@bakinafacts6: #mwangaza 💡 #jifunzevitu #tiktoktanzania🇹🇿#Tiktokeastafrica🇷🇼🇨🇩🇸🇳🇰🇪🇹🇿 Follow me🙏

Bakina-facts
Bakina-facts
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 03 August 2026 04:24:20 GMT
167242
20102
115
450

Music

Download

Comments

petronila.temu
Petronila temu :
Unforgettable person may you continue resting in peace you were the best ✌️🕊️
2026-08-07 07:48:57
1
rickynicky064
subukian254 :
and He once said 😭
2026-08-06 13:42:45
1
zedydon693
zozo@56 :
True story
2026-08-07 09:10:13
1
bechai.babake
bechai babake....... :
mungu akuhifadhi pema papa gufuli
2026-08-06 05:13:18
17
tuombemariam6677723_
mariamtuombe :
tutakukumbuk sana kamanda we🤤🤤🤤😪😪😪😪
2026-08-06 20:48:03
7
farajabts4565
babyboy bts4565 :
mzee alipo kuwepo hata matukio ya hovyo hayakuwepo mungu akulaze pema🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏾😍😍♥️♥️
2026-08-07 07:01:57
2
miss.etz
#Miss E🦋🦋🇹🇿🇰🇪🇺🇬 :
Mwanga wa milele ukuangazie baba🙏🥹🥹🥹
2026-08-07 08:37:17
2
anna.nikola24
anna nikola :
tunakupenda sana baba yetu
2026-08-04 18:44:19
10
user4218310173181
André Kuthya JW :
mnipende kwa ajili ya Yale ninaofanya
2026-08-06 15:35:28
4
fidelis.finias
Fidelis Finias :
bado tunakupenda
2026-08-06 17:53:02
3
user44038628039827
Mose luckyboy :
ukona sura mzuli baba
2026-08-07 07:21:18
1
sheby.love.tz.one
sheby love tz one :
tunakukumbuka magufuli
2026-08-03 07:48:22
9
user8165316816161
rabani123 :
2026-08-03 21:14:05
1
user7427775684702
Mzee sillah :
kweli kabisa
2026-08-03 10:00:28
4
hasaniazizihamadi
DG HASANI SHOP :
huna baya baba
2026-08-05 16:59:45
1
official.lizzy803
official lizzy :
saw tumempoteza shujaa
2026-08-05 17:36:58
1
sheby.love.tz.one
sheby love tz one :
bado tunakupenda mzee watu 🥺🥺🥺
2026-08-03 15:20:07
1
user4060356054008
Banga mnyatulu boy :
kweli baba
2026-08-04 03:56:55
1
isharah39
isharah :
Baba lala Salama,shujaa WA Tanzania, Sisi WA Congo tungikua na rahisi kama wewe,tungi furahii sana, Baba wajamiii,lala Pema!!!!!
2026-08-05 17:58:23
3
giftsleonard
Money 💵💵💵💵 :
Mic dady
2026-08-07 10:58:00
0
caren.calinian
Aren Calinian :
Twendelee kumuomba mungu atupe rais mwenge moyo kama wa kamanda wetu magufuri
2026-08-07 13:18:57
0
chancetz2
Chancetz :
baba kwanini ulituacha jamn kifo
2026-08-07 12:04:52
0
tunuabraham35
tunuabraham35 :
tunasubili maajab ya kumpata kama wewe
2026-08-07 12:57:05
0
gazasniper_forex
Sniper_ Forex :
sijawahi comment kwenye mambo siasa ila leo acha niseme, huyu mwamba tulipoteza mtu wa kazi kuikweli huyu mtu kama alikuwa na mabaya yake basi mimi sikuitaji kuyajua ila nilimpenda kwasababu ya kazi toka alipokuwa wadhiri wa ujenzi, na nilipigaga kula moja tu maishani mwangu mwote ni kwa huyu mwamba. sizani kama itatokea tena kupiga kula. kwakuwa mimi ni mtu wa kazi napenda sana mfanya kazi.
2026-08-07 14:39:37
0
To see more videos from user @bakinafacts6, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About