undani maumivu ya kiakili na kihisia ambayo wanawake wengi hupitia wanapoishi na mume mlevi... Wakati tunapozungumza kuhusu ndoa, mara nyingi tunafikiria furaha, mshikamano na maelewano.... Lakini kwa wengine, ndoa imekuwa chanzo cha maumivu makali, hasa pale ambapo mmoja wa wenza anajitumbukiza kwenye ulevi.. Mke anapokuwa na mume mlevi, mara nyingi maisha yake hubadilika kutoka kwenye furaha ya ndoto za ndoa hadi mateso ya kimya... Anapoona mume akirudi usiku akiwa mlevi, moyo wake unadunda kwa hofu: “Leo itakuwaje? Je, atakuwa na hasira, matusi au ukatili?” Saikolojia ya familia inafafanua hali hii kama emotional burnout — kuchoka kabisa kiakili na kihisia kwa sababu ya mzigo wa ndoa.... Watoto wanaoshuhudia baba mlevi huathirika kwa kiwango kikubwa..... Mara nyingi hupata; Matatizo ya kujiamini, Kushindwa kujifunza vizuri shuleni, Wengine hujiingiza katika urafiki mbaya hata wakijaribu kujifunza jinsi mzazi wao alivyo mlevi... Hii ndio maana EDERAYA tunasema; Ulevi sio tatizo la mtu mmoja ni janga la Familia... Wanasayansi wa afya ya akili wanasema..... Mwanamke anayeishi na mwanaume mlevi hupata msongo wa mawazo wa muda mrefu, ambao hupelekea hatari ya shinikizo la damu, Magonjwa ya moyo, Kuumwa Mara kwa mara kwa sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili... Biblia na maandiko ya kiroho hutufundisha kwamba ndoa ni agano la amani na heshima. Lakini ulevi huleta giza katika agano hilo.... Hitimisho...... Ndugu zangu, mateso ya kuishi na mume mlevi si jambo dogo. Ni hali inayochosha akili, moyo na mwili. Lakini kumbuka: wewe si mnyonge, wewe ni shujaa. Kuna msaada wa kisaikolojia, Usinyamaze tafuta msaada kwa Mwanasaikolojia. Naamini kwa msaada huu, kila mmoja anaweza kupata nguvu ya kusimama, kujilinda, na hata kumsaidia mwenza wake pale inapowezekana... Familia yenye mzigo wa ulevi inahitaji tiba, si lawama pekee.. Zingatia: ..... MKE: Hata ukiishi katika nyumba yenye giza la pombe, unaweza kuwa taa inayong'aa kwa imani na uvumilivu. Maombi yako ni mbegu ya mabadiliko ya mume wako, hata kama majibu yanachelewa. Siku moja yatachipua kwa wakati wa MUNGU. MUME: MUNGU anakupenda hata kama upo kwenye giza la ulevi, Ulevi wako si mwisho wa maisha yako. Kila hatua unayoichukua kuacha ulevi ni ushindi wako wa Kiroho. MUNGU haachi wanaoanguka. See You Above. EDERAYA-- Sauti ya Faraja na Matumaini. Mwanasaikolojia na Mshauri Nasaha. [email protected]. Kwa huduma ya msaada wa kisaikolojia, pamoja na semina kuhusu afya ya Akili. Mawasiliano. Simu: 0674400743 WhatsApp: 0748900743

About