@itsnelly_choppa: 😂💔🙌🏽🚮mjiongezee bhna#fyp #tiktokkenya #tiktoktz #makemeviral #viral

itsnelly choppa
itsnelly choppa
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 07 August 2026 19:54:20 GMT
281198
16242
1649
4530

Music

Download

Comments

teresiasimon503
Teddy :
tuna view plofile kutokn nauzito wacomment😳😂😂😂😂😂😂😂
2026-08-09 11:01:34
2
user7094666005457
P cute💫 :
😅😅me napitia2 comment na kuview profile zenu😂
2026-08-08 13:40:10
5
queen.of.lips
Queen of lips👄 :
comment section basi jmn mbav zangu mie😂😂😂
2026-08-08 14:48:11
1
smarthustle123
Smart Hustle :
Uzito wa comment na view profile 😅
2026-08-09 15:55:51
0
dee..vanny
dee🔥vanny :
me najifanya Kam Niko busy vilee😂😂
2026-08-08 07:24:46
1
official.kareen1
official kareen🦂♏ :
Me nakimbiaga najifanya naongea na smu 😂😂😂😂
2026-08-08 05:54:01
521
llenyjaka
allenjaka :
kwanini ukiwa dukani ukijamba ndio mteja anakuja ata kuulizia tu😂😂😂
2026-08-08 11:34:21
284
hanygirl02
hanygirl02 :
nilijibana kwenye daladala nilikaa siti moja n mkaka nikachia akannby nimeusikia huwooo mtetemo aibu niliona me mpka now is my baby😂😂😂😂
2026-08-08 13:45:35
335
besteleven21
Besteleven21 :
Niliwahi mwambia mtu usije hapa nilipo utanilaumu hakuskia akaja aisee alijuta 😁😁
2026-08-08 09:01:16
351
allyally451
Ally ally :
hii ilinikuta niko office peke angu nikauachia alaf ulikuwa so poa mara akaja mteja alooh 😂😂😂😂😂 nikadakia chemba ya jiran isha anza cheuwa
2026-08-08 08:17:58
666
frank.king.budda
frank king budda😜 :
si tuna view profile tu😅
2026-08-08 12:12:02
108
no_system_is_saf3
WHO AM I :
hahahahha🤣🤣 furaha yangu ipo kwenye comment tu
2026-08-08 17:16:52
35
cypriannaanno
naaa🥰 :
nilijamba nilikuwa nimekaa dukan akaj mteja akasema wewe uku dukan kwako Kuna panya amekufa fanya usafi 😄😄😄
2026-08-09 15:58:01
5
agnespata291
💀 :
wacha nisome coment taratibu ni cheke zangu, 🤣
2026-08-08 12:31:54
21
hiya_beauty_point
h!y@🧚‍♂️💙 :
watu nawaheshimu vizuri tu alafu mmejazana huku kwenye vijambo😂😂😂😂
2026-08-08 15:00:07
8
naah7121
Naah Midekoh 🦋 :
kumbe kuna kujitengaa😂😂 skuwa najua m najamba tyu 😂
2026-08-08 15:21:04
6
sararewisibughe
Sararewisi Bughe :
huku kwetu gari la taka linapitaga kila siku usiku juzi tumbo lilikua limejaa ges kila wakat najamba vya yusuph napata shida kweli kuamka kila wakati sindo likapita lile gari bhn halafu ushuzi umenibana sikunyanyuka niliunga hapohapo😂😂 watu wanaona mbona gari limepita lakini harufu haiishi wee me nikawa nakufa kwa kucheka kuna rafiki yangu anazijua tabia zangu si akawaambia wasininuse nn!! walichokikuta mungu ndo anajua😂😂😂😂
2026-08-08 21:38:57
5
livinusmberwavalentine
VALENTINE :
naondoka namuachia alichofata
2026-08-08 19:39:02
15
april20_ifa
April Taurus :
Daah imenitokea juzi niko mwenyewe kazini nimeachia mara meneja anakuja kunisalimia 🤣🤣
2026-08-08 12:05:53
7
fettyfetty134
Fettyfetty :
daaah hii ilinikuta juzi daaah nilihama nikaenda kusimama pengine🤣🤣🤣🤣🙌
2026-08-08 13:05:53
10
nasra_mushi
Naah12 :
mi nikijamba najifanya nko bize na simu 😅
2026-08-08 10:09:45
43
itsrose978
itsrose978 :
mimi huwa natest kidogo kuachia afu nasikilizia kama kikitoa harufu ndo nabana naenda kujambia mbele
2026-08-08 12:43:19
73
To see more videos from user @itsnelly_choppa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About